Unyonge wa Wachezaji wa Yanga ndo umefanya timu kukosa nusu fainali

Unyonge wa Wachezaji wa Yanga ndo umefanya timu kukosa nusu fainali

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
 
That awkward moment when you are busy reading this paragraph and find out that there is no awkward moment but you are still reading and continue thinking there would be something useful but it turns that you wasted a few seconds of your life,😂😂😂 thank you.!
 
Kama mechi imepangwa, hata kama wangemlilia referee, isingesaidia. Referee huenda kuangalia VAR pale anapokuwa na wasiwasi na majibu ya VAR assistant officers. Kwahiyo Jana referee hakuona tatizo kutoka kwa wenzake, na ukisema umshinikize, unapigwa kadi. All in all tayari uongozi wa Yanga umechukua hatua. Wapo watu wanakejeli uamzi huo lakini baadae Africa na Dunia itafurahi kuona haki ikitendeka hata kama siyo kwa yanga. Hata viongozi wetu, wazee wetu walipoanza kidai uhuru wa nchi zao, wapo baadhi waliwakejeli kwasababu waliona kabisa ni kujitafutia kifo mwenyewe, lakini kwa movements zile, Leo tupo huru. Kudos uongozi wa Yanga 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
wewe hujui mpira nyamaza,unamzonga refa ili upigwe kadi
 
Aziz alikimbia huku akishangilia huku kina Jonas na Bakari wanashangaa, wakati walipaswa wote kwenda kushangilia kwa pamoja ili kuingiza sintofahamu kwa mwamuzi
Hii hata mm nilishangaa. Nii ilionekana kama Aziz Ki ni muongo na mwehu maana hata wahusika wenyewe hawakubaliani na goli maana hata benchi nje walinaki kimya tu badala ya kushangilia kuweka pressure huku wakimzonga refa. Kadi kitu gani wangepambana mbona waarabu eao inawezekana.
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Yanga wamepata heshima kubwa zaidi barani afrika baada ya kuporwa goli zaidi ya vile ambavyo wangeendelea nusu fainali. Afrika nzima gumzo sasaivi ni Yanga kuwazuia sundown kuwafunga mara zote mbili na kwamba walitengeneza nafasi nyingi zaidi za kufunga na ile kuporwa goli, africa nzima wapo upande wa yanga na imejitangaza zaidi ya ambavyo ingejitangaza kama ingeendelea. hivyo msiumie sana, kupata au kukosa kote kwa usawa au kwa kuporwa kuna neema yake. Hata ndani ya south africa kwenyewe kumejaa gumzo la yanga tupu na goli lao.
 
Ww ndo hujui kitu.Nipe case study ya wachezaji wote kupigwa kadi
Kila mahali huwa kunakuwa na case study ya kwanza, labda wao ndio ingekuwa ya kwanza
 
Back
Top Bottom