Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Hasira zake za kushindwa kutatua matatizo yanayomkabili anajaribu kuzisambaza duniani pote. Hafikirii kwamba anajidharaulisha yeye na jamaa zake wote.SIYO AKILI MUAFAKA KUFANYA HIVI ENZI YA COMPUTER TODAY! The world is moving to AI, wewe unaleta habari ya kukaa chini kweli? Does that make sense?
Acha kutetea ujinga ilihali ukweli unaujua..sijui lengo lako ni nini? au ni msg gani unataka ku share, lakini kama ni madarasa yale majengo meupe si ni madarasa, sie wakati tuko shule after lunch tulikuwa tunakaa chini ya mtu tukifundishwa nyimbo na michezo mbalimbali, sasa kukaa chini haimaanishi ni umaskini, ni teaching technics tu
Me siyo mwalimu siwezi kutolea ufafanuzi wakitaalamu ila na wewe hata ukipita maeneo ya shule za watoto wadogo, hata hizi za bei kubwa chunguza utaona Kuna sehemu kabisa wameweka mchanga kwa ajili ya watoto kucheza na kuwafundishia.SIYO AKILI MUAFAKA KUFANYA HIVI ENZI YA COMPUTER TODAY! The world is moving to AI, wewe unaleta habari ya kukaa chini kweli? Does that make sense?
Simba na Yanga kwa uwepo wao wanagusa maisha ya watu wengi sana. Kuna mzunguko mkubwa wa pesa unaokuwepo katika shughuli zote za watani wa jadi.Watanganyika jambo pekee wanalothamini ni Simba na Yanga tu.
-Iba kura wataishia kumwachia Mola
ILA
- kata umeme uwezavyo
- Weka Sheria kandamizi uwezavyo hakuna shida wataishia kulalamikia vyooni tu.
USIGUSE Simba na Yanga zao, tu
Tena chukua Kodi zao nunua kila goli kwa mamilioni ya fedha hakuna tatizo watafurahi mno.
Perfect! lakini hawa wana madarasa fully equiped! Ukiona wametoka nje ni kucheza. hawa ni wakubwa siyo wa kuchezea michanga!hata hizi za bei kubwa
Thubutu ukakutwe umekufa umetupwa mkuranga 😂👍Itume kizimkazi
Katika kila picha moja au mbili za aina hiyo kuna picha nyingine mia moja au mia mbili zenye afadhali kuliko hizo.Umeona mazingira hayo wansyosomea watoto? Au unaandika tu kwa sababu ya roho ya ushetani iliyokujaa ndani yako mkuu?
Sio samia tu... Haya mambo yapo tangu enzi na enzi za waliopita, hata raia na wenyewe wanastahili lawama.Samia aache mchezo wa kuchezea pesa.
hizi hela zilitoka world bank ni michango yetu, its not a free lunchBado una point mfu.
Nchi yenye rasilimali lukuki inasubiri majanga ya ulimwengu kama COVID 19 ndipo inenge vyoo vya shule na madarasa kwa pesa za msaada.
Huoni tatizo hapo
Wanayoyafanya hayo maunyama na maukatili wana Maisha mazuri mno! Watoto wao wanaishi kama wapo peponi aisee!Watanganyika jambo pekee wanalothamini ni Simba na Yanga tu.
-Iba kura wataishia kumwachia Mola
ILA
- kata umeme uwezavyo
- Weka Sheria kandamizi uwezavyo hakuna shida wataishia kulalamikia vyooni tu.
USIGUSE Simba na Yanga zao, tu
Tena chukua Kodi zao nunua kila goli kwa mamilioni ya fedha hakuna tatizo watafurahi mno.
Hao walioanzisha shule kwenye mazingira hayo walifikiria nini pia wakaguzi wa Shule huwa wanakagua nini, jamii inayo zizunguka hizo shule iko likizo?
Sawa mkuuKatika kila picha moja au mbili za aina hiyo kuna picha nyingine mia moja au mia mbili zenye afadhali kuliko hizo.
Huyu mleta mada hajajihangaisha kuzitafuta hizo picha nzuri kwa sababu akili yake inawaza kitanzania zaidi, malalamiko na kunyooshea wengine vidole huku akiusahau wajibu wake binafsi.
Usimchimbe Luka... Luka ana koneksheni mwenzako, halafu jamaa ni Baba paroko. Yaani hana demu, hana mke na hamjui mwanamke... (Luka ni bikra) Badala ujipendekeze uwe demu wake, umuonjeshe luka asali anogewe akuoe kabisa na wewe uwe richi waifu unamchimba.Lucas Mwashambwa umeona juhudi ya samia amejenga shule hadi vijijini watu wanakalia viti vya matofali
Mkuu unamtoa alafu unampeleka wapi?Wenye shida ni wazazi kuamini hapa Kuna kujifunza. Mimi namtoa mtoto shule kwa mazingira haya. Anyway mtaji wa chama pendwa ni umaskini
wakapeleke huko academia wakilawitiwa utuletee mrejeshoMie nasemaga km ww mpambanaji unatafta hela watt wako wasomeshe vzuri sana watakuja kukusaidia ila ucwasomeshe shule za kata ni utapeli
Hujawahi kupata bahati japo kusimamisha tu. Nakujua vizr sn ww ni khanithi tu ila huishi kujishaua mitaani eti umezaa na fulani mara fulani.nakwambia muuliza mama yako, ananijua sana tena sana. wewe huyo unayemuita baba yako ni wa kufikia, baba yako ni mimi! FULL STOP!
Au siowakapeleke huko academia wakilawitiwa utuletee mrejesho
Ni kawaida ya binadamu (hulka)kupambana na 'hali mbaya'...hali ikishakuwa njema/nafuu sio habari tena.Katika kila picha moja au mbili za aina hiyo kuna picha nyingine mia moja au mia mbili zenye afadhali kuliko hizo.
Huyu mleta mada hajajihangaisha kuzitafuta hizo picha nzuri kwa sababu akili yake inawaza kitanzania zaidi, malalamiko na kunyooshea wengine vidole huku akiusahau wajibu wake binafsi.