Mwanaume kushinda unashindana na mwanamke eti kulipiziana visasi ni upuuzi wa hali ya juu kwani huna mambo ya kufanya ?kyanyangwe mwanamke hapigwi.
MWanamke analipizwa . Ili aone alichokifanya sio kizuri ungetakiwa kumwambia pole
Mm sijawahi kumpiga mke wangu kwa sababu anatimiza majukumu yake kama mke na mama wa familia lakini siku akileta ujinga atarudishwa kwenye mstaari kwa vibao viwili vitatu.Ni lami sio Rami ,piga mkeo mkuu akuheshimu maradufu
Ndo maana nakuambia piga kabisa huyo mkeo siku alikikukosea,ikiwezekana muueMm sijawahi kumpiga mke wangu kwa sababu anatimiza majukumu yake kama mke na mama wa familia lakini siku akileta ujinga atarudishwa kwenye mstaari kwa vibao viwili vitatu.
Haiwezekani eti mama wa watoto tena wadogo unarudi ndani saa 5 za usiku bila sababu za msingi.
Siwezi kuruhusu mke awe juu yangu kwa mujibu wa dini yangu.Ukimfungia mlango, anarudi kufarijiwa na wasiojulikana. Hapo you are a looser.
Shida siyo kumchalaza kwa akili shida kubwa nikuwa tunafanya dhambi alafu ukiangalia huyu ni mtu mzima tofauti na mtoto yeye huwa haelewi kitu pia uwezi kuelewana nae kwa mazungumzo, yani ni mtoto sasa huyu mtu mzima lazima uangalie namna ya kumalizana nae kumpiga sio suluhisho huyo sio mtoto pengine atskuja kukuuwa hapo ndipo visasi vinaanzaga, utampiga mtu mzima kumfundisha sijui kumtisha anaweza kukumaliza huyo, ila kama ukitumia akili na busara hatimae atabadirika na atakupenda sana lakini fimbo kwa mtu mzima ni makosaHivi watoto na mwanamke yupi ni rahisi kufa kwa kuchapwa,unapiga watoto wako fimbo wakikosea halafu huyu mtu mzima unasema ukimpiga atakufa.Mcharaze kwa akili tu kama unavyocharaza watoto unaowapenda...
Kama unasema uwezi kufanya kitu flani bila dini basi ujue wewe bado hujakomaa akiliSiwezi kuruhusu mke awe juu yangu kwa mujibu wa dini yangu.
Ndio maana nikasema nafunga mlango mimi nalala yeye akamalizie kipolo huko alikokuwa.
maongezi kesho nikitoka kusaka pesa.
Mwanaume si kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanaume.
Mwanzo 3
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Bado unakuwa wewe sio kosa lako hujui unachokiropokaNdo maana nakuambia piga kabisa huyo mkeo siku alikikukosea,ikiwezekana muue
Usilipize kisasi hivi visasi huwa havina ukomo hivyo hili sio suluhishokyanyangwe mwanamke hapigwi.
MWanamke analipizwa . Ili aone alichokifanya sio kizuri ungetakiwa kumwambia pole
Mbona kama umepaniki hivi tatizo ni nn??Ndo maana nakuambia piga kabisa huyo mkeo siku alikikukosea,ikiwezekana muue
Alale kabisaaKwema wajumbe?
Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.
Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.
Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.
Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.
Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.
Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
Kama ukiwa mpumbavu ni lazima utataka kusikiliza upuuzi wa mkeo.Kama unasema uwezi kufanya kitu flani bila dini basi ujue wewe bado hujakomaa akili
Mawazo ya kijima ya cavemenSiwezi kuruhusu mke awe juu yangu kwa mujibu wa dini yangu.
Mwanaume si kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanaume.
Nakijua mkuu ,20 yrs kwenye ndoa bila Kofi Kwa mke wangu sio mchezo ukute wewe miaka 3 ndani ya ndoa Kila siku keleleBado unakuwa wewe sio kosa lako hujui unachokiropoka
Mimi nipaniki mkuu,unless hunijui kabisaMbona kama umepaniki hivi tatizo ni nn?
SahihiKama unasema uwezi kufanya kitu flani bila dini basi ujue wewe bado hujakomaa akili
Mkuu ni kweli hayo yote unayoyaongea ni sahihi tatizo lipo hapa kwenye kupiga mtu kwanza hata sheria haziruhusu na hata dini zinasisitiza unyenyekevu na kusamehe hapo wewe usingempiga unge waita ndugu zake ili muangalie suluhisho ni nini pia unapaswa wewe kuwa ndio chanzo cha upendo ukitumia busara kwenye mambo kama haya itaongeza upendo kwa mkeo na inafaida kubwa sana kuliko kumpiga sijui unanielewaKama ukiwa mpumbavu ni lazima utataka kusikiliza upuuzi wa mkeo.
Inawezekana vipi mtu na akili yako wewe ndio uwe ndani mke yuko kulewa na wahuni wenzie harafu uruhusu aingie ndani akudanganye.
Labda kama nyumba kanijengea yeye.
La sivyo kesho ni lazima aje na ndugu zake ndio aongee huo ujinga.
Ndio maana nimekuambia Dini yangu mimi inasema mwanaume ndio kichwa.
Na kama ni kichwa ni lazima mke ajue kuwa akileta ujinga moto lazima aupate.
Ndio maana nimesema siruhusu kwa muda huo kuingia ndani Mkuu.Mkuu ni kweli hayo yote unayoyasema ni sahihi tatizo lipo hapa kupiga mtu kwanza hata sheria haziruhusu na hata dini zinasisitiza na kusisitiza hapo wewe ukitumia ungesamehe ndugu zake ili muangalie suluhisho ni nini pia unapaswa kuwa chanzo cha upendo ukitumia busara kwenye mambo kama hayo. haya itaongeza upendo kwa mkeo na inafaida kubwa sana kuliko kumpiga sijui unanielewa
Tabia ya kupiga wanawake ukianza huwez acha ni kama madawa ya kulevyaaKwema wajumbe?
Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.
Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.
Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.
Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.
Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.
Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?