Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Hao "wahuni" siku wasipokuwapo hautaupata hata huo usingizi kwenye hiko kitanda unachotypia hizi comment. Ni kawaida ya binadamu ku-take something for granted pale kinapokuwepo.

Siku hao Panyaroad watakapo-take over utajua "mhuni" zaidi ni nani, maana hata hiyo simu ya kutypia na kupost humu hutakuwa nayo, achilia mbali mikono.
huyo ni mpumbavy tu , anachanganya mafaili yaan anaona bora wengi tuteseke kwasabab ya ndugu zake panya road waendelee kuvunja amani
 
You guys sio kwamba Nina-support ila Kwa nature ya Jeshi letu sio wote wanaouliwa ni Panyaroad, get me right, shida Iko Wapi? Mbona concern yangu Iko very straight?
yakikukuta natamani hao panyaroad wakule tigo kbs , maana unahis wote humu ni wasikiliza hbr km , ww tunataka wauliwe tumekutana na hao panya road , yaan baadhi ya waafrika tunakuwag km mbuz sometimes na sisi ndo wakwanz kusema magharibi wamechochea ghasia wakati ipo mijitu inatetea uhai wa wahaini humu ndan ya nchi , Kama ni wewe au ndugu yako tutapambana mpk muuawe wote , jirekebishe au uuwawe tu , HAO PANYAROAD NI WAKUUWA TENA NA KUTUNDIKA HADHARANI , WAHARIBIFU WAKIJA KWAKO HATA UKIWAPA CHOCHOTE LAZIMA WAKUPIGE MAPANGA NA KUKUACHIA HASARA YA KUVUNJA VITU VYAKO VYA NDAN KM TV , MAFRIJI FENI NK
 
Tukiendeleza huu ujinga kuwa Kila anayekamatwa auliwe kwa kisingizio Cha Panyaroad tutarudi enzi za kuokota Watu kwenye viroba Kisha tuseme ni Wahamiaji haramu!!

Polisi wa Tanza-nia watakuja watakukamateni na kuwauweni na utaambiwa ni Panyaroad Kisha hadithi yako itaishia hapo. Hio ndio concern yangu, not otherwise
Jeshi letu tunalijua vyema limejaa Askari ambao mikono Yao imejaa damu. Au na hili mmeshalisahau?
ww ni mpuuz sn , km wanafany hivyo mm ningekuwa marehem nmekutana na polis mara 5 mida ya saa 5 kasoro had sita kasoro usk , mbona hawajaniua ? HV UNALIPWA TSH NGAP KUPOTOSHA UMMA ? Kama ndugu yako ni panya road mshauri tu aache roho za watu million 60 ni muhimu , tukiwacha mtakuja kuwa makund makubwa zaid , na hatutaki hilo , mshauri ndugu yako aepuke makundi urafiki usio na tija , nmehama chamz mpk mbez beach kisa hao wapumbav , nmeacha kodi ya miez 6 , nashangaa kuona mpumbavy mmoja anawasifia hao watu kuwa waachwe tu
 
Polisi huwa wanawafaham wahalifu sana tu ila haki za binadam ndo huwa zinawarudisha uraiani wahalifu ambao ni tishio sana, zamani wahalifu wa kutumia bunduki walikua wakipelekwa mahakamani wanatafuta mawakili wanachezesha wanatoka wanaendelea kushika bunduki, Arusha risasi zililia sana, Kigoma kila siku bus zilitekwa, kahama sheli zilivamiwa sana enzi hizo, Ila baadae police wakaanzisha operesheni kila mtumia bunduki wakimkamata utaskia kafa baada ya kujaribu kutoroka na sasa hivi hali ni shwari.

Kwahiyo hata hao panya rodi wameshakamatwa sana lakin wakipelekwa mahakamani wanaenda kufungwa kifungo cha nje miez 3 unamuona Yuko tu mtaani na alikamatwa na ushahidi wote baada ya muda wanarudi kupora na kuua watu tena, panya rodi hawajaanza leo hapo daslam na waasisi wanajulikana kabisa acha wafyekwe ili tuwe salama, hakuna kitu kinauma Kama unatafuta kwa jasho alafu mtu anakuja kukupora, kukusababishia ulemavu au kukuua kabisa ili tu akunyang'anye mali yako
Nimeelewa
Nilikua nawalaumu sana Polis kuwa wanajua machaka yote ila wanakula nao, kumbe shida ni hombwe kwenye Sheria zetu kuachiwa na vifungo vyepesi, OK
 
panya road lin wamepewa authority ya kuua ,kuvunja nyumba za watu na thamani zao , kuiba mali za watu na kubaka ?
Wakikamatwa wapelekwe kwenye vyombo vya sheria polisi wasifanye mauaji ili kufurahisha jamii mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhumu na siyo polisi, polisi kazi zao ni kukamata kupeleleza na siyo kuuwa.
 
Mwanzo nilikuwa na mawazo Kama yako

Ila nimegundua wanaouliw ni washukiwa na pengine wahusika wametulia huko wanasubiri upepo utulie.

Pia Kama umefanikiwa kuingia kwenye mikono ya polisi utaelewa nini kinaendelea
umefanya utafit wap ? mbona mnafanya siasa hatarishi kwa taifa , jitahidin kuheshimu vitengo vya watu , wenzenu wapo mtaan kufanya research , ww upo jf kufanya research hlf research yako ndo unataka tuiamin , nakupa story fupi Mzee JPM anaingia madarakan , aliomba list ya wahuni wote wa mitaa ilipelekwa kwa wenyeviti na ikawa imepigwa tukio akashikwa mmoja bas akiwataja na ikaonekana upo kweny list bas umeisha , waliangushwa watu huko Vingunguti kukatulia kbs nikahamia Vingungut nlikuwa natembea saa 7 usiku sikabwi , ila alipofarik siku ya pili likapigwa tukio daktar mmoja alikuwa na laptop plus laki tatu ya mauzo ya duka lake la dawa alivamiwa alipgwa mapanga na kuibiwa laptop , simu na laki 3 zote , siku iliyofuatia wakapiga matukio 3 , vingungut ikawa haikalik , wakaenda mpk airport wakapiga tukio mbele ya airport na jeshi la anga lipo krb , tulikaa vikao watu wakasema wanawajua ila kuwataja ni hatari sabab wakienda polisi wanarudishwa na unakuwa hatarini uliewataja , nlihama vngungut baada ya kuona wanaogopa kuwakuchukulia hatua kali mpk kesho huko vingungut hao watoto huwa wanafunga mtaa muda wa mchana kweupe ( km Syria vile , ndo unavyotaka ? ) , nlihamia chamaz palikuwa shwar ila baada ya tukio la kawe napo pakawaka moto kila siku wanavamia mitaa ya huko chamaz , rpc alikuja wiki moja iliyopita wananchi walisema wanawajua hao panyaroad ila wakiwataja bas watoto wanapelekwa selo then wanarudishwa mtaani , jion ya siku hiyo ya kikao watoto wakapiga tukio krb na eneo hilo la kikao kilipofanyika uone walivyo na dharau , hao watoto wameiba na kuwafanya waty vilema hata kuwatia watu uchiz huko chamaz , nlipoona hali ni mbaya juz nmehama nmeona nihamie mbez beach huku nikiacha kodi ya miez 6 kisa hao watoto unawatetea , KAMA ULIZA NA SIO KUCHANGANYA SIASA NA USALAMA WA NCHI , WATU WANAANGAMIZWA VIBAYA KISA HAO WATOTO , HAMTANGAZIW TU ILA WANAYOFANYA HAO WATOTO NI BALAA WAKIULIWA SHUKURU NA SIO KULETA MIGAWANYIKO YA KISIASA , MM SIO WA NJANO ILA KWENY HILI WAULIWE TU HAO WAHUNI
 
Mtoa Mada yuko sahihi tangu lini form four Zero akafanya Kazi kwa ufasaha Zaidi ya Kukulupuka
Naomba Serikali ijaribu kuwa makini kuuwa innocent people haifai , wanaovuta bangi wengi ndo wameuliwa wakati sio wezi Wala vibaka.
kaish Somalia , Drc , Msumbiji , Afrika ya kati , Sudan , Chat , Hlf uje useme form 4 failure haez , POLISI PIGENI MBWA HIZO TUNATAFUTA WAFANYAKAZ KUMBE WAFANYAKAZ HAWATAKI KAZ HALALI WANATAKA ZA KUTOA WATU KAFARA
 
umefanya utafit wap ? mbona mnafanya siasa hatarishi kwa taifa , jitahidin kuheshimu vitengo vya watu , wenzenu wapo mtaan kufanya research , ww upo jf kufanya research hlf research yako ndo unataka tuiamin , nakupa story fupi Mzee JPM anaingia madarakan , aliomba list ya wahuni wote wa mitaa ilipelekwa kwa wenyeviti na ikawa imepigwa tukio akashikwa mmoja bas akiwataja na ikaonekana upo kweny list bas umeisha , waliangushwa watu huko Vingunguti kukatulia kbs nikahamia Vingungut nlikuwa natembea saa 7 usiku sikabwi , ila alipofarik siku ya pili likapigwa tukio daktar mmoja alikuwa na laptop plus laki tatu ya mauzo ya duka lake la dawa alivamiwa alipgwa mapanga na kuibiwa laptop , simu na laki 3 zote , siku iliyofuatia wakapiga matukio 3 , vingungut ikawa haikalik , wakaenda mpk airport wakapiga tukio mbele ya airport na jeshi la anga lipo krb , tulikaa vikao watu wakasema wanawajua ila kuwataja ni hatari sabab wakienda polisi wanarudishwa na unakuwa hatarini uliewataja , nlihama vngungut baada ya kuona wanaogopa kuwakuchukulia hatua kali mpk kesho huko vingungut hao watoto huwa wanafunga mtaa muda wa mchana kweupe ( km Syria vile , ndo unavyotaka ? ) , nlihamia chamaz palikuwa shwar ila baada ya tukio la kawe napo pakawaka moto kila siku wanavamia mitaa ya huko chamaz , rpc alikuja wiki moja iliyopita wananchi walisema wanawajua hao panyaroad ila wakiwataja bas watoto wanapelekwa selo then wanarudishwa mtaani , jion ya siku hiyo ya kikao watoto wakapiga tukio krb na eneo hilo la kikao kilipofanyika uone walivyo na dharau , hao watoto wameiba na kuwafanya waty vilema hata kuwatia watu uchiz huko chamaz , nlipoona hali ni mbaya juz nmehama nmeona nihamie mbez beach huku nikiacha kodi ya miez 6 kisa hao watoto unawatetea , KAMA ULIZA NA SIO KUCHANGANYA SIASA NA USALAMA WA NCHI , WATU WANAANGAMIZWA VIBAYA KISA HAO WATOTO , HAMTANGAZIW TU ILA WANAYOFANYA HAO WATOTO NI BALAA WAKIULIWA SHUKURU NA SIO KULETA MIGAWANYIKO YA KISIASA , MM SIO WA NJANO ILA KWENY HILI WAULIWE TU HAO WAHUNI
Kila Ukisikia Tukio Unahama,,[emoji1787]
 
Wakikamatwa wapelekwe kwenye vyombo vya sheria polisi wasifanye mauaji ili kufurahisha jamii mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhumu na siyo polisi, polisi kazi zao ni kukamata kupeleleza na siyo kuuwa.
unaish wap ?
 
ww ni mpuuz sn , km wanafany hivyo mm ningekuwa marehem nmekutana na polis mara 5 mida ya saa 5 kasoro had sita kasoro usk , mbona hawajaniua ? HV UNALIPWA TSH NGAP KUPOTOSHA UMMA ? Kama ndugu yako ni panya road mshauri tu aache roho za watu million 60 ni muhimu , tukiwacha mtakuja kuwa makund makubwa zaid , na hatutaki hilo , mshauri ndugu yako aepuke makundi urafiki usio na tija , nmehama chamz mpk mbez beach kisa hao wapumbav , nmeacha kodi ya miez 6 , nashangaa kuona mpumbavy mmoja anawasifia hao watu kuwa waachwe tu
Nakupongeza umehamia Kwa watu wenye akili zao

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
We mm nip huku Temeke kilA Sehemu Kuna msiba wameuliwa wavuta bangi tu na sio panya -road
unalala na hao wavuta bangi ? mm nlikuwa saku ilulu kweny kikao na rpc , wahuni wa temeke wanaenda mwanagati , nzasa , kwa mzala , kwa mapunda wanaua na kukimbia na moja ya sabab ya kutoshikwa ilikuwa wakiiba wanapitia njia ya kwampalange ambayo magar ya polis hayapiti kisha wanatokomea temeke na buza , pia wahuni wa kule mbagala ndo wanakuja kupiga matukio temeke , so acha ubish wa kitoto wakati hulali na mtu .All in all Temeke ndo kitovu cha uhalif , nmezaliwa mikoroshini , wavuta bangi wengi wa Temeke ( zaid ya 80% ) ni waharifu / majambaz , usitetee kitu bila kujua
 
Habari!
Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.

Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.

Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wale wanaowashuku kuuza au kuvu bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.

Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.

Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.

NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
Vijana wengi wahuni hapo Tanzania bila enforcements za polisi huwa hawasikii kabisa... hao panya road si walianza mdogo mdogo polisi wakawa wanawachukulia poa kumbe ile kuchukuliwa poa panya road wakaona bora waende mbali zaidi kwa kuzidisha matukio, kuwaumiza zaidi raia na kuwaua raia.. sasa polisi wameamua kuwa wakali unakuja chizi mmoja kulalamika kuwa polisi hawafuati sheria na umeweka maelezo mengi ukijidhihirisha kuwa na wewe kwa namna moja ama nyingine unaunga mkono harakati za panya road yaani ningekuwa na nguvu ya dola hapo Tanzania ningeshatoa order upigwe bastola tu na wewe.. Polisi wa Tanzania endeleeni na kazi fyatua woteee...
 
Back
Top Bottom