Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

...ukienda kwa mtu mda wa chakula, kama hamkuwa na miadi na unaona kabisa menu iliyopo haiwezi kukodhi wao na wewe, vunga tu, omba maji au juice.
Weeeeh acha uchoyooo, tutagawana hicho hicho.
 
...ukienda kwa mtu mda wa chakula, kama hamkuwa na miadi na unaona kabisa menu iliyopo haiwezi kukodhi wao na wewe, vunga tu, omba maji au juice.
Kwamba hata ukikaribishwa msosi kwa msisitizo wenye nia ya kweli utavunga unaangalia teevee kwa umakini mkubwa?😎
 
Unapokuwa na safari ya kumtembelea mtu hakikisha umevua viatu mlangoni.
NB;Kwa wavaao soksi hakikisha una pairs nyingi,unabadilisha na ziwe safi hazijatobokatoboka.
 
Hakikisha unashiriki katika shughuli za furaha pia kwa ndugu, jamaa na marafiki wengi wanatoa kipaumbele kwenye majanga tu

Anaweza akatoa mchango ila asifike kwenye shughuli ni muhimu kushiriki kote kote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…