Uongo wa wazee wa zamani wa Tanzania kuhusu mpira

Uongo wa wazee wa zamani wa Tanzania kuhusu mpira

Taja hiyo zamani ipi? maana katika nukuu zangu umeona nimeandika miongo 70's, 80's na 90's.

Uzuri wa mpira wa miguu ni sanaa ambayo watu wanacheza na kushuhudiwa na watazamaji...
Kwahiyo mzee unataka kusema video za mpira Europe miaka 70s hazipo
 
Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.

Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo.
Hata sisi baadae tukiwa wazee,tutasema hivo hivo mleta mada kaa kwa kutulia.
 
Wachezaji wa zamani wengi walikua na vipaji haswa kama Method Mogela,China,Gaga Nchi ilikua na watu sana wakina Innocent Haule au Selestine Sikinde Mbunga sema ndio hivyo washindani wetu walikua bora zaidi yetu..wapo wachezaji wa kizazi hiki wana viwango sawa na wale ila Mchezaji kama Dube enzi za kina Kizota Yanga hawezi kupata namba au Sanifu Lazaro Tingisha hiyo Simba ilikua na Viungo kama watano Marsha,George Lukas,Michael Paul naironi inabidi wengine wapewe namba saba ili kupata namba mchezaji kama Lunyamila utampata wapi sasa hivi ngoja niishie hapa maana bado wakina Mbui Yondani wa huko Reli ya Morogoro...
Hawa madogo wahuni tu, usikute linabisha kwa hisia tu hata hao kina Gaga hajawaona.
Hata kwenye top team ya kata tu huko kijijini kwetu kuna wachezaji walikuwa vizuri hakuna wa kulinganisha huko Simba na Yanga
 
Acha makasiriko kijana wa zamani uliyeanza kushabikia na kuangalia mpira 2020. Wachezaji wa miaka iliyopita walisakata boli Sana . Hivi unajua wachezaji Hawa hawakuwa na namba kwenye Timu Yao Yani wachezaji wa Benji
1. Louis Nani
2. Chicharito
3. Barbatov
4. Samir Nasri

Haya nitajie wachezaji wa Sasa unayeweza kumfananisha na
Rooney , au Rayan gigs , Au Didier Drogba , Au Arjen Roberi au inesta, au xavi au Messi na Ronaldo wa kipindi hicho... Kwa tukifanikiwa kuangalia Soka hata la Epl miaka ya 2010 kurudi nyuma to 2005 na Sasa tunaona saivi hakuna wale wachezaji hatari
 
Hasa wazee wa Kariakoo ndio wanaongoza kwa kamba, karibia wote walikuwa wanakaa nyumba ya tatu kutoka yalipo makao ya Yanga na Simba.
 
Kwa kujua stori za jaba za wazee wa zamani huwa zinawashika sana Watanzania Clouds waliona fursa wakamuajiri Mbwiga Mbwiguke.
 
Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.

Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo halafu mwisho kwanini Kila mzee nikimuuliza alikua anakua wa ngapi shule anasema alikua wa kwanza mpaka anamaliza Sasa wamwisho alikua nani .
Nguruwe kama wale wa yule bwana wa Dom?
 
Acha makasiriko kijana wa zamani uliyeanza kushabikia na kuangalia mpira 2020. Wachezaji wa miaka iliyopita walisakata boli Sana . Hivi unajua wachezaji Hawa hawakuwa na namba kwenye Timu Yao Yani wachezaji wa Benji
1. Louis Nani
2. Chicharito
3. Barbatov
4. Samir Nasri

Haya nitajie wachezaji wa Sasa unayeweza kumfananisha na
Rooney , au Rayan gigs , Au Didier Drogba , Au Arjen Roberi au inesta, au xavi au Messi na Ronaldo wa kipindi hicho... Kwa tukifanikiwa kuangalia Soka hata la Epl miaka ya 2010 kurudi nyuma to 2005 na Sasa tunaona saivi hakuna wale wachezaji hatari
Unaakili timamu Messi iniesta roben drogba na Ronaldo ni kizazi Cha zamani naona kama umechanganya mafaili kichwani unajielewa kweli mzee
 
Kwahiyo mzee unataka kusema video za mpira Europe miaka 70s hazipo

Naona unapoteza lengo la mjadala wetu...

Wewe unalinganisha kitu ambacho hujakiona zamani na unachiona sasa...

Umeanza kushuhudia mchezo wa kabumbu miaka ipi?
 
Wewe kweli ni kijana wa hovyo.

Iko siku utasema Jay Jay Okocha na wenzake hawakuwa na kiwango cha kumzidi Osimhen pale Nigeria. Utasema kwamba golikipa Onana ni mkali kuliko Thomas N'kono pale Cameroon.

Kwa ujinga ujinga huu huu utasema Vinicius Jr ana balaa kuliko Romario, Tyson Fury ni mkali sana kuliko Mohammed Ali, Dullah Makabila anamzidi Michael Jackson kwenye Pop kwa mbali sana. 😆🤣
 
... kwenye ELIMU kushuka wapo sahihi!
... nimeshuhudia wasomi wa UDSM wanakariri notes, kwa broken English, kabla ya mitihani nikabaki hoi, ... yaani wanayemuita MKALI naye anaimba notes asizoelewa na 'zero uchambuzi'!
 
Nitashangaa sana kama mzee wako hautamjumuisha kwenye kundi la hao wazee wengine
 
Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.

Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo halafu mwisho kwanini Kila mzee nikimuuliza alikua anakua wa ngapi shule anasema alikua wa kwanza mpaka anamaliza Sasa wamwisho alikua nani .
Hahahahaha kuna siku moja nilikua na wachezaji wa zamani wanajisifu kuwa wao walikua bora wkt hawana Kombe lolote
 
Back
Top Bottom