Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Me huwa nahisi hii Banana hizo alc percentage zilizoandikwa hapo kwenye chupa sio sahihi huenda zimezidi na TBS labda walihakiki za kwanza kwanza nyingine zinapigwa tu lebo [emoji3][emoji3] maana watu wanaopiga hii mambo ni kama kunywa gongo [emoji3] au kitoko na Double kick wamechoka sana !
Bora hizi pombe zipigwe marufuku kwa kweli kwa faida ya kizazi kijacho
 
Uzoefu:
Vijana wengi hivi sasa wana misongo mikali sana ya mawazo. Wanapopata kilevi wanaona wanapata relief fulani hivi. It is true, kilevi kinaleta relief lakini kikitumiwa katika njia ipaswayo.
 
Ipo "dengerua" niliinywa pale Dangsi - Tengeru Ilinilaza kwenye shamba la mikahawa usiku kucha inkazinduka alfajiri. Siwezi inkasahau jamani.
Pale Sang'si bwana sio Dang'si ile mitaa ukipanda naile barabara ya vumbi juu kidogo pale hapafai ipo kila kitu hadi wanzuki
 
Bora hizi pombe zipigwe marufuku kwa kweli kwa faida ya kizazi kijacho
Serikali inapata kodi , pia washaona wanapata pesa nyingi suala la kizazi kijacho waafrika wachache sana wanajali kuhusu yajayo [emoji3][emoji3] Tuko selfish sana .
 
Hiyo Pombe ipo mikoa mingi tu hata isiyolima ndizi ila huko kwingine wala haifungashwi bali inanywea vichochoroni tu.
 
Uzoefu:
Vijana wengi hivi sasa wana misongo mikali sana ya mawazo. Wanapopata kilevi wanaona wanapata relief fulani hivi. It is true, kilevi kinaleta relief lakini kikitumiwa katika njia ipaswayo.
CCM hio.
 
Wanywaji wa hii pombe wengi wao hawataki hata wengine wajue wanainywa, maana wanaona aibu sijui kwanini maana mara nyingi huwekewa kwenye vikombe
Kuna dogo alijaribu na mwenzake.
Yaani walilewa huku wanacheka cheka.
Na kutembea hawawezi.kila wakitaka kusimama wanaanguka tena banana 1 tu
 
Inasikitisha ila walevi wengi huwa hawali misosi,wakishaanza kunywa wao ni kata mti panda mti hakuna anayekumbuka kula.

Hivi Vipombe vidogo vodogo ni hatari ,kuna Double Kick na Burudani vinapendwa sana sababu ya bei rahisi.

Bila kula mwili hauwezi kupata nguvu.
Na hicho ndicho kilichomkausha dogo mmoja pale bunju b.kanywa double Kiki alafu hajala.
Simsemi marehemu vibaya.ila natoa fundisho tu.kuwa pombe hazifai.
Kuna dogo mwingine alikunywa double kick anakwambia joto usiku mzma hajalala na feni lipo.mara alale sebuleni,Mara akalale jikoni anahangaika tu
 
Back
Top Bottom