TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hapa umeniacha... unazungumzia mkataba upi?
Taarifa zozote za Tanesco ni za kusikiliza kwa masikio sita vinginevyo tutapigwa tuchakaeKama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.
Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!
Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!
Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!
Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!
Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?
TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022
Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!
Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!
Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!
Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-
Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!
View attachment 2016037
Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!
Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!
Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!
Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!
But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.
Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!
Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!
View attachment 2016047
Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!
Akili za kuambiwa, changanya na zako!
Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Hapo kuna taarifa ya CAG na Wizara ya Nishati...Taarifa zozote za Tanesco ni za kusikiliza kwa masikio sita vinginevyo tutapigwa tuchakae
Hii taarifa ni mpya kwangu...====Waziri Makamba ameanza rasmi project alizotumwa TANESCO
Shirika la TANESCO limeingia mkataba wa kusimika mfumo wa kisasa wa ufanisi,wenye thamani ya dola milioni 30 za marekani na kampuni ya Mahendra kutoka India. My take: Hao wataalamu walipopewa nafasi ya kuongea wanasema ni pamoja na utawala pamoja na kumonitor mfumo mzima wa Tanesco kutokea...www.jamiiforums.com
Mkataba huo hapo wa karibu shilingi za kitanzania bilioni 69.
Nilipoangalia kwa haraka haraka, nikakutana na tender ambayo ilitangazwa na TANESCO January 29, 2021. Sina uhakika kama tender yenyewe ndo huo mkataba lakini maelezo yake yanafanana sana na maelezo ya thirid party source, kwamba:-Tanesco’s Managing director, Maharage Chande told a press conference in Dodoma on Tuesday that Tech Mahindra won a tender to help design an Enterprise Resource Planning system (ERP) that will help Tanesco to quickly identify any issues and resolve them promptly thereby ensuring top class customer and staff support.
Kuibinafsisha, HAPANA, huwezi kubinafsisha utlity company!Nimekusoma mwanzo mwisho huku nikizoom data ulizoweka kusindikiza facts zako.
Lakini inaonesha hii post inaisagia kunguni awamu iliyokwenda zake.
Mimi naona ni vyema sasa kukubaliana na option ya Waziri Makamba kwamba TANESCO iingie kwenye phase ya kubinafsishwa au kugawanywa.
Haya madudu yanayofanyika na yanayopangwa dawa yake ni moja tu, nayo ni maamuzi magumu ya kuiweka TANESCO kwenye ubia na wawekezaji. Au ugawanywe isiwe stop centre ya umeme nchini. Au zialikwe kampuni binafsi kuongeza ushindani.
Hekaya hazitaisha kwa fikra mgando
Tena leo nimeletewa cheque ya mgao wangu...Hata mumpakaze vipi Magu mnapoteza muda wenu wananchi wanajua upigaji umerudi rasmi .
Asante sana mkuu kwa kufanya homework kisha kujana na maelezo yanayotupa mwanga ya kujua kinachoendelea. Hata hivyo, kwa kuwa huna uhakika kama taarifa ya third part ndiyo inahusiana na mkataba wa mleta mada basi tuvute subira ili tupate uhakika kabla hatujajikita kujibu swali lako muhimu kwenye bandiko nilikonukuu maelezo yako niliyobandika hapo juu.Nilipoangalia kwa haraka haraka, nikakutana na tender ambayo ilitangazwa na TANESCO January 29, 2021. Sina uhakika kama tender yenyewe ndo huo mkataba lakini maelezo yake yanafanana sana na maelezo ya thirid party source, kwamba:-
Man,Kiutaalamu lazima mtambo ufanyiwe maintanance baada ya masaa kadhaa ya kutembea bila hivyo kitu kinabuma…
Anyway daata zako zenyewe hapo zinaonyesha maintanance ilikuwa inafanyika…halafu daah ebu wacha nisiseme…
Wananchi wa Tanzania tunakipato cha chini tunahitaji umeme wa bei nafuu…ili tusonge…kwanini usishauri kutumia upepo na solar hio gesi ikasubiri kwanza maana bado hatuko tayari…
Ingawaje nilisema ni third source, and YES, it's a third souce lakini link yake niliipata kutoka kwenye website ya kampuni iliyopewa hiyo tenda...Asante sana mkuu kwa kufanya homework kisha kujana na maelezo yanayotupa mwanga ya kujua kinachoendelea. Hata hivyo, kwa kuwa huna uhakika kama taarifa ya third part ndiyo inahusiana na mkataba wa mleta mada basi tuvute subira ili tupate uhakika kabla hatujajikita kujibu swali lako muhimu kwenye bandiko nilikonukuu maelezo yako niliyobandika hapo juu.
Man,
Data zinaonesha maintenance ilikuwa infanyika?! Hebu ziangalie vizuri hizo data:-
View attachment 2016547
Unaona hapo, kwa mfano mashine #1 ilitakiwa kufanyiwa maintenance baada ya ku-operate saa 30,000 lakini wakati ripoti inatolewa, mashine ilikuwa imepiga mzigo kwa saa 40,356 na hapo baada maintanence ilikuwa haijafanyika!!
Na wewe unakubali sana kabisa kuwa walikuwa wanakatazwa kufanya maintanance inaingia akilini ?Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.
Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!
Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!
Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!
Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!
Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?
TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022
Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!
Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!
Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!
Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-
Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!
View attachment 2016037
Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!
Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!
Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!
Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!
But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.
Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!
Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!
View attachment 2016047
Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!
Akili za kuambiwa, changanya na zako!
Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Kwahiyo CAG ni mwongo, sio?!Na wewe unakubali sana kabisa kuwa walikuwa wanakatazwa kufanya maintanance inaingia akilini ?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kwa mfano, Machine #1, Hours Required For Maintenance is 30,000 Hours, and Actual Machine Running Hours is 40,356.Labda ungetusaidia kufafanua hio segment ya mwisho ina maana gani…hours running without maintanance
Lakini na mama naye bingwa wa unafiq.Duuuuh kazi kweli kweli [emoji23] Magu alijua kutaka sifa aiseee sasa ndo hivo mama anateseka