Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #41
Kwahiyo mzee unataka kusema video za mpira Europe miaka 70s hazipoTaja hiyo zamani ipi? maana katika nukuu zangu umeona nimeandika miongo 70's, 80's na 90's.
Uzuri wa mpira wa miguu ni sanaa ambayo watu wanacheza na kushuhudiwa na watazamaji...
Noma sanaaaWazee wetu wa zamani wote walikuwa wa kwanza darasani.😂
Hata sisi baadae tukiwa wazee,tutasema hivo hivo mleta mada kaa kwa kutulia.Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo.
Mimi nitasema ukweli siwezi kua muongo muongoHata sisi baadae tukiwa wazee,tutasema hivo hivo mleta mada kaa kwa kutulia.
Hawa madogo wahuni tu, usikute linabisha kwa hisia tu hata hao kina Gaga hajawaona.Wachezaji wa zamani wengi walikua na vipaji haswa kama Method Mogela,China,Gaga Nchi ilikua na watu sana wakina Innocent Haule au Selestine Sikinde Mbunga sema ndio hivyo washindani wetu walikua bora zaidi yetu..wapo wachezaji wa kizazi hiki wana viwango sawa na wale ila Mchezaji kama Dube enzi za kina Kizota Yanga hawezi kupata namba au Sanifu Lazaro Tingisha hiyo Simba ilikua na Viungo kama watano Marsha,George Lukas,Michael Paul naironi inabidi wengine wapewe namba saba ili kupata namba mchezaji kama Lunyamila utampata wapi sasa hivi ngoja niishie hapa maana bado wakina Mbui Yondani wa huko Reli ya Morogoro...
Ukiona anakuz mwache fanya ya yako maana anayakupoteza uyo maana kasha zeeka ana jpyawengine wamo humu jf huwa wanatupiga mno,atukuwepo enzi izo wanatubuluza tu.
Nguruwe kama wale wa yule bwana wa Dom?Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo halafu mwisho kwanini Kila mzee nikimuuliza alikua anakua wa ngapi shule anasema alikua wa kwanza mpaka anamaliza Sasa wamwisho alikua nani .
Unaakili timamu Messi iniesta roben drogba na Ronaldo ni kizazi Cha zamani naona kama umechanganya mafaili kichwani unajielewa kweli mzeeAcha makasiriko kijana wa zamani uliyeanza kushabikia na kuangalia mpira 2020. Wachezaji wa miaka iliyopita walisakata boli Sana . Hivi unajua wachezaji Hawa hawakuwa na namba kwenye Timu Yao Yani wachezaji wa Benji
1. Louis Nani
2. Chicharito
3. Barbatov
4. Samir Nasri
Haya nitajie wachezaji wa Sasa unayeweza kumfananisha na
Rooney , au Rayan gigs , Au Didier Drogba , Au Arjen Roberi au inesta, au xavi au Messi na Ronaldo wa kipindi hicho... Kwa tukifanikiwa kuangalia Soka hata la Epl miaka ya 2010 kurudi nyuma to 2005 na Sasa tunaona saivi hakuna wale wachezaji hatari
sio kila wanachokisema wazee akina jipya mengine yana maana,mingine ni story tu wazee kukaa na vijana kupata faraja.Ukiona anakuz mwache fanya ya yako maana anayakupoteza uyo maana kasha zeeka ana jpya
Hujielewi ,,,Unaakili timamu Messi iniesta roben drogba na Ronaldo ni kizazi Cha zamani naona kama umechanganya mafaili kichwani unajielewa kweli mzee
Daah kumbe huu uzi ni wako usije kuzungumzia mambo ya akili wacha nikuteme maana unatukana balaa...Wana makombe mangapi hao uliowataja wakitumikia timu za tanzania Africa hii tu kwa mfano
Kwahiyo mzee unataka kusema video za mpira Europe miaka 70s hazipo
Hahahahaha kuna siku moja nilikua na wachezaji wa zamani wanajisifu kuwa wao walikua bora wkt hawana Kombe loloteHivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo halafu mwisho kwanini Kila mzee nikimuuliza alikua anakua wa ngapi shule anasema alikua wa kwanza mpaka anamaliza Sasa wamwisho alikua nani .