Unyama : Waandishi wa Habari wanusurika kuuawa na polisi kwenye sakata la kumkamata Mbowe , Wapelekwa Hospitali ya wilaya

Hii nchi imefikia pabaya saana!! Bila hekima ya Kikwete na Mkapa taifa linakwenda shimoni..!!
 
Kama kiongozi wa chama oops Kampuni anafikiri nchi inaongozwa kama kampuni unafikiri itatokea nini?
 
Hii nchi imefikia pabaya saana!! Bila hekima ya Kikwete na Mkapa taifa linakwenda shimoni..!!
Kikwete au Mkapa kuna mmojawapo atakamatwa siku yoyote , jini limetoka kwenye chupa .
 
Nyie Chadema tafuteni "allies" nasikia vijana wako tayari kwa kazi
 
Askari wa Tanzania ni 0.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…