Unyonge wa Wachezaji wa Yanga ndo umefanya timu kukosa nusu fainali

Unyonge wa Wachezaji wa Yanga ndo umefanya timu kukosa nusu fainali

Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Kwani wewe hujui kwamba Tanzania ni ya wanyonge? Unadhani utaoewa huruma kwenye competition 😁😁😁

Ndio utaelewa sasa kwamba unyonge ni upumbavu
 
Kama mechi imepangwa, hata kama wangemlilia referee, isingesaidia. Referee huenda kuangalia VAR pale anapokuwa na wasiwasi na majibu ya VAR assistant officers. Kwahiyo Jana referee hakuona tatizo kutoka kwa wenzake, na ukisema umshinikize, unapigwa kadi. All in all tayari uongozi wa Yanga umechukua hatua. Wapo watu wanakejeli uamzi huo lakini baadae Africa na Dunia itafurahi kuona haki ikitendeka hata kama siyo kwa yanga. Hata viongozi wetu, wazee wetu walipoanza kidai uhuru wa nchi zao, wapo baadhi waliwakejeli kwasababu waliona kabisa ni kujitafutia kifo mwenyewe, lakini kwa movements zile, Leo tupo huru. Kudos uongozi wa Yanga 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Maelezo ya kijinga.Barua zitakusaidia nini?
 
Aziz alikimbia huku akishangilia huku kina Jonas na Bakari wanashangaa, wakati walipaswa wote kwenda kushangilia kwa pamoja ili kuingiza sintofahamu kwa mwamuzi
Acheni upotoshaji utadhani Mechi ilichezwa gizani. Nakuwekea picha hapa, Mwamnyeto, Mkude na Max wakimshinikiza refa aende kwenye VAR huku Mudau akipinga.
Screenshot_2024-04-07-09-27-22-140_com.twitter.android.jpg
 
Yanga wamepata heshima kubwa zaidi barani afrika baada ya kuporwa goli zaidi ya vile ambavyo wangeendelea nusu fainali. Afrika nzima gumzo sasaivi ni Yanga kuwazuia sundown kuwafunga mara zote mbili na kwamba walitengeneza nafasi nyingi zaidi za kufunga na ile kuporwa goli, africa nzima wapo upande wa yanga na imejitangaza zaidi ya ambavyo ingejitangaza kama ingeendelea. hivyo msiumie sana, kupata au kukosa kote kwa usawa au kwa kuporwa kuna neema yake. Hata ndani ya south africa kwenyewe kumejaa gumzo la yanga tupu na goli lao.
hapa umesema ni dunia nzima inataka kuijua yanga kwa sasa
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Wachezaji wa Yanga wakiliona hili bandiko wataconclude ule msemo wa mzungu kuhusu wenye akili hapo utopoloni
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.

KUKOSA UZOEFU.
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Kapteni Mwamnyeto unategemea nini?Yule jamaa rojorojo sana sidhani kama wenzake kama hawa M Pdd.!!
 
Aziz alikimbia huku akishangilia huku kina Jonas na Bakari wanashangaa, wakati walipaswa wote kwenda kushangilia kwa pamoja ili kuingiza sintofahamu kwa mwamuzi
Reaction ya kina Mwamnyeto ni kama Yanga ndo ilikuwa imefungwa goli la kushtukiza. Au walihisi Aziz Ki kajifunga? Waliniudhi sana
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Nadhani tatizo la hii issue siyo VAR bali ukosekanaji wa GLT (Goal Line Technology), teknolojia ya mstari wa goli kwa msaada wa kamera, hiyo ndiyo iliyomfanya hata muamuzi kutokwenda kuangalia VAR. Nina uhakika mfumo wa GLT utatumika sambamba na VAR kwenye mechi zijazo.
 
Yani pale kocha Gamondi angemzonga mwamuzi mpaka apewe kadi
 
Salama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;

1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?

2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?

3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.

4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?

Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Usiwalaumu wachezaji 97% wachezaji wa NYUMA MWIKO FC English ni zero..
Wangeongea lugha gani?
 
Aziz alikimbia huku akishangilia huku kina Jonas na Bakari wanashangaa, wakati walipaswa wote kwenda kushangilia kwa pamoja ili kuingiza sintofahamu kwa mwamuzi
[emoji23][emoji23][emoji23] yule refa unamjua au unamsikia? Mbona angewafurahishaa,
 
Back
Top Bottom