Unaweza kumshitaki mtu alikugongea mlango kwa Fujo ukiwa ndani?

wakusanya uchafu wote ni wezi!!
 
Hah hah.... polee sana mkuu!!! Naona wataka kutumia kero kama fursa lkn apa naona tatizo ni wewe! Huenda hulipi hela ya taka na kwa tafsiri ya statement yako inaonesha mgongaji katumia nguvu ya ziada maana we umekuwa kero na mdaiwa sugu!!!
 
wakusanya uchafu wote ni wezi!!
Sio kweli mkuu. Mbona hapa kwetu wanakusanya lakini hatujasikia au kupata taarifa ya kutokea kwa wizi majumbani mwetu? Sisi huku utaratibu ni kwa ww mwenye nyumba kuuweka uchafu na matakataka mengine kwenye viroba na kuweka nje viroba hivyo pembeni ya barabara. Kila mwezi tunalipa 2,000/=
 
sijasema wizi wa kuvunja nyumba,no,yaani wakija kukusanya uchaffu,wakikuta ndala,nguo,sufuria n.k,,,,,wanachanganya na uchafu!!mimi mwenyewe kuna mkusanya uchafu mmoja anaitwa maloba,mara nyingi tu,ananipitishia nguo yeboyebo .k kwa bei cheee!! sasa wewew endelea kuwtatetea!!
 
Ndo shida ya kukaa nyumba isiyo na fence, hao vijana wanaakuwaga wasumbufu sana. Mi kuna mmoja aliwah kuja kugonga dirishani, nilimmind vibaya hakurudia tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…