Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Niliandika juzi nikajibiwa kashfa, hata wale waliouwawa wakasema ni Panya road hawakua panyaroadNB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
hahahaaaaa umetisha mkuuBinafsi nishachoka kulala na tv chumbani kila siku kazi ya kuihamisha tu kuwaogopa hao vibaka,polisi wafanye kazi yao sasa maana tulishaanza kuwalaumu kwa matukio ya wizi huku mitaani
hahahaaa nmependa hiyo aya ya mwishoKwa sasa ukiona mtu anamtetea panya road basi ujue ni eidha na yeye ni mmoja wa hao panya road, au ana ndugu yake, mtoto wake, rafiki yake ambae ni panya road.
Mtu wa kawaida kabisa unaefahamu unyama unaofanywa na hawa mbwa hauwezi kamwe kuja kuwatetea humu mitandaoni kama wanavyofanya baadhi ya hawa wahusika wenzao.
Natamani polisi iwe inapita humu JF kuwafuatilia na kuwachunguza vizuri hawa wanaowatetea hao vijana makatili.
wewe pia panyaroad mwingine , unafananishaj mtu aliyesababisha ajali kwa ulevi na anaevunja mlango kisha anavunja vitu vyako vya ndani akiwa timamu anakupiga mapanga na anakupora vinavyobebeka , unaezaj msapoti mtu wa hv km ww sio mmoja waoYaa i watu wanatetea uvunjwaji wa sheria kisa tu yanayowakuta ni watoto wa maskini! Hivi tukisema mtu akifanya kosa auawe bila kufuata sheria wangapi watauawa. Mfano hao watoto wa ushuani wakichukua gari za baba zao na kwenda nazo kwenye sherehe za birthday za ulevi kisha kutokana na kuendesha gari wakiwa wamelewa wakisababisha ajali nao wauawe papo hapo au wazazi wao watakuwa wa kwanza kutaka sheria ifuatwe? Au watoto wao humo ndani wakibaka housegirl mbona wanajitahidi kuyamaliza kimya kimya? Je nao wauawe bila kuhukumiwa mahakamani?
Ni vyema tutatue matatizo ya jinai mbalimbali kwa kufuata sheria.
anakimbia nn ? usichojuwa krb kila mahali washafanya vikao na vyombo vya ulinz na wameelezwa nn cha kufanya unapotembea usk , hasa kwa maeneo ya Chamaz nlihudhuria vikao hivyo , ila mtu anavunja taratibu , chuma lazima kihusikeKwahiyo kijana akikimbia tu,apigwe risasi??
fuatilia acha mawenge ,au ww ni mmoja wao , unakimbia nn ? kama ww sio mtuhumiwa mf huko chamaz washaambiwa kila kitu , saa 7 usk unakuwa unaenda wp wkt waliambiwa doria kuanzia saa 3 usk ukiitwa usikimbie nami nmefanya hivyo mara tano wala sijawai kuzurikaUelewa wa watu wengi humu jf au Tanzania una walakini.
Sasa sheria zilitungwa ili zifanye kazi gani kama kuwa tu mtuhumiwa unauliwa?
Hawa wanaotafuna mabilioni ambayo yangejenga health center na kununua dawa si wauaji?
acha kuchanganya mafaili , akili kisoda hata mm ni mpinzan ila usalama , kawafuate walibyia wenzio ambao kila kitu mnaona ni fursa ya kuleta siasaNjoo kitonga watu watakuonyesha mpaka mahali damu zilipomwagika.
Mnaoshangilia uvunjifu wa wazi wa sheria ipo siku yatawakuta . May utakuwa unalinda kura, au issue yoyote wakikutandika risasi ndipo ndugu zako watatia akili.
Police hapaswi kumuua raia. Magereza ndio wenye jukumu la kuua tena baada ya mahakama kutoa hukumu ya kifo.
ww ni PANYA ROAD kwahiyo tuwaache panyaroad ?Watu wanashangilia huu uhuni wa polisi
Hatuna shida vifo vya wezi ila basi mahakama itoe hukumu ya kifo kisha wakauwawe magereza.
unaish wap ?Sheria zifatwe...
unaish wap ?Wasubiri wakishauliwa ndugu zao kimakosa kwa kuhusishwa na panya road ndio watakapoona umuhimu wa haki za binaadamu.
Mhukumu mtuhumiwa baada ya kumpa nafasi ya kijitetea na kujiridhisha kwamba huyu ni kweli mhalifu.
saa 7 usk upo na panya road unafany nae nn , hlf msijitie uchiz kama hamjui tunazungumzia kuwa wanashikwa usiku , doria ni usiku , au kwenu doria ni mchana , NYINYI MTAKUW WAHALIFU NDIO MAANA MPO HAPA KUTETEA UHALIFUKwa hiyo bw Robert, ukikutwa na na panya road, adhabu yako ni kifo?
Huwa nasoma makala zako nakuona kama ni mtu mbobevu,
Kumbe unashabikikia uuwaji wa watuhumiwa,?
Mahakama zifutwe ili police watoe hukumu kwa watuhumiwa,
Kiswahili cha ndani sana umetumia mku eti 'majambawazi' haa haa.Je, huyo mtoto ni panya road na anahusika na uporaji? Ukweli ni kuwa polisi hawaruhusiwa kuuwa, lakini je panya road wanaruhusiwa kukata watu mapanga, kupora, na kuua? Hawa panya road na majambawazi wakiachiwa amani haitakuwepo mtaani. Najua ni jambo kubwa kwa mzazi kuuliwa mtoto wake, lakini inafika mahali inabidi tuukabili ukweli. Ita kuuwawa "panya road" na majambawazi mengine ajali kazini. Kama hawataki polisi wawakamate waachane na ujambazi utaona kama [olisi atawafuata na kuwaua.
Bro unakaa wpHabari!
Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.
Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.
Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wanavuta bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.
Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.
Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.
NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
umewai kutana nao au unahis ww una akili kuliko polisi ? mm nmeona wanawatishia polis huku polis wanawataka wajisalimishe , bahat yao siku ile polis walikuwa waoga , watoto walikimbiaNa hii pia ni mistake nyingine Kwa nini wawaue wakati polisi wamepewa mafunzo na technics ya kukamata wahalifu ?
Kwani hao watu walikuwa armed na silaha ? Hata kama walikimbia si Bora wawashoot miguu ? ,Kwani Hamna namna ya kuwakamata hao perceived criminals bila kuwaua ?
hahaaaa hao wanatoto hawapig bapa siku hz ni mapanga ya uso , jana imenibid niingie hasara nihamie mbez beach kutafuta usalamaBila Shaka walikupa bapa za panga za kutosha mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maana nasikia vitoto vinabonda hivyo ni laana ,usiombe kukutana navyo
hahahaaaaWabebwe TU hakuna namna, wamenifanya ratiba ya bia mwisho saa 12 jioni
pale yombo vituka hospotal ( malawi ) xmas mwaka jana , new yr 2022 na pasaka zilitembezwa panga yombo vituka ile si chini ya watu 10 mahututi kweny hiko kituo cha afya , hlf ipo ng'ombe inachoma wez ila inatetea hawa wauajiWanafki tu hawa, Kuna suki nilienda Amana hospitali usiku aisee nilikuta watu wamekula mapanga ya hao panya road aisee huwezi waangalia mara mbili, kuna miwatu humu nafikiri inanufaika na hawa panya road.
dah ukute upo kigoma upo hapa kupotosha watu , mm npo field naona najua , wanaouliwa asilimia kubwa ni wahusika au watu wa krb wa wahusikaNiliandika juzi nikajibiwa kashfa, hata wale waliouwawa wakasema ni Panya road hawakua panyaroad