Miundo mbinu ya elimu ya umma ni jukumu la serikali, hiyo inabaki hivyo.
mkuu unaweza niambia hiyo picha ni ya lini? na wapi? mie nimeiona tangu nikiwa mdogoNa wale waliokalia totari madarasa yao ni yale meupe?
Pale wapo wanapewa story na walimu wao.
roho mbaya tu,shida ni nini watanzania ni kwamba magoli yamekua mengi au kitu gani
View attachment 3078611
mkuu unaweza niambia hiyo picha ni ya lini? na wapi? mie nimeiona tangu nikiwa mdogo
Inawezekama upo sahihi kwa kiasi kikubwa.sijui lengo lako ni nini? au ni msg gani unataka ku share, lakini kama ni madarasa yale majengo meupe si ni madarasa, sie wakati tuko shule after lunch tulikuwa tunakaa chini ya mtu tukifundishwa nyimbo na michezo mbalimbali, sasa kukaa chini haimaanishi ni umaskini, ni teaching technics tu
Yaaani....acha tu mkuuTatizo baba wa watoto hao ndiyo huwaambii kitu kuhusu ccm
hili la shift za mchana nadhani lipo kila shule za mjini, na sidhani kama ni tatizo, kuhusu kukaa chini nadhani ni katika kuwaweka watoto salama, wangepaswa kuwa uwanjani wakicheza lakini kwa muda huo nadhani wanazingatia usalama wa watoto na pia kuwa control wasizagae hovyo ukizingatia kuna taharuki ya bwatoto kupoteaKuna uhalisia kamili japokuwa si kwa picha hiyo.
Kuna shule zipi hapo Dsm watoto hubadirishana madarasa.
Ikifika saa 6 mchana huenda kukaa chini ya mti kuwapisha wenzao. Na hukaa pale na walimu wao, huku walimu wao ndio hukaa kwenye madawati.
Shule hizo zipo wilaya ya ilala jimbo la ukonga.
Yupo busy ni Kizimkazi festival!🤣🤣🤣
Uko sahihi.hili la shift za mchana nadhani lipo kila shule za mjini, na sidhani kama ni tatizo, kuhusu kukaa chini nadhani ni katika kuwaweka watoto salama, wangepaswa kuwa uwanjani wakicheza lakini kwa muda huo nadhani wanazingatia usalama wa watoto na pia kuwa control wasizagae hovyo ukizingatia kuna taharuki ya bwatoto kupotea
sidhani hapo walikuwa wanasoma, sie tulikaa chini ya miembe wakati wa joto hasa mchana na tulikuwa tunaimba nyimbobau kusikiliza mawaidha ya mwalimu, na tulikuwa tukielewa na,ungumzia mazingira niliyopitia kama hukupitia sidhani kama utakuwa na mtizamo kama wanguNi vigumu Mtoto kuconcentrate na masomo ktk mazingira hayo.
Hebu Spin na 👇sidhani hapo walikuwa wanasoma, sie tulikaa chini ya miembe wakati wa joto hasa mchana na tulikuwa tunaimba
hanan huruma kabisa. Hivi /TISS, CDF, IGP, VIONGOZI WA DINI (siyo wale wa ubwabwa na wa miujiza), na wengine wa hivyo hamwambii kuwa mama hii kitu si kizuri, watu wanalalamika kuwa kuna matumizi mabaya ya fedha! kwa upole tu na urafiki na mamaSamia aache mchezo wa kuchezea pesa.
kwanza hii picha ni ya lini? wapi? unaamini hapo walikuwa wanasoma darasani? au mtu kaamua kuwadhalilisha kwa sababu anazozijua yeye, au ujinga wake tu! haingii akilini katika mazingira haya watoto walikuwa wanasomaHebu Spin na 👇
View attachment 3078684
Ngoja tuipeleke JF Fact check tukutane huko.kwanza hii picha ni ya lini? wapi? unaamini hapo walikuwa wanasoma darasani? au mtu kaamua kuwadhalilisha kwa sababu anazozijua yeye, au ujinga wake tu! haingii akilini katika mazingira haya watoto walikuwa wanasoma
Ikibainika kuwa hiyo picha ni ya kweli?! Uta spin vipi au utalikimbia jukwaa kwa leo?!kwanza hii picha ni ya lini? wapi? unaamini hapo walikuwa wanasoma darasani? au mtu kaamua kuwadhalilisha kwa sababu anazozijua yeye, au ujinga wake tu! haingii akilini katika mazingira haya watoto walikuwa wanasoma
Nchi haijengwi na wajinga ndo maana nyerere aliweka ujinga kama miongoni mwa matatizo sugu ya nchina hawa ndio wataijenga nchi watachunga nchi wewe mwenye uwezo kawaskmeshe Belgium kwenye shule wanayosoma watoto wa Lissu
Huyo ni mjinga flani hiviIkibainika kuwa hiyo picha ni ya kweli?! Uta spin vipi au utalikimbia jukwaa kwa leo?!