imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kuoa zama hizi yataka Moyo laa sivyo kla siku utakuwa na ugomvi na Wagoni wenye fedha.Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuoa zama hizi yataka Moyo laa sivyo kla siku utakuwa na ugomvi na Wagoni wenye fedha.Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
Bushmamy ni kweli kabisa. Hii pombe mkoa wa Kilimanjaro ni janga. Inatakiwa ipigwe marufuku. Haina tofauti na gongo. Unaishi/unatokea maeneo hayo nini?Pombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.
Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.
Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026
Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku
Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.
Serikali Ipitie upya ubora wa hivi vinywaji vinavyozalishwa nchini na nyingi hazina viwango.
Hali ya huko ni mbaya kwa vijana. Hata mimi nilijionea. Hiyo pombe ya banana haina tofauti na madawa ya kulevya. Kila anayekunywa ni lazima anaathirika.Hujakosea mkuu, ndo huku huku
Kweli Kabisa banana haijawahi muacha mteja wake salama, wote wanaotumia hiyo pombe hata kwa macho ya kawaida unajua tu huyu ni mnywaji wa banana.Hali ya huko ni mbaya kwa vijana. Hata mimi nilijionea. Hiyo pombe ya banana haina tofauti na madawa ya kulevya. Kila anayekunywa ni lazima anaathirika.
Ukilinywa kwa muda mrefu huwa linatoa kakitambi na Nywele zinakuwa laini.Nzela...mmenikumbusha mbali now huwa nadeal na mnazi a.k.a tembo naiona inakaa barid tu kwa afya yanguView attachment 2014199
Hawali af hio Ni zamani sio siku hiziUkilinywa kwa muda mrefu huwa linatoa kakitambi na Nywele zinakuwa laini.
Pombe nyingi zinazopatikana kwenye chupa za kijani kama vile Banana, Raha Poa, Simba n.k nyingi ni FAKE!!!Bushmamy ni kweli kabisa. Hii pombe mkoa wa Kilimanjaro ni janga. Inatakiwa ipigwe marufuku. Haina tofauti na gongo. Unaishi/unatokea maeneo hayo nini?
Vijana wa kimeru na kiarusha wanateketeaPombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.
Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.
Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026
Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku
Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.
Serikali Ipitie upya ubora wa hivi vinywaji vinavyozalishwa nchini na nyingi hazina viwango.
Banana zinatengenezwa maeneo mengi Kwa Arusha na Moshi nipombe za kienyeji zinazowekwa kwenye chupaHii pombe si inazaliwa kilimanjaro hii? au
Zimawekwa na makemiko huko na wala hazina hata expire date. Inaonekana hata hizo asilimia zilizoandikwa kwa nje ni za uongo maana wanywaji ukiwaona wanatia huruma sana, kundi kubwa la vijana limeangukia hukoBanana zinatengenezwa maeneo mengi Kwa Arusha na Moshi nipombe za kienyeji zinazowekwa kwenye chupa
Tatizo lipo kwa serikali kuruhusu kila kitu kifanyike holela holelaPombe nyingi zinazopatikana kwenye chupa za kijani kama vile Banana, Raha Poa, Simba n.k nyingi ni FAKE!!!
Zilizosajiliwa na kuthibitishwa ni chache sana.
Nyingi zinasindikwa kwenye viwanda bubu, na zinauzwa kimagendo na kusafirishwa usiku wa manane.
Hizi pombe za magendo zinauzwa mpaka 300 kwa chupa.
Na kwasababu huku uchaggani pombe ni kama maji ya kunywa, vijana wengi wasio na kipato hizo pombe ndio kimbilio lao.
Wengi wakishaanza kunywa tu, hata kuiga hawaogi, wanadharaukika na hata kuwa na familia hawawezi kabisa.
Ngoni migration au😂😂😂😂😂😂😂😂😂👇🏿👇🏿Ipo ingine inaitwa ngoni
Tatizo ni viwanda bubu, ambayo inahitajika nguvu ya ziada hasa kukiwa na kikosi kazi kushibiti.Tatizo lipo kwa serikali kuruhusu kila kitu kifanyike holela holela