Umetosheka wewe.Na uzee huu nishatosheka mkuu, hizi nguvu zilizopo zitamalizia ngwe..haha!
Mzabzab anakutamani hadi basi kwa hii sentensiNgoja nitafute mume mwenza mapema kabla mambo hayajawa mengi[emoji134][emoji134][emoji134]
Aaah huyo ni mgonjwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Msaidieni Mtoto wa Mwanamke mwenzenu jamani tusije tukamkosa duniani sababu tu ya kumnyanyapaa [emoji23]Aaah huyo ni mgonjwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujaona hata sasa figo zinazosafishwa ni nyingi?Energy drinks niliambiwa zinaumiza sana figo , kama ni kweli miaka 10 ijayo tutarajie kesi nyingi zaidi za magonjwa ya figo na figo kufeli
Haiwezekani, kwako zotapatikana tu nguvu..Ngoja nitafute mume mwenza mapema kabla mambo hayajawa mengiπππ
Decoded CEO wa MNH, JanabiZa kijiweni eti yule mkata umeme wa hospitali kubwa hali chochote zaidi ya matunda na mboga. huu ni unyama sana ila mimi ningeweza mana napenda sana mboga mboga
Mkumbuke pia population imeongezekaHujaona hata sasa figo zinazosafishwa ni nyingi?
Tunachoka wote taratibu, libido inapungua kwa wote..si tunazeeka wote? Au yeye namuacha bado kijana?Umetosheka wewe.
Ila mwenzako??
Au ndio maana nyuzi za kufikishana kileleni zinashamiri
Sent using Jamii Forums mobile app
π³π³π³π³Haiwezekani, kwako zotapatikana tu nguvu..
Wenye viwanda wanaweka kemikali za kujenga dependencyMwaka jana nilienda home kusalimia nikakuta bi mkubwa anajenga banda la nguruwe basi nikasimamia kidogo mafundi wakawa wamemaliza katika kusafisha mazingira niliokota kopo za energy drink za azam na mo extra zaidi ya 70 na hizo ni zile wanazokunywa wakifika kazini kulikua na mafundi wanne tu kwenye kazi kile kitu kilinishangaza na muda wa kazi ilikua kama wiki mbili na kidogo nikaja kumuuliza fundi mkuu vipi mbona energy nyingi? Akanijibu asee siwezi anza kazi bila chupa moja mchana akila anakunywa au apige soda alafu jioni akifunga kazi lazima apitie dukani anunue moja kwa siku anasukuma 2 mpka 3 asee ni hatari
Tena usije ukajaribu.π³π³π³π³
Mteja mtarajiwa wa Mloganzila huyo, juzi juzi tuu nimeuguza ndugu yangu kwa matatizo ya ini na Figo, akafanyiwa dialysis kwa gharama kubwa sana but still Mungu akampenda zaidi. Nikapata muda wa kujifunza kuhusu hili tatizo la Figo aiseeee kumbe mgonjwa kabla ya kufanyiwa hiyo dialysis anachanganyikiwa na kuongea kama amedata kabisa, baadae jinsi wanavyomsafisha Figo hiyo hali inapotea.Miaka 10 ijayo madaktari watakuwa bize sana. Nna kiduka mtaani kwetu nauza na vileo, kuna mteja mmoja kwa siku anaweza kunywa Ambiance 5 kwa siku na kila akinunua Ambiance ananunua na Energy. Just imagine nini hatima yake? Kwa wasioijua Ambiance ni sawa na Kitoko/Double Kiki huko Daslam
Hata kama kwa sasa ni zaidi ila miaka 10 ijayo itakuwa zaidi maana hizo pombe kali zinamaliza vijanaMkumbuke pia population imeongezeka
Inaitwa...wajaze hofu na mwisho wauzie suluhishoHao madokta wenu wa kisabato watawaua kwa hofu
Binadamu wa zamani walishindia matunda na nyama mbichi lakini wako wapi? wamekufa wote
We achana na sisi kufa kupo tu
As long as tunaenjoy
Tusitishane.
Niko napata coka,supu ya makongoro na chapati nne hapa . Alaaah
Hizo pombe kali zinaizidi gongoHata kama kwa sasa ni zaidi ila miaka 10 ijayo itakuwa zaidi maana hizo pombe kali zinamaliza vijana
iyo coca ya mililita 350, ina sukari zaidi ya vijiko 7(suger) samr time unakula chapati nne (sugar) ilipikiwa mafuta ambayo hayajasafishwa(saturated fatty,fat=^sugar unakunya supu ya kongoro ngo'mbe amekuwa kwa booster, huyo msopo wote ni uchafu plus supu ime ongezwa maji machafu ya duwasa muda si mrefu unakunywa wadudu, wajitaidi waweka chlorine nayo inaharibu pinel glandHao madokta wenu wa kisabato watawaua kwa hofu
Binadamu wa zamani walishindia matunda na nyama mbichi lakini wako wapi? wamekufa wote
We achana na sisi kufa kupo tu
As long as tunaenjoy
Tusitishane.
Niko napata coka,supu ya makongoro na chapati nne hapa . Alaaah