Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

Usiende nyumbani kwa mtu/watu bila kutoa taarifa.
 
Namba 4 hiyo naifanya sana.
Lazima nikutumie na pesa ya kutolea
 
mke/mchumba akisema mmemalizana usimdhalimishe mrudiane utaumia zaidi
 
Uhafidhina huu
 
huu ndio uungwana
 
Ukipewa ofa ya kula mgahawani/hotelini usizidishe bili/bajeti. Ukipewa chapati mbili na kikombe kimoja ishia hapohapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…