Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amka mchape mikono ndio malipo hayoKuna mtu anakusanya takataka Sasa Leo amekuja kwangu ananigongea mlango kwa Fujo sana je naweza kumshitaki??
Ikiwezekana anilipe?? Mana natumia kama fursa ya kupata hela je inawezekana???
Halafu baada ya hapo utaitwa kituoni kwani jamaa atakuwa amekwenda kupata RB kwa ajil yako. Then utamlipa wewe.Amka mchape mikono ndio malipo hayo
ya nini kumshtaki?,,siku nyingine wewe bana hapo sebuleni alaf egesha mlango,,akianza kugonga,,,,,unafungua mlango ghafla,alaf unamrukia kichwa cha kondoo,then unachukua simu yako unamwekea mfukoni alaf unatimtia mwizi!!!atashitakiwa kwa kesi ya wizi,hiyo ya kugonga mlango sio kesiKuna mtu anakusanya takataka Sasa Leo amekuja kwangu ananigongea mlango kwa Fujo sana je naweza kumshitaki??
Ikiwezekana anilipe?? Mana natumia kama fursa ya kupata hela je inawezekana???
Hahahaha 😂 noma sanaya nini kumshtaki?,,siku nyingine wewe bana hapo sebuleni alaf egesha mlango,,akianza kugonga,,,,,unafungua mlango ghafla,alaf unamrukia kichwa cha kondoo,then unachukua simu yako unamwekea mfukoni alaf unatimtia mwizi!!!atashitakiwa kwa kesi ya wizi,hiyo ya kugonga mlango sio kesi
Oooh. Hiyo mbaya sana broo.. Ukipiga kelele za mwizi!!! wenye hasira watamshukia kama wimbi na kumwuua. Je; si utakuwa ww ndo umemsababishia kifo/umauti ilhali kiukweli yy sio mwizi? Kwa nini usimtokee hapo nje na kumuonya kwa ukali kwamba hutaki hiyo tabia na asirudie tena kufanya hivyo siku zijazo?ya nini kumshtaki?,,siku nyingine wewe bana hapo sebuleni alaf egesha mlango,,akianza kugonga,,,,,unafungua mlango ghafla,alaf unamrukia kichwa cha kondoo,then unachukua simu yako unamwekea mfukoni alaf unatimtia mwizi!!!atashitakiwa kwa kesi ya wizi,hiyo ya kugonga mlango sio kesi
Uko na Pesa nyingi za kupoteza ee?Kuna mtu anakusanya takataka Sasa Leo amekuja kwangu ananigongea mlango kwa Fujo sana je naweza kumshitaki??
Ikiwezekana anilipe?? Mana natumia kama fursa ya kupata hela je inawezekana???
Je; kama ni baunsa si kibao kinaweza kumgeukia?Umshtaki wa nini huyo? Ungemuwahi ukampa ngumi ya sikio siku nyingine asingerudia
Mlangoni kwake mkuu kuwa serious unampa ngumi heavyJe; kama ni baunsa si kibao kinaweza kumgeukia?
Mhhhh! Je; Umeliona umbile la mzoa taka na la huyo unayemshauri ampe ngumi heavy? Kwani kuwepo mlangoni kwake kwa kazi ya kuzoa taka ni shida? Ndo mara ya kwanza kufanya kosa la kugonga mlango? Kwani hakuna namna nyingine isiyo kuwa kupiga ambayo ni endelevu zaidi (sustainable)ya kupata ufumbuzi kwa kero hiyo? Nyie vijana mnadhani kila tatizo/kero hutatuliwa kwa ngumi.Mlangoni kwake mkuu kuwa serious unampa ngumi heavy
Mkuu huu ushauri mpe mtoa mada maana kama alikereka mpaka anataka kufungua mashtakaMhhhh! Je; Umeliona umbile la mzoa taka na la huyo unayemshauri ampe ngumi heavy? Kwani kuwepo mlangoni kwake kwa kazi ya kuzoa taka ni shida? Ndo mara ya kwanza kufanya kosa la kugonga mlango? Kwani hakuna namna nyingine isiyo kuwa kupiga ambayo ni endelevu zaidi (sustainable)ya kupata ufumbuzi kwa kero hiyo? Nyie vijana mnadhani kila tatizo/kero hutatuliwa kwa ngumi.
Nadhani kwa mjadala huu baina yangu na wewe; mtoa mada atakuwa tayari keshajifunza kitu hapo. Asante kwa mjadala wa kistaarabu.Mkuu huu ushauri mpe mtoa mada maana kama alikereka mpaka anataka kufungua mashtaka