๐๐๐๐ Sio kweli mbona kwenu uchagani hawazeeki!!Kunde ndo nzuri, nyama utazeeka mapema mmeo atachepuka
Sawa binti?
Ha haaaa unataka kusemaje wewe?๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃInvitation to treaty
huoni wanavyoteseka na magonjwa ya moyo๐๐๐๐๐ Sio kweli mbona kwenu uchagani hawazeeki!!
๐๐๐๐Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Weeeee staki smart hakunaa! Huo uchunguzi kwioo๐๐Msaada noaweza kumpa amlete kwangu kidogo...
Nimuweke chini ya uchunhuzi kidogo..
Ofcoz kwa ruksa Yako sweetheart...
Napenda mwanamke akiwa na ujinga ujinga kama wewe sweetheart siyo serious...
Uongo, mbona wamasai hawapati hayo magonjwa?? ๐๐๐huoni wanavyoteseka na magonjwa ya moyo๐
Kwakwel nimeona aibu sanaNa kawavua nguo haswaah!! Siku atakuja kusema lingine zito kuliko hilo. Ujinga mtupu
wewe kula maharage, achana na balimi uje uniambie kama hutokua mrembo๐Uongo, mbona wamasai hawapati hayo magonjwa?? ๐๐๐
Sasa imagine akil hii ya kumfedhehesha mkewe asijue anajivua nguo si yeye tu bali hata sie wengineKabisa asee hawa madogo wa saiv sijui akili zao zimekuwaje
Amezingua kinoma, vipi na mkewe akileta madhaifu yake atajisikiaje??Kwakwel nimeona aibu sana
Niko kula hapa ๐wewe kula maharage, achana na balimi uje uniambie kama hutokua mrembo๐
Hum unaleta hoja zenye mashiko sio hayama ujinga personalAmezingua kinoma, vipi na mkewe akileta madhaifu yake atajisikiaje??
Hiz fujo sasaNiko kula hapa ๐
Nikajua unakulaga chips na pizza tuNiko kula hapa ๐
Mimi huwapenda sana Wanawake hao Wanaojambajamba hovyo kwani hunirahisishia Kazi kujua kuwa wanatoa 'TOILET' hivyo nami kutoa Ushirikiano kwa 'KUWAZIBUA' na hufurahia mno kama ninavyofurahiaga sana.Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Huyo mwanaume mwenzenu inaonyesha ni mtu mwenye gubu na mwenye kujihesabia hakiโฆ. Kifupi Mungu mtu anajiona ๐Hum unaleta hoja zenye mashiko sio hayama ujinga personal
Hujakosea. Mbaya sasa awe na vijisent,utaona dunia chunguHuyo mwanaume mwenzenu inaonyesha ni mtu mwenye gubu na mwenye kujihesabia hakiโฆ. Kifupi Mungu mtu anajiona ๐
๐๐๐ na chips nakulaga wakinga na ndosa tena unatutoaje hapo??Nikajua unakulaga chips na pizza tu
Kumbe wa kienyeji