Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Usichochee uzinzi ndugu
 
Siku kila demu unaweza ku apply njia moja ata siku 1
 
We ndio mwanaume sasa
Wengine nyimbo nyiiingi wanataka wale mzigo hata vocha hawajatuma...
Ukifunguka bila kuombwa utakula na vya ziada
 
We ndio mwanaume sasa
Wengine nyimbo nyiiingi wanataka wale mzigo hata vocha hawajatuma...
Ukifunguka bila kuombwa utakula na vya ziada
Mmmh πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…