Unatapanya hela na hali ya watoto wa masikini iko hivi mashuleni!

Unatapanya hela na hali ya watoto wa masikini iko hivi mashuleni!

Hivi kwanini kila mwanafunzi aliyepata one ya point 7 asipewe milioni tano?
Hapo kwenye kutapanya pesa kwa wanamichezo naiona siasa kuliko kukuza vipaji na ushindani
 
Watanganyika jambo pekee wanalothamini ni Simba na Yanga tu.
-Iba kura wataishia kumwachia Mola
  • kata umeme uwezavyo
  • Weka Sheria kandamizi uwezavyo hakuna shida wataishia kulalamikia vyooni tu.
ILA
USIGUSE Simba na Yanga zao, tu

Tena chukua Kodi zao nunua kila goli kwa mamilioni ya fedha hakuna tatizo watafurahi mno.
Single Digit IQ, ndiyo sifa ya viongozi wetu
Frankly, Samia IQ haizidi 50
 
Yaaan kuna watu hujifutahakili ingali wanaelewa kizungumzwacho kuhusu hao walio kwenye maji juu kavunga kang'ang'anana wachini ya muembe ili atetetee ujinga wake na ndo watu hao tunaowategemea kulitetea taifa kaz tunayo.Haangalii hoja ye anaangalia kosa dah Tanzania nchiyangu watu wako watakua lini?
hiyo shule iko kenya inaitwa mangololo primary school na hiyo picha ilipigwa 2019 na shule ilishajengwa upya
1724563830584.jpeg
img-20191005-wa00006224446447233982119.jpg
img-20191005-wa00261517131095208424076.jpg

wasikuchanganye boss
 
Hivi kwanini kila mwanafunzi aliyepata one ya point 7 asipewe milioni tano?
Hapo kwenye kutapanya pesa kwa wanamichezo naiona siasa kuliko kukuza vipaji na ushindani
10 best students huwa wanaitwa wizarani nakupewa zawadi, hata mandonga aliitwa bungeni na akazawadiwa alivyoshinda,
 
sijui lengo lako ni nini? au ni msg gani unataka ku share, lakini kama ni madarasa yale majengo meupe si ni madarasa, sie wakati tuko shule after lunch tulikuwa tunakaa chini ya mtu tukifundishwa nyimbo na michezo mbalimbali, sasa kukaa chini haimaanishi ni umaskini, ni teaching technics tu
Anza na picha ya kwanza
 
hiyo shule iko kenya inaitwa mangololo primary school na hiyo picha ilipigwa 2019 na shule ilishajengwa upya
View attachment 3079377View attachment 3079378View attachment 3079381
wasikuchanganye boss
Eee hapo sawa kwapamoja yapaswa tutetee taifa.Ukionakitu fwatilie tusipende kutetea hoja bila msingi wa kimaadili na taifa.Uchawa ndo unauwa nguvu kazi ya taifa .Tunawahukumu wanaoua na kunyanyasa raia kimaadili na kingono(Ukatili).ila wakiwa maskini matajir aaah.Ila wako wanaofanya ubaya uliopita viwango na wakajifunika ndani ya bendera ya nchi yenye amani na kuficha ubaya wao
 
It doesn't help anyway. The central issue is kutapanya hela za walipa kodi
Nakubaliana na wewe kwenye hilo kwamba pesa zinatumika vibaya na vipaumbele vya msingi havizingatiwi,

Ila tatizo pia la mtela mada ni matumizi ya picha ambazo hakuchukua hata dk 1 kufanya background check kujiridhisha kabla hajapost hapa..
Mengine twende nayo mpaka 2025 tusikosee tena
 
Inaumiza sana kila mtoto hapo atapokuja kujua masna ya Maisha yake akilinganisha na Elimu aliyoipata kwa Taabu ..
 
matumizi ya picha ambazo hakuchukua hata dk 1 kufanya background check
Kwamba siyo za hapa? Nimecheki sana. Au unadanganywa na madarasa ya nyuma yanayoonekana mazuri? Fine madara yamejenga (and obviously hayatoshi as usual). Sasa unatumia mabiioni kwenye "ujinga" wakati madarasa mazuri hayana madawati (desks). It does not make any sense in terms of the use of meagre resources we have!
 
Makhanithi kama wewe ndo huwa mnajitahidi kweli kuonyesha eti na nyie mna uwezo wa kuzaa. Wazazi wenyewe wako kimya khanithi wajitangaza. Haikusaidii, rudi tu kwa basha lako
nakwambia muuliza mama yako, ananijua sana tena sana. wewe huyo unayemuita baba yako ni wa kufikia, baba yako ni mimi! FULL STOP!
 
Kwamba siyo za hapa? Nimecheki sana. Au unadanganywa na madarasa ya nyuma yanayoonekana mazuri? Fine madara yamejenga (and obviously hayatoshi as usual). Sasa unatumia mabiioni kwenye "ujinga" wakati madarasa mazuri hayana madawati (desks). It does not make any sense in terms of the use of meagre resources we have!
mkuu hizo picha ni kenya na za mwaka 2019 wasikuchanganye boss, sasa hivi hakuna mtoto anayechangishwa hela ya dawati, na madarasa ni mengi kuliko mahitaji hela za covid19 zilitumika kwa ufasaha na chenji bado ipo, kama ni upungufu itakuwa ni uzembe tu mwalimu mkuu na afisa elimu wake
 
Mie nasemaga km ww mpambanaji unatafta hela watt wako wasomeshe vzuri sana watakuja kukusaidia ila ucwasomeshe shule za kata ni utapeli
 
Kwamba siyo za hapa? Nimecheki sana. Au unadanganywa na madarasa ya nyuma yanayoonekana mazuri? Fine madara yamejenga (and obviously hayatoshi as usual). Sasa unatumia mabiioni kwenye "ujinga" wakati madarasa mazuri hayana madawati (desks). It does not make any sense in terms of the use of meagre resources we have!
Picha ya watoto wadogo kukaa chini ni kawaida wakiwa shule kwani sioni shida mana me mwenyewe shule tumesoma madarasa yapo mengi ila kuna muda mwalimu anawatoeni nje mnakaa hivyo anawafundisha kuandika chini, au kuimba pamoja au michezo, angalia background madarasa ya kisasa kabisa yanaonekana.

Picha nyingine ambayo darasa ni bovu Kuna maji ndani siyo Tanzania..
Tumia google search utapata info zote.

Kwenye suala la matumizi ya pesa anayofanya simuungi mkono hata kidogo, na uchawa uliopitiliza wakusema pesa za mtu flani wakati tunajua ni kodi za WaTanzaia ni utahira mwingine wakukemewa pia
 
mkuu hizo picha ni kenya na za mwaka 2019 wasikuchanganye boss, sasa hivi hakuna mtoto anayechangishwa hela ya dawati, na madarasa ni mengi kuliko mahitaji hela za covid19 zilitumika kwa ufasaha na chenji bado ipo, kama ni upungufu itakuwa ni uzembe tu mwalimu mkuu na afisa elimu wake
Bado una point mfu.
Nchi yenye rasilimali lukuki inasubiri majanga ya ulimwengu kama COVID 19 ndipo inenge vyoo vya shule na madarasa kwa pesa za msaada.
Huoni tatizo hapo
 
hiyo picha ya 2019 na ni kenya sio tanzania na ilishajengwa upya
View attachment 3079382View attachment 3079383
Sisi hatujipendi…. And we hate anything progressive about ourselves

We want to hear bad news, to blame, to insult etc

Ni wavivu, walalamishi, majungu, wazushi na selfish

Tukijikubali hivyo utapata usingizi

Mleta picha naye aliokota tu online naye a naona awe shujaa…. Shujaa wa ahida

We sing the same song, same chorus, same verses for decades

And we not solving problems because we believe someone else needs to do so
 
mana me mwenyewe shule tumesoma madarasa yapo mengi ila kuna muda mwalimu anawatoeni nje mnakaa hivyo anawafundisha kuandika chini,
SIYO AKILI MUAFAKA KUFANYA HIVI ENZI YA COMPUTER TODAY! The world is moving to AI, wewe unaleta habari ya kukaa chini kweli? Does that make sense?
 
Zile zile akili za lawama ambazo ni za kimaskini sana. Ni sawa uende USA halafu ukaacha kupiga picha yale maeneo mazuri ya white house na New York halafu ukatafuta kupiga picha wale watu wanaolala ndani ya maboksi pembeni ya maduka halafu ukajenga picha kuwa hiyo ndio hali halisi ya USA.

Ni kujidharau kwa sababu ya fikra mgando na hasira nyingi za maisha ya kila siku. Tuna ndege zaidi ya 12 ikiwemo ya mizigo mpaka muda huu angalau ungezipiga hizo picha katika kujaribu kinafiki kuonyesha kwamba unaipenda Tanzania nchi ambayo Mama yako mzazi alikuzaa ndani yake.
 
Back
Top Bottom