Atoe ushirikiano gani?. Sheria inasemaje kuhusu kitendo Cha jinai kinapotokea?. Polisi wangefanya kazi yao waache visingizio.
Hajui kitu huyu kwanza ndo mwali hapaMhanga angekufa kesi ingeisha. Juzi watuhumiwa 11 wamehukumiwa kunyongwa kwenye kesi ya Lotter mzungu. Huyo Lotter alikuwepo kutoa ushirikiano? Au kisa mzungu na Lissu mwafrika?
sasa lisu akiwa kanjanja wewe utakuwa nani nduguMatusii hayataweza kuficha ukanjanja wa jamaa yenu.
Matusii hayataweza kuficha ukanjanja wa jamaa yenu.
tunakuchora tu. kama hata sabaya unaamini alionewa na anapaswa kuwa nje hanishangazi kuandika hayaNi kweli, kumbe shida siyo Magufuli.
twende taratibu sasa taratibu za uchunguzi zinasemaje katika kuchunguza jinai?Matusii hayataweza kuficha ukanjanja wa jamaa yenu.
Huyo aliuawa lakini jamaa yenu yupoo. Aliekufa atahusikaje tenaa. Ila jamaa yenu Yuko hai, mwambie I akafungue kesi basi.
Walikuwepo akina Makwaia,, mangi meli, etc ambao wali collaborate na wazungu dhidi ya TANUKudo!
Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.
Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!
Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
Enhe, Magufuli ndio anawazuia kufanya mikutano hata sasa?tunakuchora tu. kama hata sabaya unaamini alionewa na anapaswa kuwa nje hanishangazi kuandika haya
Yangekuwa ya Dr. Congo.Kudo!
Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.
Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!
Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
Kama wameacha kuchunguza hao polisi, Kwa Nini mhanga asipeleke malalamiko yake kwakuwa Yuko hai?
Tundu lisu alikua mtumwa ,alitumika ktk mission fulaniKudo!
Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.
Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!
Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
sheria mbovu ya vyama vya siasa ilitungwa wakati gani? unafikiri hawa ma RPC na OCDs waliopo wameumbwa upya au walikuwepo enzi za utawala wa zalimu magufuli?Enhe, Magufuli ndio anawazuia kufanya mikutano hata sasa?
Shida haikuwa Magufuli kumbe!
Tatizo kiswahili usukumani ni shidaMsaliti wa taifa.
Tutashitakiwa MIGA
Mbowe anajuana na Samia kwenye hiyo kesi ya ugaidi.. Ila naamini kilichomtokea Lissu ndo kilichomtokea Wangwe na architecture ni mmoja na yumo ndani ya chademaInside mission gani?. Si ndio ungekuwa mwisho wa CHADEMA. Mbowe kaajiri JWTZ wastaafu kapewa kesi ya ugaidi, ndio wafanye inside job. Mnachekelea ya Lissu , ila kauli ya maakamba inawaliza. Kweli unafiki umejaa Tanzania.
ungekaa kimya ingekusaidia kuficha ujinga mbele za halaiki. ni ushauri tuHiyo CCtv ilikua ya nani?
Na mlienda kutoa maelezo mkaonba hiyo CCtv iletwe?
Kwa Nini huyo tundu asiende kuiomba hiyo CCTV baada ya kutoa maelezo?
Hivi nani ambaye hatokufa hapa dunianii
Kwani Nyerere alikuwa mnafiki, chawa na mwizi kama hawa ninaowashuhudia ?!.Kudo!
Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.
Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!
Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
alipokufa wangwe mlisema kwasababu alikuwa anataka uwenyekiti. sasa lisu alipigwa risasi na chadema kwasababu gani maana hakuna alichokuwa anagombania.Mbowe anajuana na Samia kwenye hiyo kesi ya ugaidi.. Ila naamini kilichomtokea Lissu ndo kilichomtokea Wangwe na architecture ni mmoja na yumo ndani ya chadema