cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lomalisa alikuwa na njano,angesogea angekula umeme[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lomalisa alikuwa na njano,angesogea angekula umeme[emoji2]
Sasa kwenye penalty alishindwa nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Azizi apunguze spidi ya mashuti aisee.Sio powa namna ile.[emoji16]
Hawa wasioujua kupiga penalt. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli usemwe yanga sasa hivi ni mjadala mkubwa Sana na si ajabu timu yetu itapoteza wachezaji wengi Sana msimu ujao Kwa kuwauza.
Nadhani hawakuweza kutafsiri figisu nI changamoto ambayo jamii inapaswa kujifunza namna ya kuitafutia ufumbuzi,(adaptation skills),kutokuhoji nI tatizo ambalo linaanaza kwenye ngazi ya familia ambapo kuna vitu huwezi kuhoji utaambiwa uondoke ukajitegemee ama uende burundi, humu tunavyojadili kunawengine wanatuona tuwajinga, kumbe humu ni chimbuko la mawazo ya kutatua matatizo yetu na kwenye jamii zetu wengine kwakisoma tu Haya tunayoyajadili wanapata PhDWachezaji wetu bado sana kwenye hizi hatua wanaamini kwenye kucheza tu mpira hawana mbinu mbadala.
Yanga kwenye penati sio wazuri.Sasa kwenye penalty alishindwa nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi wakae kmyaa, wametolewaaaYanga kwenye penati sio wazuri.
Upo sahihi kiongoziNadhani hawakuweza kutafsiri figisu nI changamoto ambayo jamii inapaswa kujifunza namna ya kuitafutia ufumbuzi,(adaptation skills),kutokuhoji nI tatizo ambalo linaanaza kwenye ngazi ya familia ambapo kuna vitu huwezi kuhoji utaambiwa uondoke ukajitegemee ama uende burundi, humu tunavyojadili kunawengine wanatuona tuwajinga, kumbe humu ni chimbuko la mawazo ya kutatua matatizo yetu na kwenye jamii zetu wengine kwakisoma tu Haya tunayoyajadili wanapata PhD
Wangegoma kurudi uwanjani mpka refa akaangalie VARKama mechi imepangwa, hata kama wangemlilia referee, isingesaidia. Referee huenda kuangalia VAR pale anapokuwa na wasiwasi na majibu ya VAR assistant officers. Kwahiyo Jana referee hakuona tatizo kutoka kwa wenzake, na ukisema umshinikize, unapigwa kadi. All in all tayari uongozi wa Yanga umechukua hatua. Wapo watu wanakejeli uamzi huo lakini baadae Africa na Dunia itafurahi kuona haki ikitendeka hata kama siyo kwa yanga. Hata viongozi wetu, wazee wetu walipoanza kidai uhuru wa nchi zao, wapo baadhi waliwakejeli kwasababu waliona kabisa ni kujitafutia kifo mwenyewe, lakini kwa movements zile, Leo tupo huru. Kudos uongozi wa Yanga [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Captain alimfuata ila nahisi Captain lugha ya Malkia inampiga chengaSalama mtasalimiwa na Refa.
Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize;
1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka akaangalie VAR?
2. Je walikosa uzoefu wa mashindano?Hawaoni hata wachezaji wenzao huko ULAYA ikitokea utata wa goli?
3. Wachezaji wa kimataifa nao walikosa uzoefu huo wa kumforce mwamzi?Pata picha angekuwepo mwehu MORRISON.
4. Hawakupata training namna ya kudeal na situations tata kama hizo?
Binafsi nilishangaa sana unyonge waliokuwa nao wachezaji wa Yanga wakati refa anasikiliza na kuamua lile siyo goli.
Kabisa inaweza ikasaidia hata kubishana na mwamuziHahaha game kama hizo unahodha apewe anayejua lugha
Mamelodi nao wakachukua mpira na kuendelea kucheza as if hamna kilichotokea,mind game inatakiwa sana ili refa ahakikishe goli,Aziz K anashangilia wao wanaangalia tuKama mechi imepangwa, hata kama wangemlilia referee, isingesaidia. Referee huenda kuangalia VAR pale anapokuwa na wasiwasi na majibu ya VAR assistant officers. Kwahiyo Jana referee hakuona tatizo kutoka kwa wenzake, na ukisema umshinikize, unapigwa kadi. All in all tayari uongozi wa Yanga umechukua hatua. Wapo watu wanakejeli uamzi huo lakini baadae Africa na Dunia itafurahi kuona haki ikitendeka hata kama siyo kwa yanga. Hata viongozi wetu, wazee wetu walipoanza kidai uhuru wa nchi zao, wapo baadhi waliwakejeli kwasababu waliona kabisa ni kujitafutia kifo mwenyewe, lakini kwa movements zile, Leo tupo huru. Kudos uongozi wa Yanga 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏