mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Kwako unaona bora Samia kuwa Rais kuliko Makonda?Nakupa pole kwa chuki zako,zisizo na sababu...kama tumefikia kuamini Makonda anafaa kuwa kiongozi hapa nchini basi tuna tatizo kubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako unaona bora Samia kuwa Rais kuliko Makonda?Nakupa pole kwa chuki zako,zisizo na sababu...kama tumefikia kuamini Makonda anafaa kuwa kiongozi hapa nchini basi tuna tatizo kubwa sana.
You are not supposed to be so blind Kwa sababu ya unafiki that you can't face the reality!!.
Ukweli ni Kwamba, Makonda ni Nyota ya Asubuhi.
Uthubutu alonao, licha ya nafasi hiyo , ni wazi kwamba katika Nafasi kubwa, TAIFA LITAJAA HAKI .
Coalition of rainbow...kama tumefikia kuamini Makonda anafaa kuwa kiongozi hapa nchini basi tuna tatizo kubwa sana.
Kwako unaona bora Samia kuwa Rais kuliko Makonda?Nakupa pole kwa chuki zako,zisizo na sababu.
Coalition of rainbow.
This is all chess...Hongera sana mh. Paul Makonda. Ungekuwa na mamlaka ya juu zaidi, kukatika kwa umeme kusingekuwepo, ubabaisha katika kazi za umma usingekuwepo kama ilivyokuwa wakati wa JPM.
Mungu azidi kukupa nguvu na kukulinda.
Wanalengwa wengi.... Unadhani jamaa kakurupuka,,, kila mtu anacheza na fomesheni zake kwa sasa tutajuana 2025Nyie mvimbisheni kichwa tu hamjui mnamuweka kwenye kilengeo
MkuuKuna wapumbavu walisha anza kusema eti kila goti lingepigwa kwa BWANA YULE kabla ya ile 17 march.
Tuyasikie kadamnasi hayo matusi na sieDr Matola PhD nimekutukana matusi ya nguoni kwa ku dislike reply yangu
Kwa jinsi anavyojiamini lazima kuna planMakonda anajua kushawishi na ana ushawishi kuliko kiongozi yeyote kwa sasa.
Hofu yangu ni kwamba anakiuka miiko ya chama chake na kanuni ya kwamba "never out-shine the master" yaani usifanye ukamzidi mkubwa.
Pia inanikumbusha Mzee wa Monduli ni kijana wa Mjini Born Town. Na sote tunajua what was the end!
Kwa hili la huyu kijana ni ngumu kutabiri yajayo!
Anawahenyesha CCMAiseeeeee
Ujuaji mwingi sana je huyo makonda anakufira?Huhitajiki kua Rais ili uwe Kiongozi Bora Bali kuielewa tafasiri halisi ya Uongozi inatosha kabisa kuwekwa Moyoni mwa Wananchi.
Mpango, Majaliwa, Mko wapi?? Mbona Uthubutu alonao Makonda, ni mkubwa kuliko hata Nafasi yake?.
Ni sahihi kusema Makonda amezaliwa kua Kiongozi?.
Katibu Mwenezi tu, lakini kazi anayopiga, Uthubutu alonao , kwanini asipendwe ?.
Inawezekana akawa wa Maneno tu, pengine utekelezaji ukawa Mdogo kwakua watekelezaji ndio wanaomkwamisha ..Lakini kitendo Cha Uthubutu wake ,bila kujali nafasi yake, kunatosha kabisa kumpa Sifa ya Ubora wa Uongozi.
Ziara za Makonda, zinaendelea kuonyesha ,nini Wananchi wanataka, watu wanajisikia Amani, wanaona wanajaliwa, wanakua na tumaini .
Laiti kama Kuanzia Wenyeviti wa mitaa , mpaka mawaziri , Watumishi wote wa umma, wangezijua nafasi zao , Ni wazi , Ziara za Makonda zingekutana na malalamiko kidogo.
Mungu akulinde sana Mh Paul Makonda . !!.
Makalio yalishavimba, sasa ni zamu ya kichwa.Nyie mvimbisheni kichwa tu hamjui mnamuweka kwenye kilengeo
Hadi amefikia hapo karata zake anazicheza vizuri#makonda nitafute nikushauri huwa unakoseaga wapi na unatakiwa uweje serious utakuja ni shukuru
piga kazi PCM
Husimwite tu nabii, mpe cheo cha mh. Mungu itafaa zaidi. Uchawa ni kipaji!! Katenda jambo gani la maana hadi asitahili hizi sifa zote? au kule kuwaita /kuwapigia simu watendaji na viongozi wa serikali majukwaa kunatosha kuonyesha uongozi wa mtu? Vipi kuhusu wale wanaofuatilia uongozi na utendaji wa wateule na kuwaonya au kuwachukulia hatua kimyakimya bila kudhalilisha utu wao, je, hawafai?Namkubali sana Makonda, yaani ni kiongozi hasa, anajua kuona mbali maana hata Dkt Samia ni yeye aliyemnenea mema na mpaka akawa rais. Kwa ufupi Makonda ni Nabii. Mungu amlinde sana ampe maisha marefu na hatimaye aje kuwa rais wetu wa JMT.
Ni mbaya sana kiongozi mdogo zaidi kuwa maarufu kuliko kiongozi mkubwa zaidi.Kwa jinsi anavyojiamini lazima kuna plan