min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kumbe ndoa ni riziki kwenu dah mmeona ?Waache kampeni zao na kupigia wengine kelele..wanatuzibia riziki wengine
Shenz[emoji41][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndoa ni riziki kwenu dah mmeona ?Waache kampeni zao na kupigia wengine kelele..wanatuzibia riziki wengine
Shenz[emoji41][emoji38]
#KATAANDOAShetani yuko kazini,
Ndio ni Riziki kwao usione wanalazimisha Ndoa ukadhani ni wajingaKumbe ndoa ni riziki kwenu dah mmeona ?
Anakutazama km anataka kukumeza? 😂
Sheria ya Ndoa ndio shida inambeba mwanamke alafu kuna habari za 50 kwa 50, ni ujinga kwa mwanaume mwelevu kushupalia Ndoa maana mwanamke ukimwambia kuhusu Ndoa hua anakenua maana anajua kaokota mgodi wa Dhahabu baada ya Ndoa kinachofuata ni kumpurula mwanaume huku Serikali ikimpa usaidizi (backup) sasa huo ujinga wanaume hatuutakiWaoga hao
Hiv hatuna members wa kataa ndoa wanawake?Ndio ni Riziki kwao usione wanalazimisha Ndoa ukadhani ni wajinga
#KATAANDOA
#NDOANIWIZI
#NDOANIUTAPELI
#USIOE
#HAKUNAKUOA
Sijaona members wa kike 😂Hiv hatuna members wa kataa ndoa wanawake?
Bado umeweka hisia zako , huna hoja.NdMoa siyo Sakramenti, Bwana hakuoa.
Ni njia kuongeza idadi ya watu zaeni mkaongezeke.
Mtume mmoja. Paulo . alisema ukiweza oa ukishindwa uwe toashi kama yeye yaani uhasiwe, castration.
Wanaokataa ndoa waasiwe ili wasituharibie watoto pia wasile wake za wenzao
Una akili sana.Wakiwazuia watu wasioe
Ndugu mada hakuna anayemzuia mtu asioe.l, kinachofanyika ni kuwashauri wasioe.
Neno kuzuia ukiangangalia kwenye kamusi ya TUKI Ina maana ya matumizi ya nguvu ktk kulifanya Jambo fulani lisifanyike ama kutokea".
Hahaha! Daah we jamaa.Kwa sasa ndoa ni UPUMBAVU wa hali ya juu sana. Nipo hapa Jamatini Dodoma njoo unipige.
Hahaha.Nimetoka kuleeee kuja humu kuwaambia kuwa.......
Nimewakusanya wotee ili niwaambie "Nyie tukaneni, kebehini, ropokeni" yaani andikeni lolote ila HATUOI HATUOI HATUOI.
Anyway:- Karibu gheto tusikilize song la zuena la mkali mwenzetu MOND A.K.A mkataa ndoa A.K.A baba Tiffah.
Nasubiri matusi yoteee
Nasubiri kejeli zotee
.... Ila YATAPITAAAAAAAA
Nakala:-
dronedrake
Mafian cartel
Waione kwenye jalada.
#YNWA
Naam.NDOA hizi za kisasa za kinyonyaji lazima zipingwe Hadi mamlaka zirekebishe SHERIA ya 50/50!
Lazima zipingwe kama mamlaka zinaunga mkono feminism yaani usawa wa kijinsia WAKATI hakuna usawa katika uwajibikaji!!!
Kupingwa kwa NDOA za kishetani za kisasa sio dhambi,NDOA inayomuweka mwanamke na mwanamme kuwa sawa kimaamuzi ndani ya NYUMBA ni NDOA za lilith hazifai kwa ustawi wa jamii!!
NDOA zinazodogosha mamlaka ya kiume ndani ya NYUMBA na kumfanya mwanamme mtumwa wa kumfurahisha mwanamke wakati mwanamke ana back up ya Serikali ni ujinga wa Hali ya juu!!
Nyie wanawake RUDINI BEIJING MKAFUTE ULE MKATABA WA SHETANI WA HAKI SAWA WA KIJINSIA NA KURUDISHA YALE MAMLAKA YA KIUME YALIYODUMISHA NDOA ZAMANI!!
HAMUWEZI KULILIA HAKI SAWA YA KIJINSIA WAKATI HAKUNA USAWA KIMAJUKUMU KWENYE NDOA!
RUDINI BEIJING MRUDISHE HADHI YA MWANAMME NA SISI TUTAWAOA!!
Hawana ubavu huoHiv hatuna members wa kataa ndoa wanawake?