Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Mtoto wa masikini anaruhusiwa kuwa panya?
 
Tunarudi pale pale, je mahakama zifungwe Ili mamlaka ya kuua yakaimishwe Kwa POLISI?

Au tuwawezeshe POLISI mafunzo na vitendea KAZI kuhakikisha POLISI wetu hawadhuriki na wahalifu??
tunawaona mnavyotetea panya road , hv mahakama kaz yake ni kuendesha kesi za panya road tu ? je unajuwa kuwa polis akikuambia simama hutakiw hata kutikisika ? sasa unamlaumije polis kwa makosa ya mharifu , kama hujui uliza au kama ww ni panya road bas tafuten kaz halali , tunajuwa mnalipwa ili kuja kupotosha umma mpate namna mpy ya kurudi kuchafua aman yetu
 
Nina wasiwasi hata hapa JF kuna panya road kama sivyo bas kuna wale wajuaji kila Jambo wanajifanya wanathink beyond. Hakuna dawa nyingine nzuri kama kuwaua hawa vibaka. Tena hii operation ingefanyika nchi nzima. Mtoto akishaharibika kaharibika akifungwa mwaka akitoka ndio anakua hatar Zaid. Dawa ndo hii mpka nchi inyooke
 
dah tuna kaz ya ziada , hv mtu aliyefungwa mara mbili na bado unaamin jela itakuwa suluhu , hv unahis kodi ya watanzania zipo kwa ajili ya watu waliokata kujirekebisha , hata ulaya unapoambiwa simama ukitikisika unalambwa shaba , sasa usipotaka panya road wafe bas acha kuchoma moto wezi na pia washauri panya road waache kuua watu , kama polis ingekuwa inauwa watu wa mchongo bas tungesikia wanaendelea kupiga matukio , wanajijua na wanajuwa kuwa wanajulikana na ndio maana wametulia tuliii
 
Nasisitiza POLISI wapewe facilities wawakamate wahalifu na kuwafikisha mahakamani Ili wahukumiwe huko.

Katiba ya nchi hairuhusu Police kama wasimamizi wa Sheria kufanya KAZI ya mahakama kuhukumu watu vifo Kwa utashi wao.

Umeelewa????
katiba ya nchi inaruhusu panya road kupora na kuiba na kuua watu ? sio ? kuna namna una nufaika na uharifu wa PANYA ROAD
 
Good
Haya mawazo ya watu kuunga mkono mauaji ya short cut ni dalili kuwa Watanzania wengi wana matatizo ya akili
wewe ni mnufaika wa panya road kama sio mfadhir au mweneza propaganda , unaongelea upande wa polisi , ila hatuon ukikemea panya road , Huez tegemea mahakama na jela kusaidia kwa wahuni walioizoea jela , wanafungwa na kurud mtaani na kuendelea mauaji , hajauliwa ndugu yako ndio maana haikuumi , mm nmeona matukio matatu ya hao wahuni ndan ya wiki mbili hz , nashangaa kuona mtu unatetea uhai wa hao wahuni
 
Ndio hao wanaokata VICHWA wake zao Kwa kupishana tu kauli ndani ya nyumba.
kuna namna mnanufaika na huu uhalifu au huenda mna kauitindio wa ubongo , hao panya road wanajulikana tangu zaman kama hujui uwe unauliza sisi tumeish mitaani tunaelewa situation nzima na vijiwe hao panya road hawaendag kabisa mf pale vingunguti mwisho wa lami kuna kijiwe kinaitwa fellow hawapiti pale wanaeza tokea airport bas wakaja wakapitia hata bonden wakatokea sahara wakaendeleana uporaji sabab wanajuana na wanajua wakiharibu wanafuatwa kweny vijiwe vyao , polis wanwajuwa waharifu na wanapewa tu miongoz na ndio maana hakuna hata mmoja kauliwa hakuwa muharifu
 
Watu wana msongo wa mawazo na hawamjui adui yao halisi
duh siasa zinakufanya chiz , polis wafanye kazi yao , bila hata kumjua nan anawatuma lazima tuwatie uoga hata wale walioanza kuona uhuni ndo mchongo wa kutoboa kirahisi
 
Kwanini uwe na mwenendo usiofaa?
 
We mgeni Nchi hii, hukusikia mbeya POLISI walimkamata mfanya biashara wa madini walipomkuta na mil 30 wakakubaliana kumuua Ili kufuta ushahidi?

POLISI haruhusiwi kuua kisheria, nendeni shule msitege!!!
ulikuepo kwenye tukio au ulihadithiwa , waswahili hatuaminiki kokote kule sabab tunajua kupika data , hata mm ndugu yangu cheti feki alitimuliwa ila ntakuambia alikuwa na ugomv na ccm iwe kama defensive mechanism mbali na hiyo kesi ilipelekwa wilayan kuwa shule x ilikuwa inatoa majibu kwa wanafunz basi afisa elimu aliandaa mitihni ghafla na cha kushangaza aliepeleka malalamiko watoto wake walidrop kwa 50% na wale waliolalamikiwa walimaintain performance , usimuamin mswahili kwa story za mdomon
 
Najiuliza kitu...kama panya road wanatembea makundi makundi inamaana wanajuana sasa inashindikana vipi kuwakamata mpaka wanauawa?
walishakamatwa na kwenda jela wamerudi ila ndo wamejiupgrade aya jiulize ukiwapeleka tena wakirud si ndo watashika bunduki kbs , lzm tuondoe hiz taka taka kama mnavyochoma moto wezi
 
Hapana mkuu...kumuua mtu bila uthibitisho sio fair...Pia kumbuka kuna watoto wadogo wasiojitambua wanatumiwa.
mbona tushaandika sana ,WANAJULIKANA TANGU ZAMAN TTZO LENU WASWAHILI VICHWA VIBOVU KUELEWA , WALIKUWA WANAFANYA MATUKIO SANA ILA LILILOWASTUA WENGI NI TUKIO LA KAWE ILA WALIKUEPO SANA TU , SO WANAJULIKANA VZR TU SIO KWAMBA POLISI INAOTEA HAPANA
 
acha uongo wewe , kwann mwenyekiti na sungu sungu wapeleke jina lako polis kama mienendo yako mizur
 
yaan watu wanachoma moto wezi ambao sio hatar kwa usalama ila watu wanawatetea panya road ambao ni hatar kwa usalama wa raia , Kwann nisiwahisi kuwa hawa ni panya road pia ?
 
Nilivyokuelea ni umeandika mawazo yako bila ushahidi hata wa tukio moja.

Fafanua kidogo zaidi, ulitaka iweje? Kijana aliouliwa/ waliouliwa hawana majina? Hawana umri? Au nawe ni mmoja wa hayo makundi ya wahalifu?

Hao vibaka na Panyarodi hawana sabbu ya kufikishwa mahakamani, wauliwe na watafutwe wale wanaonunua mali walizoina nao wauliwe, au wewe ni mmoja wao mnaowalea hao wahalifu?
 
ameniii
 
sasa hv hao hao panya road wanakuvamia na kukupiga mapanga haijalish umewapa ela au hujawapa
 
Tupe japo jina la mmoja wa aliyefanyiwa hivyo na utuoneshe kuwa hakuwa mhalifu.

Jiji lote limetaharuki limetekwa na wahuni wachache wanaojiita panyarodi, wauliwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…