Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Vita ni pamoja na propaganda. Hizo video zinatolewa kimkakati ili kushusha morali ya wanajeshi wa Israeli Ila kiuhalisia hali ni mbaya zaidi kwa magaidi ya hamas
Afadhali useme vita ni kali kwani kwa hasara wanayoipata Israel haikutarajiwa.
 
Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Huo ndiyo Uongo uliojaa Kwenye Vichwa vya ma terrorist baada ya kudanganywa kuwa watakutana na bikira mreeeeeefu Kama mti Kumbe wakifika huko wanakutana na kipigo cha moto .

 
normal cost of wars....at the end, HAMAS na wapalestina ndo wanapoteza zaidi
 
Hao wanaamini kuna mabikra 72 watapewa. Wehu saana. Wanawaza wafe wakale mabikra[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Malaria 2 ni kichaaa wa dini. Na kuna anajiita sijui rits au ITR kama sijakosea huyo ndio matusi kama amezaliwa na kukulia chooni. Maana yeye na matusi tena matusi makubwa afu alivyo mjinga anaamina kuwa ataenda kupewa mabikra 72 na mvinyo unaotiririka
Ya kwamba ww umepewa kibali cha kutukana wengine ila ww ukitukanwa unaona umeonewa sio?
 
Israel imelalamika mara nyingi magaidi ya Hamas wamejenga kambi zao chini ya misikiti,kanisa, hospital,kambi za wakimbizi wanawatumia raia kama ngao mnategemea nini ilimje kutafuta huruma ya dunia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Sasa kama mnajua kambi ziko chini huko juu mnakuwa mnashambulia ili iweje?
 
Ikikuuma chomoa.View attachment 2801011

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Bila shaka wayahudi wana thamani kuliko wakristo wa dunia nzima.
Screenshot_20231101-205042.jpg
 
Mkuu Hamas hawaongei maneno matupu kila kitu wanarecord. Wameachia video za kutosha tu, video zina mb nyingi ila chache fupi fupi

View attachment 2800671

Hapo ki drone kinadondosha Bomu kwenye kundi la watu, sema Bomu lenyewe tu la kienyeji, ingekuwa Bomu la kisasa kikosi kizima kingekufa.

Hii wanaonesha mabomu ya kupandikiza Ardhini
Kifaru kimeganyaga kikalipuka.
View attachment 2800697
Kuna video nyengine Kubwa wanaonesha namna wanavyotoka kwenye shimo na kulipua vifaru.

Kuna video ya juzi hiyo ambayo hicho kikosi kizima kiliuliwa tena na watu watatu tu.

Kifupi IDF wanakufa vibaya mno, ndio maana kuna pressure kubwa Netanyahu ajiuzulu.
Ndugu yangu, wakati mwingine kuweni na akili jamani!

HAMAS wamekufa kwa mamia, pia wengi wao wamejificha kwenye mahandaki, ila IDF alichofanya ni kubomoa miundombinu yote hasa majengo kisha anachokifanya sasa hivi anaizunguka hiyo Gaza yote, alafu sasa amethibiti hakuna supply ya maji wala chakula wala umeme!

Soon hao HAMAS watachagua moja ama wajifie kama kunguni kwa kukosa chakula na maji huko kwenye mahandaki au watoke wakutane na moto wa IDF.

IDF imesema hiyo vita itachukua kati ya miezi 5 hadi 6 hapo jua ana target zake.

Ameigawa hiyo vita kwenye level hii ya sasa ni level 3

Kuna vitu nyie wafuasi wa Muhammad hamuwezi kuviona kwa macho ya kawaida.
 
Vita ni pamoja na propaganda. Hizo video zinatolewa kimkakati ili kushusha morali ya wanajeshi wa Israeli Ila kiuhalisia hali ni mbaya zaidi kwa magaidi ya hamas
Punguza panic maana naona mishipa imekutoka utadhani una undugu wowote na wayahudi kumbe ww ni kama mavi tu mbele yao.

Israel imekili na picha za walio uawa zimewekwa sasa ww unabisha kama nani?

Alafu kingine wanajeshi kufa vitani ni jambo la kawaida hivyo tuliza kimuhe muhe kuuawa kwa hao wana jeshi haimaanishi Israel imeshindwa vita.
 
Ya kwamba ww umepewa kibali cha kutukana wengine ila ww ukitukanwa unaona umeonewa sio?
Umepata chai kwanza maana ukiwa na njaa huwa unatukana tu bila sababu. Matusi yako bora upigwe bann la maisha naanza kukusagia kungini wakutie bann
 
Waarabu hamna kitu kinamuumiza kama kupokonywa ardhi na Israel ashajua hicho, anachofanya ni kupokonya zaidi mpaka wawe na adabu
 
Ndugu yangu, wakati mwingine kuweni na akili jamani!

HAMAS wamekufa kwa mamia, pia wengi wao wamejificha kwenye mahandaki, ila IDF alichofanya ni kubomoa miundombinu yote hasa majengo kisha anachokifanya sasa hivi anaizunguka hiyo Gaza yote, alafu sasa amethibiti hakuna supply ya maji wala chakula wala umeme!

Soon hao HAMAS watachagua moja ama wajifie kama kunguni kwa kukosa chakula na maji huko kwenye mahandaki au watoke wakutane na moto wa IDF.

IDF imesema hiyo vita itachukua kati ya miezi 5 hadi 6 hapo jua ana target zake.

Ameigawa hiyo vita kwenye level hii ya sasa ni level 3

Kuna vitu nyie wafuasi wa Muhammad hamuwezi kuviona kwa macho ya kawaida.
Sawa sisi hatuoni ila Nyie magenious mnaoona hamuoni within Israel mwenzenu Netanyahu anavyowekwa kikaangoni, viongozi Wakubwa wakubwa wametoka hadharani kupingana nae na Israel haina unity ile tulioizoea

 
Ww ukimuona mtu anaitwa Josefu basi huyo ni mkristo ?
Sasa ni kwambie tu ni kuwa asilimia kubwa ya wavumbuzi hapa duniani ni watu wasio amini katika mungu.
Umeongea uongo mchana kweupe, skiza nianze na mifano ya Hawa wa juzi hapa Steve Jobs na Stephen Hawking Hawa wakiwa watoto wamekuzwa wakiwa wakristo na hata ibada walihudhuria, sijui Nini kinawapata mwisho mwingine anasema hajui kama Mungu yupo au la...
 
Punguza panic maana naona mishipa imekutoka utadhani una undugu wowote na wayahudi kumbe ww ni kama mavi tu mbele yao.

Israel imekili na picha za walio uawa zimewekwa sasa ww unabisha kama nani?

Alafu kingine wanajeshi kufa vitani ni jambo la kawaida hivyo tuliza kimuhe muhe kuuawa kwa hao wana jeshi haimaanishi Israel imeshindwa vita.
We ndio naona umepanik. Mi nimesema uhalisia kwamba vita ni pamoja na propaganda ndio maana hamas wakiua kidogo tu wanarusha video kuonesha kwamba wanashinda ila kiuhalisia wana hali ngumu mno
 
Afadhali useme vita ni kali kwani kwa hasara wanayoipata Israel haikutarajiwa.
Vita ya mtaa kwa mtaa ni ngumu sana tena ukiwa unapambana na adui aside na uniform halafu anajichanganya katikati ya raia.
Hata kule Iraq wanajeshi wengi wa Marekani walikufa kwenye vita ya mtaa kwa mtaa baada ya kumpindua Sadam Hussein
 
Back
Top Bottom