Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Huwa na waambia naomba utelezi..wengine wanacheka wengine wanasema ukianguka je..na wajibu ntashikilia mapaja ili nisianguke.

Nenda straight kiutani huwa wanapenda sana..kuchumoa huwa ngumu wanaishia kutukana we malaya sana wakati ushakula mzigo..

Ukiwa na geto mwambie aje wikendi unataka umpikie chakula kitamu muulize anapenda chakula gani then mtumie hela ya nauli..mwalike mje mpike wote...huo mchezo huwa hawachomoki..mademu wanapenda sana kuwa comfortable hasa geto liwe self k utazichoka mwenyewe.

Tumia ndomu.

#MaendeleoHayanaChama
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Aisee muda wote huo wa nini? Kwanini usifunguke tu
 
Wa Zamani Siyo wa Sasa, tukutane kwenye Tamasha Mkuu😄😄😇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…