Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ilikuwa miradi ya kupigia pesa ya ummaDom watu sasa hivi wanalia, wote washakimbia huko hakuna hata anayepatamani!
Hayo mengine sijui Stgler, Mfugale n.k mataga na sukuma gang ndiyo mnayojitetea nayo mnaposhindwa kujibu hoja za msingi!
Hiyo miradi ilikuwa inampa pesa snKuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Hiyo hukumu aliyopewa ni stahiki yake kabisaAmegawa wananchi, amegawa wanaccm na amegawa wapinzani. Jiwe inatakiwa siku moja apewe hukumu huku tv zote zikiwa live
Yaani wewe unamuimbia saa8 ,ama ndiye Ana thamani pekee ,wapo wengi waliopotea kuliko huyoKuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Uongozi wa kikwete wa awamu ya nne ndo uliichanachana chupi la ccm ,magufuli ndo alikuja na sindano nakushona chupi la ccm na kuipa heshima ya ccm ikaondokana na fedhea ya zomeazomea nzi wa kijani , hao type ya kina mwingira ni zile zile fake pastors na fake nabiis.Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list. Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Wewe uwe wa kwanza maana bila kumtaja hamuendi chooniMfuate Chato
Binafsi nilifurahi sn alivyotwaliwaWewe uwe wa kwanza maana bila kumtaja hamuendi chooni
Yani nyie kila anaeanika ubaya wa magufuli mtasema ni mbaya hata papa wa kanisa katoliki akianika ubaya wa gufuli lenu mtasema papa fisadi papa gaidi.Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
Sitaki mimi jitu katili kama hiloHata mimi kwakweli
Ila yeye kaondoka kawaacha bado wanakula nchiUkiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
Werema?Ila case ya MWingira kwa upande mwingine ina ukakasi mwingi..yule mwamba ana kashfa nyingi tuu
Ajabu wenye hela ndiyo wanalilia kweli! Kweli aliwaambia kama tajiri ulijihisi unaweza kufanya chochote basi kwasasa nawewe utafanywa chochote.Ukiwa mwizi hutampenda police hata siku moja.
Hao viongozi wa dini wenye madhambi ndio wenye shida na magufuli na sio wale wenye kujua wajibu wao.
Ukifualilia historia ya huyo mwingira utakuta ana mashambulizi tangu kipindi cha nyuma kwa serikali hata kabla ya magufuli.
Alichofanya Magufuli ni kupiga pini mambo yao ya kifisadi ndio maana walimchukia zaidi.
Ni maisha ya watu wangapi yamepotea/yanapotea kila siku kwa ukosefu/uduni wa miundombinu?Kuna faida gani ya kufanya haya yote halafu watu kama kina Ben Saanane hawajulikani walipo huku mamlaka zikikaa kimya makovu yanayoripotiwa ni mengi kuliko hizo stiglaz goj we unadhani Adolf Hitler hakufanya mambo kama hayo? Ila hakumbukwi kwahyo anakumbukwa kwa mauwaji ndio legacy aliyoiacha duniani
Hao watu laki tano waliuliwa wapi?Kwahiyo uue Watu laki tano ili utuhadae na Daraja kadhaa?
Hakuna baya hata moja alilofanya pia.Hakuna zuri hata moja alofanya huyu jamaa