Unatoa mil 50 kuwapa Yanga/Simba wakati kuna watoto wanakaa chini kwa upungufu wa madawati.

Unatoa mil 50 kuwapa Yanga/Simba wakati kuna watoto wanakaa chini kwa upungufu wa madawati.

Lucas Mwashamba aje kutolea ufafafanuzi huku akibubujikwa na machozi kwa furaha..
 
Wazazi wao wanalipa kodi na serikali ndiye anayepaswa kuhakikisha kodi zao zinatumika kwa ajili ya wananchi wote na si baadhi ya watu.
Wacha akili za ujinga Tanzania walipa kodi ni 15% tu wengine wqnapata free ride. Haiwezekani mzazi ushindwe kutengeneza dawadi kwa mwanao alikalie miaka 7 wakati ashalipiwa kila kitu
 
Kuchangia sio shida ila naona raisi kama anataka kuchangia hela awe anatoa kwenye mshahara wake na si kodi zetu
 
Wacha akili za ujinga Tanzania walipa kodi ni 15% tu wengine wqnapata free ride. Haiwezekani mzazi ushindwe kutengeneza dawadi kwa mwanao alikalie miaka 7 wakati ashalipiwa kila kitu
Kumbe nawe ni wale wale msiojua uhalisia wa mambo yalivyo.
Pole sana kwa kwenda shule kusomea ujinga (kama ulienda) au kwa kuwa na uelewa finyu.
 
Wacha akili za ujinga Tanzania walipa kodi ni 15% tu wengine wqnapata free ride. Haiwezekani mzazi ushindwe kutengeneza dawadi kwa mwanao alikalie miaka 7 wakati ashalipiwa kila kitu
Kuna watu akili hamna kabisa,
Unajua kodi ya bidhaa anailipa nani? Au unajua kufanya return ndo kulipa kodi
 
Mbona siwaoni wale wanaitwa machawa wakija hapa kujenga hoja za nguvu, kutetea hoja ya kuzawadia vilabu?
 
Uwekezaji huu ni WA namna gani?
Izo pesa zingekuwa zinaenda kujenga vituo vya michezo isingekuwa shida Yani wabongo bwana kila siku tunaimba timu zetu hasa za taifa hatifanyi vzr kwasababu hatuwekezi lkn sasa tunafurahia hili kinachotokea
Kama mwingine anavyoona mpira umewaneemesha wenye hivyo vipaji vya mpira wa miguu ambao bila mpira labda wasingekuwa na ajira,ukitafuta ubaya au wema Kwa mtu Kwa nguvu zote huwezi kuukosa! Serikali ndio inajua return kwa kuwekea kwenye michezo kama we unavyoona Bora tukose madawati na michezo pia kuna mwingine anaona busara ni walau tupate kimoja!
?
 
Uwekezaji huu ni WA namna gani?
Izo pesa zingekuwa zinaenda kujenga vituo vya michezo isingekuwa shida Yani wabongo bwana kila siku tunaimba timu zetu hasa za taifa hatifanyi vzr kwasababu hatuwekezi lkn sasa tunafurahia hili kinachotokea

?
Aache au afanye Mambo ya sport si kwamba changamoto zingine zitaisha we kill all birds,we let them sought out as per their preference! Michezo,barabara na madawati vyote tunavitaka hatuwezi sema kwakuwa madawati hatuna basi usichimbe visima
 
This is misuse of public fund aisee. Hivi kabisa unakua uko sawa kiakili unatoa mil 50 unaipa timu wakati kuna watoto huko hawana vyoo? Nani anamshauri Rais ujinga huu? Hivi anafanya hivi akiwa amelenga impact yake nini? Yani nchi hii ambayo wamama wajawazito wanajifungulia chini hakuna vitanda, hospital hazina dawa, kuna maeneo hayajafikiwa na maji alaf unatoa millions of money unampa Ghalib na Mohamed Dewj.

Hivi mbona hili hata halihitaji degree kujua kama kinachofanyika ni utopolo? Hivi anajisikiaje mtanzania ambaye serikali yake imefuta toto afya card et kuna mtu akifunga goli anapata mil 10.

Wakati nafanya research yangu nilifanya Newala DC aisee yani unakuta idara karibu zote ndani ya Halmashauri hakuna hata moja yenye gari. Yani unakuta afisa elimu hana gari, anaendaje ndani huko? Afisa mifugo wqla afisa kilimo hakuna mwenye gari. Sasa unajiuliza hao wakulima wanafikiwaje? Mara paap unasikia et leo katoa Mil 30 kuipa Yanga. Dah hii nchi kuna mahali tilimkosea Mungu ameamua kutupa adhabu kwa kutuletea huyu mama

Huyu mama nchi imemshinda aisee. Sijui nani alimpendekeza awe makamu wa Rais. Ametuletea shida zote hizi
Usimlaumu huyo mama wakulaumiwa ni kundi kubwa la watanzania lililopo nchi hii ambalo Asilimia Zaid ya 80 ni wajinga na malofa wasiojua kufikiria vilivyo chanya na hasi ndo maana tutaendelea kuburuzwa na wanasiasa mpaka siku ya kiama
 
kwenye kiingereza hakuna kitu inaitwa milions of money, rudi la tano b ukasome.
Umesoma kingereza kea Ras Simba na weee unajikuta unajua kingereza. Hii nchi wajinga ni wengi aise
Screenshot_20240825_204309_Chrome.jpg
 
Wenye navyo waongezewe wasio navyo wameze mate.kila mtu apambane na hali yake
 
Mpira ni biashara. Serikali inaingiza kodi kubwa sana kutoka kwenye mpira. Lazina kuu promote mpira kwa namna yeyote ile. Ajira ya watu ile pia. Kiufupi serikali inapata zaidi kuliko hizo mil 30 inazotoa.
NB: Hiyo fedha yaweza pia isiwe kodi yetu. Kupata mil 100 mama anapiga simu moja tu tajiri mmoja anapata hizo hela.
 
This is misuse of public fund aisee. Hivi kabisa unakua uko sawa kiakili unatoa mil 50 unaipa timu wakati kuna watoto huko hawana vyoo? Nani anamshauri Rais ujinga huu? Hivi anafanya hivi akiwa amelenga impact yake nini? Yani nchi hii ambayo wamama wajawazito wanajifungulia chini hakuna vitanda, hospital hazina dawa, kuna maeneo hayajafikiwa na maji alaf unatoa millions of money unampa Ghalib na Mohamed Dewj.

Hivi mbona hili hata halihitaji degree kujua kama kinachofanyika ni utopolo? Hivi anajisikiaje mtanzania ambaye serikali yake imefuta toto afya card et kuna mtu akifunga goli anapata mil 10.

Wakati nafanya research yangu nilifanya Newala DC aisee yani unakuta idara karibu zote ndani ya Halmashauri hakuna hata moja yenye gari. Yani unakuta afisa elimu hana gari, anaendaje ndani huko? Afisa mifugo wqla afisa kilimo hakuna mwenye gari. Sasa unajiuliza hao wakulima wanafikiwaje? Mara paap unasikia et leo katoa Mil 30 kuipa Yanga. Dah hii nchi kuna mahali tilimkosea Mungu ameamua kutupa adhabu kwa kutuletea huyu mama

Huyu mama nchi imemshinda aisee. Sijui nani alimpendekeza awe makamu wa Rais. Ametuletea shida zote hizi
Mapoyoyo wa wapi huko wanafunzi wanakaa chini kwa sababu ya madawati?
 
Mapoyoyo wa wapi huko wanafunzi wanakaa chini kwa sababu ya madawati?
Wazazi wao wanatumia fedha kwa ulevi, kuchangia harusi na kubeti hawataki kuchangia madawati.Leo wanaona mama anatoa fedha yake kidogo kuitangaza sekta ya michezo ilete faida zaidi eti roho zinataka kuwatoka.
 
Back
Top Bottom