motsha ya nn ilhal daaaaah aiseee kichwa kscho na akil n mzgo kwa shingoNdio mishahara wanayo na io pia ni motisha kwani mshahara si ni kazi yao kwaio hutaki wapate motisha
Likikua then what?Kwani huoni kwamba pesa zinawapa motisha wachezaji na io itapelekea soka la Tanzania kukua
Wachezaji watapata fursa za kwenda kucheza nchi za nje na watapata kipato kikubwa watafungua biashara nk na wao watatoa ajira kwa wenzaoLikikua then what?
Asante mkuu kwa jibu lako zuri Sana na la kistaarabu.Wachezaji watapata fursa za kwenda kucheza nchi za nje na watapata kipato kikubwa watafungua biashara nk na wao watatoa ajira kwa wenzao
Huwa nikiona mtu anaandika hovyo kama wewe uliyeandika neno "richa" badala ya "licha", najua ni ama shule alienda kusomea ujinga, au ni kilaza wa asili.Akili huna au pengine zimeganda then kama unaona ni chama cha mambumbumbu richa ya jitihada za Mh Rais kuhamasisha michezo basi wewe utakuwa na matatizo yako binafsi
kwenye kiingereza hakuna kitu inaitwa milions of money, rudi la tano b ukasome.Wew kwa akili yako unaona hzo milkions of money inaongeza chochote kwenye sekta ya michezo?
Kweli nchi hii wajinga ni wengi
Wazazi wao wanalipa kodi na serikali ndiye anayepaswa kuhakikisha kodi zao zinatumika kwa ajili ya wananchi wote na si baadhi ya watu.Wazazi wao wanafanya nini? Wanashindwaje hata dawati?
Pole yako unalazimisha kua mjinga ilihali una nafasi ya kuelewaHuwa nikiona mtu anaandika hovyo kama wewe uliyeandika neno "richa" badala ya "licha", najua ni ama shule alienda kusomea ujinga, au ni kilaza wa asili.
Michezo inahamasishwaje kwa kutoa milioni 5 kwa goli kwa timu 4 za mpira wa miguu!!??
Tuna sera gani za kutafuta vipaji kwa watoto na kuviendeleza!!???
Nikiandika kuwa hicho chama ni cha mambumbumbu namaanisha kuwa, pamoja na kumiliki viwanja vingi na rasilimali fedha, lakini wameshindwa kuwa nq uwanja hata mmoja wenye hadhi kama walivyofanya Halmashauri ya Kinondoni kwa muda mfupi.
Huna uwezo wa kuelewa hoja zangu.Pole yako unalazimisha kua mjinga ilihali uma nafasi ya kuelewa
Serikali haiwezi kufanya kila kitu wakati mwingine mwananchi jiongeze kumtengenezea mwanao dawati angalau na wewe uwe umechangia maendeleo ya nchi ata hivyo serikali inajukumu la kuhakikisha sekta zote zinakua kwaio sio vibaya ikikuza na sekta ya michezoWazazi wao wanalipa kodi na serikali ndiye anayepaswa kuhakikisha kodi zao zinatumika kwa ajili ya wananchi wote na si baadhi ya watu.
Kwa hoja gani uliyo nayo wewe hapo zaidi ya mihemko na ile kujidai unapinga serikali alafu kwa akili zako unazani eti ukipinga serikali ndio utaonekana muelewa kumbe zero brain tu sio kila kitu ni cha kupingaHuna uwezo wa kuelewa hoja zangu.
Jumapili njema.
Jana nilikuwa na stress Mimi ni mwana.sina timu lakini zile goli Sita zilivotiwa kambani stress zikaisha nikajukuta mzalendo Mpira ni therapy isiyo hatari kwa.mhusika unless ajichanganye,Pesa inayoibwa na mafisadi wa idara za fedha na taasisi zake ni kubwa mno,Kodi zetu usitupangie tuitumiaje,watu wazuiwa bangi,shisha,Miraa,ukabaki, na pesa hakuna,sasa kufurahisha kidogo unaowapiga na vitu vizito kila.siku na no ishi,hapana Bora haya matumizi ya tomorrow zo zetu tuyaone.hata kwa burudani,nenda kajifungie chumbani siku sita kama hujaita mma.This is misuse of public fund aisee. Hivi kabisa unakua uko sawa kiakili unatoa mil 50 unaipa timu wakati kuna watoto huko hawana vyoo? Nani anamshauri Rais ujinga huu? Hivi anafanya hivi akiwa amelenga impact yake nini? Yani nchi hii ambayo wamama wajawazito wanajifungulia chini hakuna vitanda, hospital hazina dawa, kuna maeneo hayajafikiwa na maji alaf unatoa millions of money unampa Ghalib na Mohamed Dewj.
Hivi mbona hili hata halihitaji degree kujua kama kinachofanyika ni utopolo? Hivi anajisikiaje mtanzania ambaye serikali yake imefuta toto afya card et kuna mtu akifunga goli anapata mil 10.
Wakati nafanya research yangu nilifanya Newala DC aisee yani unakuta idara karibu zote ndani ya Halmashauri hakuna hata moja yenye gari. Yani unakuta afisa elimu hana gari, anaendaje ndani huko? Afisa mifugo wqla afisa kilimo hakuna mwenye gari. Sasa unajiuliza hao wakulima wanafikiwaje? Mara paap unasikia et leo katoa Mil 30 kuipa Yanga. Dah hii nchi kuna mahali tilimkosea Mungu ameamua kutupa adhabu kwa kutuletea huyu mama
Huyu mama nchi imemshinda aisee. Sijui nani alimpendekeza awe makamu wa Rais. Ametuletea shida zote hizi
Daaaah!!!Serikali haiwezi kufanya kila kitu wakati mwingine mwananchi jiongeze kumtengenezea mwanao dawati angalau na wewe uwe umechangia maendeleo ya nchi ata hivyo serikali inajukumu la kuhakikisha sekta zote zinakua kwaio sio vibaya ikikuza na sekta ya michezo
Daaaah!!!Kwa hoja gani uliyo nayo wewe hapo zaidi ya mihemko na ile kujidai unapinga serikali alafu kwa akili zako unazani eti ukipinga serikali ndio utaonekana muelewa kumbe zero brain tu sio kila kitu ni cha kupinga