ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni kweli kabisa,nimewaasa Vijana kwmaba Upinzani ni Ligi Sasa huna uwezo wa kushindana unashindanaje? Maana Unaaeza.kuwa defeated Kwa hasara na mateso makubwa ukajuta mazima.Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?
Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.
Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Kweli kama yule dogo wa Twitter ukiingiza kwenye account yake mda wote anatukana watu matusi ya guioni kuanzia viongozi Hadi watu binafsi na alikuwa eti anahimiza wafanyabiashara Kugoma na kusambaza vipeperushi wakati akijua anakosea na sheria zinakana Hilo.Hilo ndiyo tatizo la kuwa na "upinzani" usiokuwa na sera wala mipango inayojulikana.
Wapoinzani wanadakia tukio lolote wanapinga tu, hata la maana wanalipinga, matokeao ndiyo kutukana kijinga.
Upinzqni uwe na sera na taratibu za nini wanakipinga au nini wao watakifanya mbadala. Hakuna amabae anajuwa kipo anambie.
Hili hata kwenye maandamano na mikutano yao uchwara nimelitafuta sijaliona. Sijasikia wanafanya maandamano ili iweje? Wafanikishe nini?
Mikutano ya hadhara ni kama kila kukicha mbowe anajitambulisha yeye tu, lakjini sijamsikia akisema anachokitaka zaidi ya kurukia matukio ya siku hiyo au jana yake.
Ni ujinga tu na wajinga ndiyo wanakuwa wa pinzani kwa mihemko na sio kwa sera wala mipango.
Tulia wewe!! acha kila mwanadamu afanye analoona kwake lina manufaa.Hilo ndiyo tatizo la kuwa na "upinzani" usiokuwa na sera wala mipango inayojulikana.
Wapoinzani wanadakia tukio lolote wanapinga tu, hata la maana wanalipinga, matokeao ndiyo kutukana kijinga.
Upinzqni uwe na sera na taratibu za nini wanakipinga au nini wao watakifanya mbadala. Hakuna amabae anajuwa kipo anambie.
Hili hata kwenye maandamano na mikutano yao uchwara nimelitafuta sijaliona. Sijasikia wanafanya maandamano ili iweje? Wafanikishe nini?
Mikutano ya hadhara ni kama kila kukicha mbowe anajitambulisha yeye tu, lakjini sijamsikia akisema anachokitaka zaidi ya kurukia matukio ya siku hiyo au jana yake.
Ni ujinga tu na wajinga ndiyo wanakuwa wa pinzani kwa mihemko na sio kwa sera wala mipango.
Wengi sana wanaongea ila inategemea unaongeaje,shida hiwnzia hapoKwa hiyo hoja yako watu wasiongee yanayolisibu taifa🫠
Sasa kama huna uhakika wa kula na matibabu si ndio Itafute? Kupambana na wasiohisika kwenye umaskini wako ni nini kama.sio.kujitafutia balaa.Tulia wewe!! acha kila mwanadamu afanye analoona kwake lina manufaa.
Unaongea hivyo sababu una uhakika na matibabu yako binafsi ama na familia yako, una uhakika na msosi wako wa kila siku, una uhakika kupeleka watoto wako shule nzuri ili baadaye nao waishi vzr kama wewe- ila ni ujinga mkubwa kutofiria wengine; haki zao za mambo hayo wanazipataje? Kama hufikiri hivyo basi hata hiyo elimu yako ni useless.
Hamna kitu humu.Sasa kama huna uhakika wa kula na matibabu si ndio Itafute? Kupambana na wasiohisika kwenye umaskini wako ni nini kama.sio.kujitafutia balaa.
Kazana kubisha mshahri mwanao basi
Wewe hakuna kitu unajua. Daudi alihesabu gharama kabla ya kwenda kupigana na Goliathi.Acha ujinga wewe,Daudi alipokwenda kupigana na Goliati angehesabu gharama angem-confront.Daudi alimuamini Mungu,na hiyo ikawa ndio nguvu yake.Sisi nguvu yetu kama Wananchi ni MUNGU.
Chawa wa mamaSawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?
Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.
Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Na sisi Mungu yupo upande wetu,hawezi kuwa upande wa wakata Albino viungo.Wewe hakuna kitu unajua. Daudi alihesabu gharama kabla ya kwenda kupigana na Goliathi.
Daudi alipohesabu gharama akagundua yeye anaye MUNGU WA KWELI anayemwabudu. Hivyo Daudi alijua fika kuwa MUNGU atamtia Goliathi mikononi mwake na ndiyo maana hakumwogopa Goliathi.
Kumbuka kabla ya vita Goliathi aliongea maneno ya kashfa dhidi ya BWANA MUNGU. Daudi alikasirika alipomsikia Goliathi akimkashifu BWANA MUNGU. Hiyo inatosha kukuonesha kuwa BWANA MUNGU alikuwa upande wa Daudi.
Maana wakoloni walikuwa wanakunyonga hadharani kabisa.Kama Nyerere na wenzake wangekuwa na mtazamo kama wako, hakika tungekuwa bado chini ya wakoloni weupe.
Sasa wewe manufaa yako ni kutokuwa navyo vyote hivyo?Tulia wewe!! acha kila mwanadamu afanye analoona kwake lina manufaa.
Unaongea hivyo sababu una uhakika na matibabu yako binafsi ama na familia yako, una uhakika na msosi wako wa kila siku, una uhakika kupeleka watoto wako shule nzuri ili baadaye nao waishi vzr kama wewe- ila ni ujinga mkubwa kutofiria wengine; haki zao za mambo hayo wanazipataje? Kama hufikiri hivyo basi hata hiyo elimu yako ni useless.
Yule anaesema katupwa katavi?Kweli kama yule dogo wa Twitter ukiingiza kwenye account yake mda wote anatukana watu matusi ya guioni kuanzia viongozi Hadi watu binafsi na alikuwa eti anahimiza wafanyabiashara Kugoma na kusambaza vipeperushi wakati akijua anakosea na sheria zinakana Hilo.
Huu ni ukweli japo watasema uache uogaSawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?
Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.
Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
MUNGU angelikuwa upande wenu msingetekwa na adui wala adui asingekuwa juu yenu.Na sisi Mungu yupo upande wetu,hawezi kuwa upande wa wakata Albino viungo.
Mkuu ndio adui yetu ametufanyia uovu mwingi,ila kila jambo lina wakati wake.Ufaransa kwa mfano waliwaibia Wakinabe,Wanaija na Wamali for decades,lakini muda ulipowadia they were kicked out.So CCM muda wao utafika,we will eventually kick them out.MUNGU angelikuwa upande wenu msingetekwa na adui wala adui asingekuwa juu yenu.
Mpaka sasa huyo adui yenu yuko juu yenu. Na anawafanya lolote atakalo.
Nashukuru karibu tena.Huwa mara nyingi Permanides sikubali mawazo yako,lakini leo nimekukubali.Asante kwa kutambua ukweli huu.