Uongozi siyo sura. Fuateni nyayo za waziri wa Sudan Mobior Garang

Uongozi siyo sura. Fuateni nyayo za waziri wa Sudan Mobior Garang

Kwa wasiomjua wataona Yuko sawa but in reality yupo na matatizo Kwa maana anatumia mihadarati. Nina mfahamu hapa kabla ya kujiunga na waasi wa SPLM 2 na Machel mpaka baada ya mazungumzo ikabidi apewe uwaziri ili waahirikiane na serikali ya Salva kirr. Namfahamu tangu akiwa Nairobi.
Unamfahamu vipi yaani...
 
Wallahi kesi ya drugs at least bhange ingemhusu au ikishindikana kabisa basi tumrungi fulani hivi simply aonje japo jela.

Akivuka zoote hizo basi angalau wanzuki au gongo...asitoke Kapa kabisa, alimradi tu aonje selo.
 
Back
Top Bottom