Giza halijawahi kwisha ndg!Wazee wanasema ilikuwa miaka hiyo ya GIZA
Hivyo wanakuteka njiani wanakuua?Nahisi kuna watu wanakufanyia kubisha ili waone kama matendo yao yatatajwa.
Mambo ya makafara yako kwenye kila jamii. Watu wa Asia hytoa sadaka kwa kuchinja mifugo na kuwapa maskini, n.k. ILa kwa sasa wabongo wamezidi kuchinjana asee! Ndio maana hata hizi ajali mbaya za barabarani serikali inaishia tu kutoa pole.
Hata kwenye miradi mikubwa, kama madaraja korofi kujengwa n.k, kuna namna viungo vya binadamu kama moyo m.k huwekwa ili mizimu iruhusu ujenzi.
Na jamii husika hutambua, na mtu aliyetolewa kafara hujulikana. Miaka ya 80 - 90 walikuwa wanamgonga mhuri kwapani. Hivyo askari au wazee wakikuta mhuri, wanasema ndg wakazike, na uchunguzi unaishia hapo hapo.
Haujambo mdogo wanguπWachawi mnaitana kilinge kipate nguvuπ€
Yeah! Na wanapochimbia hicho kiungo wanaweza kujenga mfano wa jiwe la msingiHivyo wanakuteka njiani wanakuua?
π«‘π«‘ Waelekeze ndugu zako kwa Huyo Mganga wako kindly.Mganga wangu ni Sir God
Hivi zile mali zilizoachwa na wajerumani zipo kweli? Au niache tu kuzitafuta πΉSio kila lisemwalo lipo watu wanaweza kusema uongo na uzushi tu , ukweli unahitaji uthibitisho.
Wapare watu wabaya sanaMganga wangu ni Sir God
ππ Safi Ashukuriwe Mungu atupaye nguvu za kumshinda shetani na mitego yakeNdio! Na alikua akimpigia simu ampeleke kwa mganga wake huko Upareni Mwanga
Alikua anamforce sababu ashajua siri yake
Mama yangu alibadili mpaka namba ya simu
Hope urassa unauliziwa . Anashindwa kunitofautishaHaujambo mdogo wanguπ
Hahaha zipo mkuu njoo tuzitafute wote huku msituni.Hivi zile mali zilizoachwa na wajerumani zipo kweli? Au niache tu kuzitafuta πΉ
Huyo mganga wa Mwanga lazima nimtafute anayetoa kafara na mzinzi wote wanaenda motoni na moto ni uleuleππ Safi Ashukuriwe Mungu atupaye nguvu za kumshinda shetani na mitego yake
Wapare kwa ujumla wao ni ndumba kwa kwenda mbele.Mimi namjua mmoja alikua rafiki wa mama yangu utajiri wake ni wa kutumia nyota za wafanyakazi wake
Ila ilipofika mwaka 2018 ikabidi amtoe mtoto wake na akafanya hivyo
Ashawahi kumshawishi mama yangu ajiunge huko mama akakimbia nduki na urafiki ukaisha.
Alikuja dar kama housegirl kutoka Upareni ila sasa hivi ni tajiri.
Umeamua usichague dhambi au?Huyo mganga wa Mwanga lazima nimtafute anayetoa kafara na mzinzi wote wanaenda motoni na moto ni uleule
Ni wewe acha kumsingizia manka wa watu anakunywa zake mbege weekend hii.Hope urassa unauliziwa . Anashindwa kunitofautisha
KabisaaUmeamua usichague dhambi au?
Aliyemdogo kwako si ni yeye? Au mbege imeshasambaa kichwani?π€Ni wewe acha kumsingizia manka wa watu anakunywa zake mbege weekend hii.
Zipo! Kabla hujaendelea na harakati za kuzitafuta, wanasema inapaswa apatikane mtu aliye timamu kimwili na mwenye vigezo vingine 'kiroho' wa kutolewa kafara kwa HIARI YAKE, ndio mizimu ya Kijerumani itakuachia Mali.Hivi zile mali zilizoachwa na wajerumani zipo kweli? Au niache tu kuzitafuta πΉ