Unaweza kumruhusu mkeo akae nje mpaka saa 4 za usiku na anaowaita rafiki zake?

kyanyangwe mwanamke hapigwi.
MWanamke analipizwa . Ili aone alichokifanya sio kizuri ungetakiwa kumwambia pole
Mwanaume kushinda unashindana na mwanamke eti kulipiziana visasi ni upuuzi wa hali ya juu kwani huna mambo ya kufanya ?
Mke wako akikosea toa uamuzi kama unamuadhibu ,kama una muonya,kama unamsamehe basi ili maisha yaendelee.
 
Ni lami sio Rami ,piga mkeo mkuu akuheshimu maradufu
Mm sijawahi kumpiga mke wangu kwa sababu anatimiza majukumu yake kama mke na mama wa familia lakini siku akileta ujinga atarudishwa kwenye mstaari kwa vibao viwili vitatu.
Haiwezekani eti mama wa watoto tena wadogo unarudi ndani saa 5 za usiku bila sababu za msingi.
 
Ndo maana nakuambia piga kabisa huyo mkeo siku alikikukosea,ikiwezekana muue
 
Ukimfungia mlango, anarudi kufarijiwa na wasiojulikana. Hapo you are a looser.
Siwezi kuruhusu mke awe juu yangu kwa mujibu wa dini yangu.
Ndio maana nikasema nafunga mlango mimi nalala yeye akamalizie kipolo huko alikokuwa.
maongezi kesho nikitoka kusaka pesa.
Mwanaume si kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanaume.

Mwanzo 3
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
 
Hivi watoto na mwanamke yupi ni rahisi kufa kwa kuchapwa,unapiga watoto wako fimbo wakikosea halafu huyu mtu mzima unasema ukimpiga atakufa.Mcharaze kwa akili tu kama unavyocharaza watoto unaowapenda...
Shida siyo kumchalaza kwa akili shida kubwa nikuwa tunafanya dhambi alafu ukiangalia huyu ni mtu mzima tofauti na mtoto yeye huwa haelewi kitu pia uwezi kuelewana nae kwa mazungumzo, yani ni mtoto sasa huyu mtu mzima lazima uangalie namna ya kumalizana nae kumpiga sio suluhisho huyo sio mtoto pengine atskuja kukuuwa hapo ndipo visasi vinaanzaga, utampiga mtu mzima kumfundisha sijui kumtisha anaweza kukumaliza huyo, ila kama ukitumia akili na busara hatimae atabadirika na atakupenda sana lakini fimbo kwa mtu mzima ni makosa
 
Kama unasema uwezi kufanya kitu flani bila dini basi ujue wewe bado hujakomaa akili
 
Alale kabisaa
 
Kama unasema uwezi kufanya kitu flani bila dini basi ujue wewe bado hujakomaa akili
Kama ukiwa mpumbavu ni lazima utataka kusikiliza upuuzi wa mkeo.
Inawezekana vipi mtu na akili yako wewe ndio uwe ndani mke yuko kulewa na wahuni wenzie harafu uruhusu aingie ndani akudanganye.
Labda kama nyumba kanijengea yeye.
La sivyo kesho ni lazima aje na ndugu zake ndio aongee huo ujinga.
Ndio maana nimekuambia Dini yangu mimi inasema mwanaume ndio kichwa.
Na kama ni kichwa ni lazima mke ajue kuwa akileta ujinga moto lazima aupate.
 
Mkuu ni kweli hayo yote unayoyaongea ni sahihi tatizo lipo hapa kwenye kupiga mtu kwanza hata sheria haziruhusu na hata dini zinasisitiza unyenyekevu na kusamehe hapo wewe usingempiga unge waita ndugu zake ili muangalie suluhisho ni nini pia unapaswa wewe kuwa ndio chanzo cha upendo ukitumia busara kwenye mambo kama haya itaongeza upendo kwa mkeo na inafaida kubwa sana kuliko kumpiga sijui unanielewa
 
Ndio maana nimesema siruhusu kwa muda huo kuingia ndani Mkuu.
.Maana kwa wakati huo unaweza kuvunja mtu.
 
Tabia ya kupiga wanawake ukianza huwez acha ni kama madawa ya kulevyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…