Chilemba wamela pamputi,
Huyo askari anayeongoza hao wengine anaonekana kuwa ni tutusa sana. Halafu wanapenda kutumia nguvu bila hata ya kufanya simple and quick assessment kama nguvu yao inajitosheleza,
Ona askari wote watatu walivyoshindwa kumuondoa hiyo bodyguard.
Nguvu ya askari ni pamoja na eneo la Diplomasia na Ushawishi. Wanashindwaje kutoa maelekezo kwa utulivu?