Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hizi pombe zipigwe marufuku kwa kweli kwa faida ya kizazi kijachoMe huwa nahisi hii Banana hizo alc percentage zilizoandikwa hapo kwenye chupa sio sahihi huenda zimezidi na TBS labda walihakiki za kwanza kwanza nyingine zinapigwa tu lebo [emoji3][emoji3] maana watu wanaopiga hii mambo ni kama kunywa gongo [emoji3] au kitoko na Double kick wamechoka sana !
Pale Sang'si bwana sio Dang'si ile mitaa ukipanda naile barabara ya vumbi juu kidogo pale hapafai ipo kila kitu hadi wanzukiIpo "dengerua" niliinywa pale Dangsi - Tengeru Ilinilaza kwenye shamba la mikahawa usiku kucha inkazinduka alfajiri. Siwezi inkasahau jamani.
Serikali inapata kodi , pia washaona wanapata pesa nyingi suala la kizazi kijacho waafrika wachache sana wanajali kuhusu yajayo [emoji3][emoji3] Tuko selfish sana .Bora hizi pombe zipigwe marufuku kwa kweli kwa faida ya kizazi kijacho
CCM hio.Uzoefu:
Vijana wengi hivi sasa wana misongo mikali sana ya mawazo. Wanapopata kilevi wanaona wanapata relief fulani hivi. It is true, kilevi kinaleta relief lakini kikitumiwa katika njia ipaswayo.
Kuna dogo alijaribu na mwenzake.Wanywaji wa hii pombe wengi wao hawataki hata wengine wajue wanainywa, maana wanaona aibu sijui kwanini maana mara nyingi huwekewa kwenye vikombe
Chupa mbili unazima hio nahisi alcohol itakuwa 80% 😅Niliinywa kwa Mara ya kwanza na ya mwisho 1991 pale Ubungo opposite na ofisi za TBS karibu na daraja.
Sitarudia tena
Banana nahisi ina alcohol 80% hio ni msalaKuna dogo alijaribu na mwenzake.
Yaani walilewa huku wanacheka cheka.
Na kutembea hawawezi.kila wakitaka kusimama wanaanguka tena banana 1 tu
Na hicho ndicho kilichomkausha dogo mmoja pale bunju b.kanywa double Kiki alafu hajala.Inasikitisha ila walevi wengi huwa hawali misosi,wakishaanza kunywa wao ni kata mti panda mti hakuna anayekumbuka kula.
Hivi Vipombe vidogo vodogo ni hatari ,kuna Double Kick na Burudani vinapendwa sana sababu ya bei rahisi.
Bila kula mwili hauwezi kupata nguvu.
Nilimuuliza akasema banana ina utamu utamu.Banana nahisi ina alcohol 80% hio ni msala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ipo "dengerua" niliinywa pale Dangsi - Tengeru Ilinilaza kwenye shamba la mikahawa usiku kucha inkazinduka alfajiri. Siwezi inkasahau jamani.
Shida hata hangover yake haitoki...unaweza kukaa siku tatu upo ovyoChupa mbili unazima hio nahisi alcohol itakuwa 80% 😅
Inategemea imetengenezwa wapi. Ile ya Rombo Ina alcohol nyingi kuliko hizo za machalii.Banana nahisi ina alcohol 80% hio ni msala
Mwanama.Kiwanda chake Kipo mwanamama Arusha
HAHAHAHH 😆😆Shida hata hangover yake haitoki...unaweza kukaa siku tatu upo ovyo