balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Chama cha Nazi kilishakufa na alama zake zote ni outlawed.Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?
Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Ukiwa na kashfa hutakiwi kuelezea maswahibu yaliyokupata ?Ila case ya MWingira kwa upande mwingine ina ukakasi mwingi..yule mwamba ana kashfa nyingi tuu
Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Nani kakudanganya Adolf hakumbukwi German na chama chake cha nazi?
Hakumbukwi na wahuni wa NATO na vibaraka wao wa kiyahudi ndio sababu hadi wametunga sheria kuzuia watu kumkumbuka lakin bado maarufu
Yawezekana kwa kuujua ukakasi(sijaukataa) ndiyo ikawa gia ya kumuumiza.Kwamba,akilalamika,aongelewe mabaya yake.Blackmailing!Ila case ya MWingira kwa upande mwingine ina ukakasi mwingi..yule mwamba ana kashfa nyingi tuu
Nyumbu badilikeni, ushabiki maandazi wa hapa JF hautawasaidia. Sasa Magufuli awaue viongozi wa dini ili iweje? Kwa mamlaka ya urais ya nchi kama Tanzania, rais akitaka mtu afe itashindikana kweli? Mimi hata mgambo sijapita ila kuua mtu ni dk 0 sembuse serikali? Nyumbu badilikeni.
Mbona ilishindikana kwa lisu?Nyumbu badilikeni, ushabiki maandazi wa hapa JF hautawasaidia. Sasa Magufuli awaue viongozi wa dini ili iweje? Kwa mamlaka ya urais ya nchi kama Tanzania, rais akitaka mtu afe itashindikana kweli? Mimi hata mgambo sijapita ila kuua mtu ni dk 0 sembuse serikali? Nyumbu badilikeni.
Ni maisha ya watu wangapi yamepotea/yanapotea kila siku kwa ukosefu/uduni wa miundombinu?
Hautaki kabisa kujibidiisha kujua kwa kujenga miundombinu hiyo ni maisha ya watu wangapi yameokolewa? Ni maisha ya watu wangapi yamekuwa bora zaidi?
#kataawahuni
Mbona yeye mwenyewe alikua tapeli?Tatizo JPM alishughulikia Matapeli wote.
Hakuangalia Unaitwa Mtume au mwanaCCM.
Hizo ni tuhuma na propaganda zenu tu. Lini mlithibitisha amewaua?Kwahiyo hiyo ni ticketi ya kuwaua wengine kupitia madaraka yako? Leo hayupo na mauaji ama utekaji hausikiki, je miradi imesimama?
Baba ameleta mkate nyumbani .... baada ya kupokelewa anawambia watoto wampigie makofi na vigelegele kwakuwa ameleta mkate nyumbaniMadoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika
Kama hajauwawa yupo wapi???Hizo ni tuhuma na propaganda zenu tu. Lini mlithibitisha amewaua?
Ndiyo. Ndo maana akataka kumuua mwingira!Mtafute umuulize. Kwahiyo watu wote usiojua waliko wameuliwa na Magufuli?
Baba ameleta mkate nyumbani .... baada ya kupokelewa anawambia watoto wampigie makofi na vigelegele kwakuwa ameleta mkate nyumbani
Tupe uthibitisho.Ndiyo. Ndo maana akataka kumuua mwingira!
Anzory
Sanane
Mawazo
Akwilin
Na wengine wote waliouwawa bila hatia huko MKIRU KISA wana ndevu ndefu.
Tundu lisu pia alishambuliwa na yeye
Wale wote waliouwawa na kuokotwa kwenye gsandarusi.
ALAANIWE YULE. ALIFIKIRI HATAKUFA????
Hizo ni tuhuma na propaganda zenu tu. Lini mlithibitisha amewaua?
Makaburu walifanya zaidi ya hayo huko Africa kusini na bado walikataliwa.Madoa ya Stglers Gauge, Mfugale na kijazi Flyover, Reli ya mwendokasi, kuhamia Dom, Hospital kubwa za kikanda, ukosefu wa mgao wa umeme.nk hayawezi kufutika