Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Pombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.

Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.

Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026

Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku

Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.

Serikali Ipitie upya ubora wa hivi vinywaji vinavyozalishwa nchini na nyingi hazina viwango.
Bushmamy ni kweli kabisa. Hii pombe mkoa wa Kilimanjaro ni janga. Inatakiwa ipigwe marufuku. Haina tofauti na gongo. Unaishi/unatokea maeneo hayo nini?
 
Hali ya huko ni mbaya kwa vijana. Hata mimi nilijionea. Hiyo pombe ya banana haina tofauti na madawa ya kulevya. Kila anayekunywa ni lazima anaathirika.
Kweli Kabisa banana haijawahi muacha mteja wake salama, wote wanaotumia hiyo pombe hata kwa macho ya kawaida unajua tu huyu ni mnywaji wa banana.
 
Nzela...mmenikumbusha mbali now huwa nadeal na mnazi a.k.a tembo naiona inakaa barid tu kwa afya yangu
JPEG_20211117_164728_4508823164781558323.jpg
 
Bushmamy ni kweli kabisa. Hii pombe mkoa wa Kilimanjaro ni janga. Inatakiwa ipigwe marufuku. Haina tofauti na gongo. Unaishi/unatokea maeneo hayo nini?
Pombe nyingi zinazopatikana kwenye chupa za kijani kama vile Banana, Raha Poa, Simba n.k nyingi ni FAKE!!!

Zilizosajiliwa na kuthibitishwa ni chache sana.

Nyingi zinasindikwa kwenye viwanda bubu, na zinauzwa kimagendo na kusafirishwa usiku wa manane.

Hizi pombe za magendo zinauzwa mpaka 300 kwa chupa.

Na kwasababu huku uchaggani pombe ni kama maji ya kunywa, vijana wengi wasio na kipato hizo pombe ndio kimbilio lao.

Wengi wakishaanza kunywa tu, hata kuiga hawaogi, wanadharaukika na hata kuwa na familia hawawezi kabisa.
 
Kwani hizo banana za huko moshi zinautofauti na za huku nilipo Mimi nilishawahi kunywa Kama vitano na nikaondoka nipo vizuri ila Kuna bia hiyo inaitwa bigwa sinywi zaidi ya tatu
 
Pombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.

Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.

Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026

Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku

Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.

Serikali Ipitie upya ubora wa hivi vinywaji vinavyozalishwa nchini na nyingi hazina viwango.
Vijana wa kimeru na kiarusha wanateketea
 
Banana zinatengenezwa maeneo mengi Kwa Arusha na Moshi nipombe za kienyeji zinazowekwa kwenye chupa
Zimawekwa na makemiko huko na wala hazina hata expire date. Inaonekana hata hizo asilimia zilizoandikwa kwa nje ni za uongo maana wanywaji ukiwaona wanatia huruma sana, kundi kubwa la vijana limeangukia huko
 
Pombe nyingi zinazopatikana kwenye chupa za kijani kama vile Banana, Raha Poa, Simba n.k nyingi ni FAKE!!!

Zilizosajiliwa na kuthibitishwa ni chache sana.

Nyingi zinasindikwa kwenye viwanda bubu, na zinauzwa kimagendo na kusafirishwa usiku wa manane.

Hizi pombe za magendo zinauzwa mpaka 300 kwa chupa.

Na kwasababu huku uchaggani pombe ni kama maji ya kunywa, vijana wengi wasio na kipato hizo pombe ndio kimbilio lao.

Wengi wakishaanza kunywa tu, hata kuiga hawaogi, wanadharaukika na hata kuwa na familia hawawezi kabisa.
Tatizo lipo kwa serikali kuruhusu kila kitu kifanyike holela holela
 
Tatizo lipo kwa serikali kuruhusu kila kitu kifanyike holela holela
Tatizo ni viwanda bubu, ambayo inahitajika nguvu ya ziada hasa kukiwa na kikosi kazi kushibiti.

Wenye hivyo viwanda wenyewe wanalalamikia viwanda bubu, na wanawajua kabisa watengenezaji lakini serikali bado haitilii mkazo.
 
Back
Top Bottom