Safi! Safi sana. Nakushauri yooote haya ingiza kwenye Ilani ya CHADEMA ya Mr Tundu 2025 bila shaka mtajishindia mkaifilisi TANESCO.Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Unamwambia mtu akatafute Hela, wewe huu muda wa kumjibu Kwa nini usikomae kutafuta Hela!? Hiyo ni kuleta kujuana.Wewe nani uzuie Samia asichaguliwe tena 2025? Acha kupoteza katafute hela
Daah unatia huruma kwa namna unavyojitahidi kuwa wakala wa shetaniUmeandika 🚮🚮 na ujinga.
Nakuuliza kitu Kimoja ,leta ushahidi wa Rushwa kukithiri kwanza Ili tuone kwamba sio chuki binafsi.
Mwisho fomu ya Urais itakuwa Moja
Mbona jibu limeeleweka na hilo tena unataka kulipindisha??Swali sio Watanzania tuko wangapi, swali ni kama sio CCM ni nani?.
P
Kwa hivyo tumkabidhi Ikulu yetu mtu yeyote kwa mtindo wa kolo kolokolo bila kuujua uwezo wake?.Punguza maswali yasiyo na mantiki. Wekeni fair ground mjue anakuja nani.
Na wewe ni wakala wa nani?Daah unatia huruma kwa namna unavyojitahidi kuwa wakala wa shetani
Kwa nini Tanesco ifilisiwe...?Safi! Safi sana. Nakushauri yooote haya ingiza kwenye Ilani ya CHADEMA ya Mr Tundu 2025 bila shaka mtajishindia mkaifilisi TANESCO.
Kwa taarifa yako kama ccm imeweza kutawala nchi hii muda wote huu, hakuna chama kitashindwa. Nenda hapo Kenya kawaulize wale waliokuwa wanasema KANU tu ndio inaweza kuongoza Kenya, na utazame kinachoendelea Sasa baada ya KANU kuelekea kuzimu.Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?
Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Hiki ndicho tunakwenda macho 2025Tuanze na Free and Fair elections kwa dhati kabisa bila mizengwe mizengwe ya aina yeyote ile tuone nini kitatokea !!
Mchakato utafanyika na hakuna wa kumshinda huko ccm Kwa Sasa,kama yupo mtaje.Upuuzi TU uliondika hapa. Ajuza anatafuta huruma apitishwe bila mchakato wakati MaRais wote waliopita walipitia michakato rasmi ya chama. Huo alionao ni wa kuokota.
CCM haijawahi kukubali uchaguzi huru na wa haki tangu kwenye uchaguzi wa mwaka 2000.Hiki ndicho tunakwenda macho 2025
P
Yaani ukimsikiliza huyu rais wakati anaongea unashindwa kujua ni nchi gani anaongelea.
We start with Free and Fair Election 🗳Who are they? Where are they?
Na wanapitia chama kipi?
Ngoja Tusubiri tuone ! 🙏🙏Hiki ndicho tunakwenda macho 2025
P
Wa Mbingu.Na wewe ni wakala wa nani?
Ingekuwa ccm inaweza kushinda kihalali, tusingekuwa tunaona uhayawani unaoendelea kwenye chaguzi zetu. Sio kwamba ccm inaogopa uchaguzi wa halali kwa bahati mbaya, inajua hiki sio kizazi Chao, na kitendo Cha kuruhusu uchaguzi huru tu ndio itakuwa mwisho wake. Na hii ni nature kuwa watu huchoka kitu baada ya muda fulani.Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine cha kukisogeza, na kama kinatembea kitaendelea kutembea mpaka kitokee kingine cha kukisimamisha!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Labda mbingu ya yule papa wenu wa 🌈Wa Mbingu.
Nasema ukweli
Nakemea uovu
Nashauri kwa wema na njia njema
Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine cha kukisogeza, na kama kinatembea kitaendelea kutembea mpaka kitokee kingine cha kukisimamisha!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Free ana fair election haitaweza kupatikana kwa mgombea mmoja kuwa juu ya Sheria. Wasiojitambua tu ndio wanaweza kuamini hayo maigizo.Hiki ndicho tunakwenda macho 2025
P