Pre GE2025 Uongozi ni karama ya kuzaliwa, Paul Makonda anaendelea kulithibitisha hilo

Pre GE2025 Uongozi ni karama ya kuzaliwa, Paul Makonda anaendelea kulithibitisha hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
You are not supposed to be so blind Kwa sababu ya unafiki that you can't face the reality!!.

Ukweli ni Kwamba, Makonda ni Nyota ya Asubuhi.

Uthubutu alonao, licha ya nafasi hiyo , ni wazi kwamba katika Nafasi kubwa, TAIFA LITAJAA HAKI .
 

Attachments

  • tapatalk_1488873578481.jpeg
    tapatalk_1488873578481.jpeg
    79.3 KB · Views: 1
Hongera sana mh. Paul Makonda. Ungekuwa na mamlaka ya juu zaidi, kukatika kwa umeme kusingekuwepo, ubabaisha katika kazi za umma usingekuwepo kama ilivyokuwa wakati wa JPM.

Mungu azidi kukupa nguvu na kukulinda.
This is all chess...

Tuwe na subra 2025 ipite
 
Makonda anajua kushawishi na ana ushawishi kuliko kiongozi yeyote kwa sasa.

Hofu yangu ni kwamba anakiuka miiko ya chama chake na kanuni ya kwamba "never out-shine the master" yaani usifanye ukamzidi mkubwa.

Pia inanikumbusha Mzee wa Monduli ni kijana wa Mjini Born Town. Na sote tunajua what was the end!

Kwa hili la huyu kijana ni ngumu kutabiri yajayo!
 
Makonda anajua kushawishi na ana ushawishi kuliko kiongozi yeyote kwa sasa.

Hofu yangu ni kwamba anakiuka miiko ya chama chake na kanuni ya kwamba "never out-shine the master" yaani usifanye ukamzidi mkubwa.

Pia inanikumbusha Mzee wa Monduli ni kijana wa Mjini Born Town. Na sote tunajua what was the end!

Kwa hili la huyu kijana ni ngumu kutabiri yajayo!
Kwa jinsi anavyojiamini lazima kuna plan
 
#makonda nitafute nikushauri huwa unakoseaga wapi na unatakiwa uweje serious utakuja ni shukuru
 
Huhitajiki kua Rais ili uwe Kiongozi Bora Bali kuielewa tafasiri halisi ya Uongozi inatosha kabisa kuwekwa Moyoni mwa Wananchi.


Mpango, Majaliwa, Mko wapi?? Mbona Uthubutu alonao Makonda, ni mkubwa kuliko hata Nafasi yake?.

Ni sahihi kusema Makonda amezaliwa kua Kiongozi?.

Katibu Mwenezi tu, lakini kazi anayopiga, Uthubutu alonao , kwanini asipendwe ?.

Inawezekana akawa wa Maneno tu, pengine utekelezaji ukawa Mdogo kwakua watekelezaji ndio wanaomkwamisha ..Lakini kitendo Cha Uthubutu wake ,bila kujali nafasi yake, kunatosha kabisa kumpa Sifa ya Ubora wa Uongozi.


Ziara za Makonda, zinaendelea kuonyesha ,nini Wananchi wanataka, watu wanajisikia Amani, wanaona wanajaliwa, wanakua na tumaini .


Laiti kama Kuanzia Wenyeviti wa mitaa , mpaka mawaziri , Watumishi wote wa umma, wangezijua nafasi zao , Ni wazi , Ziara za Makonda zingekutana na malalamiko kidogo.


Mungu akulinde sana Mh Paul Makonda . !!.
Ujuaji mwingi sana je huyo makonda anakufira?
 
Namkubali sana Makonda, yaani ni kiongozi hasa, anajua kuona mbali maana hata Dkt Samia ni yeye aliyemnenea mema na mpaka akawa rais. Kwa ufupi Makonda ni Nabii. Mungu amlinde sana ampe maisha marefu na hatimaye aje kuwa rais wetu wa JMT.
Husimwite tu nabii, mpe cheo cha mh. Mungu itafaa zaidi. Uchawa ni kipaji!! Katenda jambo gani la maana hadi asitahili hizi sifa zote? au kule kuwaita /kuwapigia simu watendaji na viongozi wa serikali majukwaa kunatosha kuonyesha uongozi wa mtu? Vipi kuhusu wale wanaofuatilia uongozi na utendaji wa wateule na kuwaonya au kuwachukulia hatua kimyakimya bila kudhalilisha utu wao, je, hawafai?
 
Back
Top Bottom