πππππSwali lako lipi?
Lile unaloanza kwa kuniambia nahalalisha kwa data ili niibe wakati hunifahamu?
Mimi ni mumeo kiasi kwamba unafahamu hadi vyanzo vya mapato yangu including vyanzo vya wizi ambavyo inaelekea unavifahamu sana?
Yaani kabisa unaamini kuna ulichouliza ambacho hakijajibiwa humu?!πππππ
Maneno yote uliyotumia kutoa povu si ungejibu tu swali,enzi za Msogagang ilikuwaje?au ndo nyie mlikula mezani pake!
Weka hapa hiyo simple logic...Wizi wa kutumia namba, simple logic inamaliza utapeli wa hizo namba.
Weka hapa hiyo simple logic...Wizi wa kutumia namba, simple logic inamaliza utapeli wa hizo namba.
π€£π€£π€£π€£Yaani kabisa unaamini kuna ulichouliza ambacho hakijajibiwa humu?!
Kwa swali lipi la maana?! Au unataka niwe narudia the same thing over and over again?!
Au hata kwa jibu fupi nililokupa umeshindwa kujiongeza kufahamu jibu lako hasa hapo ni lipi?
Typical JPM Supporter...
Ulichofanya ni kutoa tu stress kwangu ila hamna ulichojibu, yaani hakuna.Data zinatusaidia Nini wakati tuliona umeme ukiwaka na Sasa hauwaki Tena? Tuliona maji na Sasa hayapo Tena? Tuliona mvua na Sasa majini mmezuia Hadi mvua? Tunahitaji data au tunahitaji huduma za jamii?
Mfumuko wa Bei nao ulkuwepo kiasi hiki? Mnatetea uharo tu utadhani mnalipwa huku mnateseka na ndugu zenu na hakuna suluhu, badala mhoji hiyo serikali ya CCM ndio inaleta ulaghai ninyi mnatetea watu wenu majini nyie Hadi mvua imegoma kutokana na mikataba yenu ya kuzimu hamna hata haya
Tatizo ni kwamba hukumbuki tulibishana kuhusu nini.Mkuu Kalamu1,
Mimi sina tatizo na mijadala!!
Mimi sioni taabu mtu kutokubaliana nae kwa 100%, na kila siku tuwe tunapishana kwa hoja... sina tatizo ili mradi huyo anayepinga hoja, basi nae awe anapinga kwa kutumia hoja!!
Lakini wengi, hususani wale Praise Team, huwa hawapingi kwa hoja!! Hivi mimi na wewe ni mara ngapi tunapishana kwa hoja! Ingawaje ni kweli wakati mwingine huwa na-quit mijadala kwa sababu na wewe una "Uluguru" fulani kama Kobello (jamaa mbishi huyu), lakini kwangu na-feel happy sana kubishana kwa hoja!!
Hata huyo Kobello, pamoja na ubishi wake wote wa asili (asikuambie mtu, Waluguru ni wabishi balaa! Sasa sijui jina lake linaasili kabila lake) lakini nae huwa anabisha kwa hoja!
Ujinga wa ubishi wa hoja kwa hoja, halafu mkakutana wabishi tupu, basi huo ubishi huwa hauishi hadi mmoja ajifanye mjinga na ku-quit but at peace!!
Wanaofanya sabbotage ya TANESCO ndo hawa hawa wanaoitwa wale wale.Kuibinafsisha, HAPANA, huwezi kubinafsisha utlity company!
Unaweza kubinafsisha baadhi ya kazi za TANESCO, kama vile power generation... na hilo lipo kwa miaka kadhaa sasa!!
Ungesema kufanya Management Contract, ningekubaliana na wewe! Hata hivyo, unafanya Management Contract pale unapojiridhisha kwamba tatizo la TANESCO ni management!!
Kwamba post inasagia kunguni utawala uliopita, hilo sio lengo bali kuweka kumbukumbu sawa ili watu waache ushabiki na mahaba ya kisiasa kwenye serious issues! Watu tukiacha ushabiki wa kisiasa, hata wanasiasa wataanza kuwa responsible! Lakini haya mambo jambo hata kama ni la ovyo bado unalitetea kwa nguvu zote kisa tu kimefanywa na umpendae, hilo ni angamizo kwa taifa!!
Mkuu Chige,Mkuu Kalamu1,
Mimi sina tatizo na mijadala!!
Mimi sioni taabu mtu kutokubaliana nae kwa 100%, na kila siku tuwe tunapishana kwa hoja... sina tatizo ili mradi huyo anayepinga hoja, basi nae awe anapinga kwa kutumia hoja!!
Lakini wengi, hususani wale Praise Team, huwa hawapingi kwa hoja!! Hivi mimi na wewe ni mara ngapi tunapishana kwa hoja! Ingawaje ni kweli wakati mwingine huwa na-quit mijadala kwa sababu na wewe una "Uluguru" fulani kama Kobello (jamaa mbishi huyu), lakini kwangu na-feel happy sana kubishana kwa hoja!!
Hata huyo Kobello, pamoja na ubishi wake wote wa asili (asikuambie mtu, Waluguru ni wabishi balaa! Sasa sijui jina lake linaasili kabila lake) lakini nae huwa anabisha kwa hoja!
Ujinga wa ubishi wa hoja kwa hoja, halafu mkakutana wabishi tupu, basi huo ubishi huwa hauishi hadi mmoja ajifanye mjinga na ku-quit but at peace!!
Waka usipate taabu, uzi wenyewe huu hapa:-Tatizo ni kwamba hukumbuki tulibishana kuhusu nini.
Leo 4yrs later nini kimetokea?
Hebu pandisha nyuzi tulizowahi kubishana tuone nini kimetokea leo.
Ndio maana siku hizi huwa naangalia jinsi watu walivyogeuka na huwa nacheka.
Hebu pitia mwenyewe ulichokuwa unaandika...Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Hali ya uchumi ni mbaya
TNisubiri wachangiaji au watakuwa bize jukwaa la mahusiano tuna mfalme hataki kuambiwa kuwa yu uchi, anataka wanaomdanganya kuwa amependeza kwa vazi lisilokuwepowww.jamiiforums.com
Umesoma nilichoandika?! I doubt kwa sababu ungesoma ungeona nimegusia nyanja mbalimbali! Na katu siwezi kusema it's exclusively ni scientific/operational na ndo maana hata Mzee Mwanakijiji nilimjibu:-Kuhusu hii mada, Cherry-picking ya data zako inaonyesha kuwa mada ipo kisiasa zaidi.
Yaani problem siyo policy-based but scientific/operational?
Does it sound like scientific (I guess you meant technical) or operational solution?Tatizo la umeme litapungua kwa kiasi kikubwa ONLY IF one or the combination of the 2 happens:-
1. Endapo Kinyerezi III na IV itajengwa na hivyo kuongeza kiwango cha umeme kwenye national grid, and/or
2. Bwawa la Nyerere litakamilika na kuanza kuingiza umeme kwenye grid ya taifa!
Kinyume na hapo, upungufu utaendelea kuwepo kwa sababu kila siku wateja wapya wanazaliwa, na matumizi yanaongezeka!! Sasa haiwezekani kila siku wateja wapya wanazaliwa, na kiwango cha umeme kinabaki kile kile halafu tutarajie tatizo la upungufu wa umeme litaisha!!
Come again!!Pia umelazimisha kuwepo Kwa mgao wa umeme for the last six years at the same rate. Is this factual?
Again, umesoma?!Umeenda zaidi na kusema thermal power plants, ndiyo tatizo. Zimeharibika???
Anza kwanza kusoma ili kupunguza ligi!!Tuanze hapo kwanza.
Hata ungejiita Masanja, kwa ubishi wako huo unadhani ningeingia King na kudhani utakuwa Ngosha?!NB: Mimi ni mluguru wa Kibungo. Juu kabisa ya mlima. Asili yetu ni Wabena tusiopenda ugomvi tukaamua tuondoke twende mbali na binadamu wenye hila.
Sikumbuki, lakini nadhani nilishakutana nawe mahala, humu humu JF, zamaini kidogo. Kama nakumbuka vizuri, ilikuwa ni swala la wakulima wadogo na wakubwa na mchango wao kwenye maendeleo ya nchi - kitu kama hicho. Ni muda kitambo.Tatizo ni kwamba hukumbuki tulibishana kuhusu nini.
Leo 4yrs later nini kimetokea?
Hebu pandisha nyuzi tulizowahi kubishana tuone nini kimetokea leo.
Ndio maana siku hizi huwa naangalia jinsi watu walivyogeuka na huwa nacheka.
Kuhusu hii mada, Cherry-picking ya data zako inaonyesha kuwa mada ipo kisiasa zaidi.
Yaani problem siyo policy-based but scientific/operational?
Pia umelazimisha kuwepo Kwa mgao wa umeme for the last six years at the same rate. Is this factual?
Umeenda zaidi na kusema thermal power plants, ndiyo tatizo. Zimeharibika???
Tuanze hapo kwanza.
NB: Mimi ni mluguru wa Kibungo. Juu kabisa ya mlima. Asili yetu ni Wabena tusiopenda ugomvi tukaamua tuondoke twende mbali na binadamu wenye hila.
Karibu Kiongozi, lakini huenda ulikuwa tu hujawahi kuona michango yangu mingine!!Mkuu Chige,
Niseme tu kwamba naheshimu maoni yako, na pia naheshimu zaidi juhudi unazofanya wakati unapowasilisha maoni ya upande wako kwa kutafuta taarifa za kuunga mkono hoja zako, hata kama hoja zenyewe sio sahihi.
Nimetokea kukufahamu vizuri zaidi kutokana na michango yako kwenye mada za bandari ya Bagamoyo, na sasa habari hii ya akina Januari, Zitto na wenzao kwenye hili tatizo la umeme na mitambo ya gesi.
Bado nina hamu sana ya kuchangia kwenye habari uliyoweka hapa, lakini muda unakuwa ndiyo shida. Nitajitahidi nirudi tena kukusoma na niweke mawili matatu juu ya maoni uliyoweka hapo.
Karibu kwenye mjadala...Wafuasi wa Hangaya aibu inawashika, mnashindwa kusema mama anazingua mnaanza kupeleka lawama kwa JPM, na bado mtalaumu sana.
Mnakuja na data zenu za uongo na kweli mnaunga unga upuuzi tu, wananchi wanataka umeme sio siasa.
Gharama za maisha zimepanda, bando zimepanda, kero za kila namna, na aibu inawashika...
Data zenu za kipiuzi mnajikosha hapa kumbe wapigaji wakubwa, mmeanza kung'oa na kuuza vifaa, hata gas za ku run hizo generator mtakuwa mnapiga shenzi kabisa...
Unamaanisha upungufu wa umeme Tanzania unasababishwa na umeme wa maji kuzalishwa kwa asilimia chache, kama hilo ndio jibu lako kwanini wakati wa Magufuli huo upungufu haukuonekana hata kama palikuwa na kiangazi mpk tutangaziwe mgao?Weka hapa hiyo simple logic...
I doubt if you can...
Matatizo yenu huwa hamsomi vingenevyo usingeandika kitu ambacho sijakisema!!!Unamaanisha upungufu wa umeme Tanzania unasababishwa na umeme wa maji kuzalishwa kwa asilimia chache,
Hivi kiangazi na ukame ni kitu kile kile?! Au unataka kubisha kwamba hakuna ukame?!kama hilo ndio jibu lako kwanini wakati wa Magufuli huo upungufu haukuonekana hata kama palikuwa na kiangazi?
Hebu nijibu yafuatayo:-na kwabini kwa kiangazi hiki cha sasa upungufu uwepo, ni nini kilichoongeza matumizi ya nishati ya umeme? kuna viwanda vingapi vimejengwa toka Sania aingie ikulu?
Look at you... "namba mnazotoa"On top of all that, wale wapiga madili waliokuwepo wakati ule wa awamu ya nne ndio hao wameanza kuchanua wakati huu, ni mjinga gani atakeamini hizo sababu za "namba" mnazotoa? watu hawana credibility, you can't fill it by your numbers, you can write all day long....
Tazama hii simple logic;Matatizo yenu huwa hamsomi vingenevyo usingeandika kitu ambacho sijakisema!!!
Nilichosema ni kwamba, kabla ya ujenzi wa Bomba la Mtwara kulikuwa na upungufu mkubwa wa umeme! Baada ya kujenga bomba, Serikali ya JK ikapanga kujenga Vituo 4 vya kuzalisha umeme... Kinyerezi I, II, III, na IV ili kuongeza uzalishaji wa umeme!
JK akafanikiwa kujenga Kinyerezi I, lakini kwavile muda wake ulikuwa umeisha, Kinyerezi II iliishia tu kwenye hatua za awali ikiwa ni pamoja na kusaini mkataba!!
Magufuli alipoingia, alitakiwa kujenga Kinyerezi II, III, na IV lakini kinyume chake, akajenga tu Kinyerezi II ambayo mchakato ulishaanza, na ile III na IV akapiga chini akaanzisha Bwawa la Nyerere!!
Sasa kwavile Bwawa la Nyerere linahitaji investment kubwa na time, matokeo yake hadi amekutwa na umauti, mradi ulikuwa hujakamilika!
Matokeo yake, hadi kesho umeme unaotegemewa kwa kiasi kikubwa ni ule ule ambao aliukuta huku wa gesi ukiwa 57% na wa maji 36% na kiasi kilichobaki ni vyanzo vingine!
Hivi kiangazi na ukame ni kitu kile kile?! Au unataka kubisha kwamba hakuna ukame?!
Man, kama si JK kujenga Bomba la Gesi kutoka Mtwara hali ingekuwa MBAYA! Watu mnampa credit JPM kwa sababu ule mradi ulifanyika mwishoni kabisa mwa utawala wa JK, kwahiyo manufaa yake yameanza kuonekana wakati wa JPM, na ndo maana mnadhani JPM ndie alitatua tatizo la umeme!!
Kinyerezi I kwa mfano, tumeanza kutumia umeme wake October 25, 2015!! Na Kinyerezi I na II, zimeingiza zaidi ya 400 MW kwenye grid ya taifa, let alone Ubungo II ambayo installed capacity ni zaidi ya 100 MW!!
Hivi ulishawahi kujiuliza ukitoa hizo 500MW, huyo JPM angekuta hali gani?!
Na kwanini wakati wa huo upungufu hakuonekana nishasema hapa mara nyingi! Kwanza, SIO KWELI kwamba eti hapakuwa na upungufu!! Lakini hayo tuyaache! Ripoti ya CAG imesema wazi kwamba:-
View attachment 2017728
Hayo sio maneno yangu bali ni maneno ya CAG! Na wala sio Ripoti ya wakati wa JK au Samia bali ni wakati wa JPM mwenyewe! CAG hapo anasema hapo TANESCO walikuwa wanakataliwa kuzima mitambo na kufanya ukarabati kwa sababu hifadhi ya umeme ilikuwa ndogo to the point, kama mitambo ingezimwa, ingesababisha mgao!!
Kwahiyo ili serikali ijioneshe hakuna tatizo la umeme, ikawa inalazimisha hizo mashine ziburuzwe hivyo hivyo kwa hofu wakizima, mahali kama Dar penye watu wenye kelele nyingi, ingeingia kwenye mgao! Kwahiyo ikawa "bora punda afe, lakini mzigo ufike"!
Sasa lau kama Kinyerezi III na IV zingejengwa, hiyo hofu isingekuwepo!!
Now tell me: Katika hali ya kawaida tu, hakuna ukame wala nini, bado TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kuzima mashine kwa sababu umeme ulikuwa hautoshi... what about chanzo kimoja kinapoathirika?
Hebu nijibu yafuatayo:-
1. Hivi kiangazi na ukame ni kitu kile kile?
2. Unabisha kwamba kina cha maji kwenye mito yetu kimepunguwa?
Look at you... "namba mnazotoa"
Hizo namba ni za kwangu mimi hadi useme "...namba mnazotoa"?
Let me guess... you're the victim of political lies kwa sababu, inaonesha unaamini zaidi kauli zinazoongelewa na wanasiasa na watu wao kuliko ripoti za kitalaamu!!
Hapo kuna takwimu kutoka National Audit Office na zingine kutoka Wizara ya Nishati; na zote hizo ni za wakati wa JPM!! Sasa zangu kivipi?
Na hilo la wapigaji... hivi nchi hii ni lini palikosekana kuwa na wapigaji?
Au nawe ni wale wanaoamini JPM alidhibiti ufisadi?! Hivi ufisadi wakati wa JK watu tulikuwa tunaufahamu vipi kama sio kupitia bungeni na kwenye vyombo vya habari?!
Hiyo awamu ya JPM mnayotaka kutuaminisha hapakuwa na ufisadi, hilo bunge lilikuwa na uwezo wa kujadili hayo mambo?
Hazitoshi kivipi wakati nimeshaandika reference kwamba ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019, na nyingine ni Power Master Plan Report... zote hizo za awamu ya JPM!!Asante mkuu.
Data zilizopo hazitoshi kufahamu hili tatizo kwa undani, ndio maana nimesema siamini hizi data.
Nimekupa hapo reference, for more! Siwezi ku-copy report yote na kuweka hapo, lakini needed info, nimeweka!!Kwa kuanza.
Anyway wewe au mleta mada ili tuweze kujadili hili suala vyema lazima data ziwe zimekamilika kama una data zimekamilika naomba kufahamu mambo yafuatayo.
Sijasema mimi, bali CAG!Mnasema Ubungo 2 plant kuna mashine hazikufanyiwa maintenance,
Kuna mashine 3 kama nilivyoweka hapo juu ambazo installed capacity ni 35MW each, lakini kama sikosei zilikuwa upgraded to 43MW each!naomba kufahamu kila mashine moja ina uwezo gani.
2012Naomba kufahamu zilianza kufanya kazi lini, zilinunuliwa lini.
Maswali yote hayo wala hayawezi kuleta utofauti kwenye uchangiaji wako kwa sababu hayasaidi kuongeza wala kupunguza kiwango cha umeme!! Naona ni kama maswli iliyoyaweka ili kuleta ligi na kujaribu kukwepa assignment niliyokupa ya wewe uweke hizo data za kweli kwa sababu za kwangu unadai ni za uongo!!Naomba kufahamu ni mashine models zipi, gharama yake ya ununuzi.
Naomba kufahamu hivyo vifaa vinavyobadilishwa ni vipi, na vina gharama ipi?
Naomba kufahamu pia zinatumia gas kiasi gani per day.
Naomba kufahamu pia gharama ya maintenance inakuwaje.
Kwa kunijibu haya, tunaweza kujadili mambo kitaalamu na tuache blah blah blah, data mnazotoa nikisema ni mfu nakuwa sikosei.
Kama jibu huna basi ni uswahili tu unaendelea humu...
Uwongo!!Muhimu ni kuwa wakati wa Magufuli na Kalemani hakukuwa na mgao wa umeme!