Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2000 kwa siku x 30.Duh si mchezo
Nakubaliana na wewe mkuu2000 kwa siku x 30.
Watu wengi wanatumia zaidi ya hiyo bila kujua. Unakuta mtu anaweka bundle la 1,000 hata mara 4 kwa siku. Ukijumlisha mwezi mzima ni kiasi gani??
Kwa rejareja linatumika bundle kubwa bila hata kujua.
Nzuri sana hii20k 22 gb airtel sme 😋
Supakasi115,000
Kawaida sana🙏Uko vizuri
Kama ni ya Tigo siyo 30,000? Gb 30?Na bado ukute unajibana
Dakika 2,000 unazimaliza kwa mwezi? Au hazikutoshi?Ndugu Mteja, plani yako ya Dk2000 Mitandao yote+GB25+SMS500 kwa Siku30 kwa 30000Tsh imeunganishwa kikamilifu. Piga *102# kuangalia salio
*Mara 2
Halotel na airtel hamna huduma hiyo?Unaenda tigo shop unasaini mkataba wanakuunga
Likewise[emoji2312]60000
Airtel wanayo SMEHalotel na airtel hamna huduma hiyo?
WiFi??Superkasi kwa 120,000 for my entire family
Mbona we unapata mserereko!! Mie Tshs. 50,000 naambulia 24 gb. Hiyo postpaid unajiungaje Vodacom?Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Hili ni neno la ukweli asee2000 kwa siku x 30.
Watu wengi wanatumia zaidi ya hiyo bila kujua. Unakuta mtu anaweka bundle la 1,000 hata mara 4 kwa siku. Ukijumlisha mwezi mzima ni kiasi gani??
Kwa rejareja linatumika bundle kubwa bila hata kujua.
Nenda Tigo Voda hawana hiyo hudumaMbona we unapata mserereko!! Mie Tshs. 50,000 naambulia 24 gb. Hiyo postpaid unajiungaje Vodacom?