Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Ni heri mtu akalime kijijini kuliko kuwa bodaboda Dar es salaam.
Wazazi wengi wamejeruhiwa mioyoni baada ya watoto wao ambao ni bodaboda kufa hovyo mijini
We unazo ngapiWewe huna akili kwahiyo siwezi kupoteza muda wangu kukujibu tena.
Alikuwa na hoja ila uwasilishaji ndio kapuyanga.Kama wewe ni mkazi wa Dar es salaam na unazunguka Dar es salaam unajua athari za kazi ya bodaboda.
Ni kazi ambayo imeacha watoto yatima kuliko kazi zingine nyingi.
Ukitoka Airport mpaka Posta lazima ukute mahali boda kaliwa kichwa.
Huna akili yaani bodaboda ndio vibaka namba 1 unasema imepunguza wezi
Huna akiliLabda vibaka huko nyumbani kwenu.
Tunazungumzia katika ngazi ya kitaifa matukio ya uporaji, wizi na vibaka yamepungua
Siachi kwakuwa wewe unayelelewa umesema.Achana na hiyo mishe mkuu utatembelea magoti mda sio mrefu
Huna akili
Hiyo sio kaziAlikuwa na hoja ila uwasilishaji ndio kapuyanga.
Kwaiyo waolewe na mzungu km ww,au waibe mkuu?Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Kweli sababu wazazi wako walikua wajinga kwahiyo endelea kucheza na maisha barabaraniSiachi kwakuwa wewe unayelelewa umesema.
Mimi siwezi kulelewa kama wewe.
We umeshawahi kuolewaKwaiyo waolewe na mzungu km ww,au waibe mkuu?
Last week tegeta wamepasuliwa vichwa watatu, na roli, Mungu awarehemuVijana wapumbavu hawatakuelewa.
Nilitaka kuleta Uzi leo kuhusu jambo hili , thanks umeniwahi.
Bodaboda leo asubuhi kaburuzwa na daladala mataa ya Vingunguti.
Niliidharau sana kazi ya bodaboda. Ni heri mtu auze mishikaki ya mia mia
Muda sio mrefu utatembelea magotiHuyu kachafua brand mashabiki wa arsenal hawajawahi kuwa mazwazwa kiasi hiki
Umeolewa wewe imetosha.We umeshawahi kuolewa
BrazaYaah! Watu wanaishi, Watu wanalea familia zao, Watu wanasomesha, Watu wamejenga kupitia hiyo kazi!
Nadhani target yako ni kujua mchanganuo kwamba wanawezaje kufanya hivyo - wanagawaje kipato!
Au?
Mungu mnampa kazi tu kisa ujinga wenuLast week tegeta wamepasuliwa vichwa watatu, na roli, Mungu awarehemu
Nimekuuliza wewe umewahi kuolewa maana ndio umetamka Hilo nenoUmeolewa wewe imetosha.
We jamaa Huna akili na ni Mjinga sana.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya