Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu😅Wallahi kesi ya drugs at least bhange ingemhusu au ikishindikana kabisa basi tumrungi fulani hivi simply aonje japo jela.
Sura sio roho [emoji23]Mobior Garang mtoto wa rais wa kwanza wa Sudan Kusini, alikuwa waziri wa maji na alifanikiwa sana kuhakikisha kila mahali nchini kwake Kuna maji.
Hapa bongo kwa muonekano wa huyu mshikaji hata ubalozi asingepewa na angeozea jela.
View attachment 2447758
View attachment 2447759
View attachment 2447760
Kwa hizi picha familia ya mzee wa msoga ishapata wazo la biashara ya Ngada huko sudani ya kusiniMobior Garang mtoto wa rais wa kwanza wa Sudan Kusini, alikuwa waziri wa maji na alifanikiwa sana kuhakikisha kila mahali nchini kwake Kuna maji.
Hapa bongo kwa muonekano wa huyu mshikaji hata ubalozi asingepewa na angeozea jela.
View attachment 2447758
View attachment 2447759
View attachment 2447760
Ni mtoto wa baba wa taifa la Sudan kusini mzee John Garang aliefariki kwa ajali ya helicopter nchini UgandaUwaziri aliupataje? Alipiga kampeni Kama wafanyavyo wakwetu huku? Ungekuwa unaombwa kura ungemchagua?
Ha, JK amfungulie mashtaka failure kama huyo?!!!!!! Anampuuza tu na kuendelea na mishe zake.Watu kama nyinyi mukifunguliwa mashtaka mutaona munaonewa?
... ila kuna kaukweli; hawezi kuwa normal 100%; muonekano tu he seems to have problems.Kwa wasiomjua wataona Yuko sawa but in reality yupo na matatizo Kwa maana anatumia mihadarati. Nina mfahamu hapa kabla ya kujiunga na waasi wa SPLM 2 na Machel mpaka baada ya mazungumzo ikabidi apewe uwaziri ili waahirikiane na serikali ya Salva kirr. Namfahamu tangu akiwa Nairobi.
Taarifa za tajiri muulize mlalahoi[emoji23]Kwa wasiomjua wataona Yuko sawa but in reality yupo na matatizo Kwa maana anatumia mihadarati. Nina mfahamu hapa kabla ya kujiunga na waasi wa SPLM 2 na Machel mpaka baada ya mazungumzo ikabidi apewe uwaziri ili waahirikiane na serikali ya Salva kirr. Namfahamu tangu akiwa Nairobi.