UONGO wa RAIS ni tofauti na Uongo mwingine KUNA NA RAIS MUONGO ni AIBU KWA TAIFA ni Mjinga tu ndio Atafananisha Uongo wa Mbowe na RAISUongo upo kila sehem mkuu. Na ndio maana mpaka leo unawatesa hawa wachumia tumbo kwa kujaribu kuirubuni tena baadhi ya misukule yao iliyokata kamba mwaka 2015, na kuamua kuachana na harakati uchwara kwa masilahi ya viongozi wa chama. I mean chama na viongozi wake wamekuwa hawaaminiwi tena kwa chochote wanachosema.
View attachment 1933563
View attachment 1933564
View attachment 1933565
View attachment 1933566
Nani katuachia hizo ndege na bandari? Mbona huyo pimbi mmampa umaarufu asiostahili!! Yeye mwenyewe kazikuta taslimali hizo na kaziachaJengeni nchi, hayupo sasa miaka miwili, umeme umewashinda, miradi imewashinda mpaka mnaiuza, kawaachia ndege, ukarabati wa viwanja vya ndege, bandari zote, madaraja makubwa, Mradi wa SGR, JKNHP, n.k bila tozo, nyinyi mnafeli wapi.?
Uongo ni uongo tu haijalishi umeongelewa na raisi au kiongozi wa upinzani. Kila jambo lililokatazwa hata na Mungu mwenyewe juwa lina madhara kwa binadamu.UONGO wa RAIS ni tofauti na Uongo mwingine KUNA NA RAIS MUONGO ni AIBU KWA TAIFA ni Mjinga tu ndio Atafananisha Uongo wa Mbowe na RAIS
Yeye ndiio alitakiwa kuwa makini ii asiende motoni, wafanyakazi hewa ina maana kuna pesa ilikuwa inatafanuwa, ulishasikia kuna mtu kakamatwa kula mishahara ya wafanyakazi hewa ? Makosa yake ndio tunalipa kwa mitozo, Basi angemsamehe Lissu & Co ili njia iwe nyeue , Yeye alikuwa katoliki Sala ya " Baba Yetu " inasema kule mwishoni,,,,,,,,,,utusamehe kama sisi tunavyowaseme waliotukosea ..... kuna kila dalili yule mwamba alikaza uzi mpaka anaondoka, alishtuka tu kumrudishia paspoti yule askofu ili aje amwombee sala ya kumpitisha kimimishe peponi halafu wewe unadanyika anapumzika kwa amani. Yupo motoni. Mungu Ibariki Tanzania. Kumbe Mungu anaipendasana nchi hii.Mkuu usimuhusishe Mungu kwenye mambo yako! Kumbuka una wazazi, watoto au mke Mungu hadhihakiwi Apandacho mtu ndo atakachovuna! Yeye ametangulia mimi na wewe mda wowote tunamfata usikufuru. Ila kwa vile kila mtu akikosoa anaonekana ni Sukuma gang! Kaeni makini sana na maneno yenu!
Kwanini unachallenge legacy? Nchi hii imechezewa sana na mafisadi. Au nasema uwongo ndugu zangu?
13. Tanzania ni donor country.
14. Ndani ya miaka mitano tu ya awali awamu ya 5 ilifanikiwa kujenga viwanda zaidi ya 800
siku hizi laizer haokotiHiyo ya lizer na Almasi hebu fafanua
OnoooHiyo ya lizer na Almasi hebu fafanua
Ni chuki yako tu dhidi ya Magufuli lakini kwa ufahamu wako ninavyosomaga post zako humu, naamini unajua kwamba serikali zote huendesha nchi kwa propaganda. Propaganda ni mchanganyiko wa facts na uongo. Hivyo JPM hakuwa unique. Hakuna serikali inayoongoza nchi kwa facts tu. Ikifanya hivyo basi itashindwa kuendesha nchi na matokeo yake yanaweza kuwa mabaya sana.Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!
1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo
2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!
3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo
4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida
5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda
6. Tanzania hakuna Corona
7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo
8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini
9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani
10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!
11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.
12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah
13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah
huyu Mzee huyu R.I.P
Kwani sasa hivi hazipikwi?wewe unaamini kweli kuwa mfumuko wa bei kwa sasa ni 4 na point!Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!
1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo
2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!
3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo
4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida
5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda
6. Tanzania hakuna Corona
7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo
8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini
9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani
10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!
11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.
12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah
13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah
huyu Mzee huyu R.I.P
GaniKwanini unachallenge legacy? Nchi hii imechezewa sana na mafisadi. Au nasema uwongo ndugu zangu?
13. Tanzania ni donor country.
14. Ndani ya miaka mitano tu ya awali awamu ya 5 ilifanikiwa kujenga viwanda zaidi ya 800
Huu ndiyo UWONGO wa Magufuli ambao wajinga wa Tanzania wanamuita shujaa au mwamba. STUPIDTukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!
1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo
2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!
3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo
4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida
5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda
6. Tanzania hakuna Corona
7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo
8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini
9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani
10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!
11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.
12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah
13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah
huyu Mzee huyu R.I.P
Yaan mkiona Serikali ya mama yenu inayumba kiuchumi ,mnakuja kumtaja JPM.Tafadhali tunaomba ,endeleeni kupambana na uchumi sio kumsingizia Marehemu.Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!
1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo
2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!
3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo
4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida
5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda
6. Tanzania hakuna Corona
7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo
8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini
9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani
10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!
11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.
12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah
13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah
huyu Mzee huyu R.I.P
HahaHiyo ya lizer na Almasi hebu fafanua
Nchi iko vizuri na Rais Samia, huyo Magu aliye jehanam aendelee kuungua na moto tuYaan mkiona Serikali ya mama yenu inayumba kiuchumi ,mnakuja kumtaja JPM.Tafadhali tunaomba ,endeleeni kupambana na uchumi sio kumsingizia Marehemu.
Wewe mwenyeji huko Jehanam? Maana unashadadia nchi iko vizuri sijui nchi gani? Machawa mmekuwa mataahira siku hizi!Nchi iko vizuri na Rais Samia, huyo Magu aliye jehanam aendelee kuungua na moto tu
Umekalia majungu ya kwenye mtandao, wenzio wanatafuta pesaWewe mwenyeji huko Jehanam? Maana unashadadia nchi iko vizuri sijui nchi gani? Machawa mmekuwa mataahira siku hizi!
Puppet wa majizi weweNchi iko vizuri na Rais Samia, huyo Magu aliye jehanam aendelee kuungua na moto tu