UNGA: Speech ya Ruto dakika 29 yote katoa kichwani, Majaliwa dakika 16 tu kasoma makaratasi

Duuu aiseee nmecheka sana ,alaf Kuna jamaa mmoja alikua anasema sijui watu waende Burundi!! Tanzania siwez hama
 
Mkenya wa kawaida huwezi fananisha na Mtanzania wa Kawaida. Mtu Kama Samia, kwa Kenya hasingeweza kupata hata nafasi ya ubunge achilia mbali umakamu wa Rais.
 
Bora majaliwa angeenda mwenyekiti wake ingekuwa balaa na aibu tupu
 
Sasa

shid ipo wap sasa? Hata ivyo si Kuna tofaut ya Rais na wazir mkuu? Na pili kila mmoja si ana uraia wa nchi yake?
andika vizuri kwanza mkuu nisome upya kisha nikujibu. samahani kwa usumbufu!
 
Document iliyosoma UN ingetumwa kwa Whatsapp,ili wajumbe waipata tunge save millions of money, na pesa hiyo ingeweza kusaidia kununua vitabu watoto wasome.
Teh teh teh 😃 😃 noma sana
 
Hamia kenya basi unafanya nini Tz,huo ni umalaya wa fikira kwani akisoma anapungukiwa nini na huyo ruto kapata nini kinachokufaidisha??
 
Dunia ni kijiji sasa hivi kwa sababu ya utanndawazi.

Wewe endelea kung'ang'ania kiswahili ili uishie kufa njaa
Tutakua watumwa hadi lini? kwanini tusijikombowe kutoka mfumo huu, wa kimagharibi, kwanini elimu yetu? Tizameni mataifa kama china, japan, na korea yameendelea bila wao.
 
Jenista mhagama alisoma speech yote alikuwa anakosea kila herufu,eti ndio pisi ya Taifa,yaani ukija upepo karatasi ikipepea ni kilio.
Wa TZ ni bongolala
,njooni mnikamate niko Kibera,Nairobi
Waziri asiyejua kutofautisha R na L.

Ila yule mheshimiwa atakua na sangoma konki
 
Somesheni watoto wenu kiingereza. Over...
 
Now you can observe the difference between the elites.
Yaani hata salamu tu🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…