cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila binadamu [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila binadamu [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂😂Nshakutana na wizo akee, [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hakuna kitu ka hiko wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkikataliwaga na vidampaa, mnakua bitter sanaa, naijua hiyoooo.
Indeed this is a mental problemMatatizo ya akili yanaongezeka kwa kasi sana aisee!
Kamtazame Tyler perry Kwenye movie za Madea ziko nyingi, lazima ucheke kinyamaNapenda Sana Love stories drama na comedy,hasa Za Adam Sandler, Nicholas Sparks,.Ila drama zisiwe kuzidi reality..haha hiyo mnaipendea Nini?
Mimi na Tyler Perry mbali mbali labda the haves and the haves not
Shangazi movie za Madea umesha ziona??Mea Culpa 😂 (sio nzuri kivilee)
Mi napenda love stories, drama+comedy sijui wewe.
Sorry zinakua ni movie au series nahitaji kuzichekiShangazi movie za Madea umesha ziona??
Kitambo Sana hizo movie wakati tunakua,. kulikua na hiyo na Roscoe JinkizKamtazame Tyler perry Kwenye movie za Madea ziko nyingi, lazima ucheke kinyama
Kuna jamaa Ali igiza night at the museum, una mpata ana jua Sana yule mwambaKitambo Sana hizo movie wakati tunakua,. kulikua na hiyo na Roscoe Jinkiz
Single movie, sema kila movie na theme yake tu.Sorry zinakua ni movie au series nahitaji kuzicheki
SawaSingle movie, sema kila movie na theme yake tu.
Kuna Madea return, Madea family reunion, ziko nyingi na nzuri mno
AiseeHuyu ni Mwanaume kutoka Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.
Jina lake ni Daniel Anthony Nskan.
View attachment 2947534View attachment 2947535View attachment 2947536
Nimeziona nyingi.Shangazi movie za Madea umesha ziona??
Juzi usiku , I feel pretty gud kusikia hivyo shangazi mzuri🤓Nimeziona nyingi.
Glad to see you here, umefunguliwa lini? 😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utasikia "daaah had wee unanitolea nje? Nna nn mimi?".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna kitu ka hiko wewe
Mie somo na nyakanga, nafunda mwali na somoyee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wizo kila kwa jambo la ndoa ana ku tag...
Anasema wewe kungwi sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Weee mbona umekamia sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utasikia "daaah had wee unanitolea nje? Nna nn mimi?".
Bas mtaanza chuki na visa hapo, jaman vidampa hawapo kwa kila mtu, wana watu wao special wanao waelewa na kuwakubalii.
Acheni chuki bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahaha aaaaaaah wapiiii somo uwe wewe 😂😂😂Mie somo na nyakanga, nafunda mwali na somoyee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]