Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Unaweza tumwa Ukafanye misheni flani Kubwa sanaa ambayo Inabdi iwee siriii... Unaweza maliza kiroho safii lakini akatumwa mtu ajee Kukumaliza na wew lakini hata ambiwa sababu ya kukua wew... NA HUWA HAWAJUANII WENGI WAOOOO...!!

Mmaaaa!!!!! kumbe ni zaidi ya ushetani aaah
 
Unaweza tumwa Ukafanye misheni flani Kubwa sanaa ambayo Inabdi iwee siriii... Unaweza maliza kiroho safii lakini akatumwa mtu ajee Kukumaliza na wew lakini hata ambiwa sababu ya kukua wew... NA HUWA HAWAJUANII WENGI WAOOOO...!!

Haaa kwahiyo ukitumwa hiyo unayoiita misheni sijui, unatakiwa uwe muangalifu ukimaliza aiseee mambo gani sasa hayo aaah ningalikuwii kunyumba ne mbwitu haaaa
 
Haaa kwahiyo ukitumwa hiyo unayoiita misheni sijui, unatakiwa uwe muangalifu ukimaliza aiseee mambo gani sasa hayo aaah ningalikuwii kunyumba ne mbwitu haaaa
Haa ha... Usalama wa taifaaa si mchezoo..!! Yani usalama wa taifa anaweza kuwa Mwanajeshi...akaigiza ukichaaa...mvutaa bhangiii..Jambazii..ili mradi afanikishe jambo alilotumwaa
 
Haa ha... Usalama wa taifaaa si mchezoo..!! Yani usalama wa taifa anaweza kuwa Mwanajeshi...akaigiza ukichaaa...mvutaa bhangiii..Jambazii..ili mradi afanikishe jambo alilotumwaa

Nahisi watakua na laana hadi uigize mambo yote hayo looh ulofa huo kabisa
 
Inashangaza kuna watu wanataka information ya chombo. Dude halina kichwa wala miguu hata waliomo walijua kwa upande alionao. Hakuna information humu tupigeni story tu za ki novel (esp spy novels)
[emoji40] [emoji40] [emoji108]
 
Inashangaza kuna watu wanataka information ya chombo. Dude halina kichwa wala miguu hata waliomo walijua kwa upande alionao. Hakuna information humu tupigeni story tu za ki novel (esp spy novels)

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]mimi nafurahi sana maana watu wanaadika wasivyovijua.
watu wanajipinda balaa kuelezea ila,

lla kila mtu anafanya yake.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]mimi nafurahi sana maana watu wanaadika wasivyovijua.
watu wanajipinda balaa kuelezea ila,

lla kila mtu anafanya yake.
Kuvijadili vitu kama hivi inabidi ujitoe ufahamu kwa kiwango kikubwa sana
 
Acha uongo, labda unazungumzia TISS ule mfumo wa benk kuu ,
 
( Watu Wa Symbiology Mnaelewa) Techniques Ambazo Zilitumika Miaka Ya Nyuma Kufanya Ujumbe Uwe Wa Siri Na Ikitokea Mtu Asiyehusika Akaupata Asiweze Kuelewa.
.
Mkuu hapo kwenye bold ulimaanisha SYMBOLOGY au ni Symbiology kama ulivyoandika?
 
Ngumbaru wa kinyarwanda
 
ndio wewe nini?
ndio huyo huyo aliyekuwa anajifany kibarua magufuli hostel....alivyokuwa anakuj magu alikuwa pemben pembn.
Kuna yule aliyeaandamanaga peke yake kipindi cha kupandisha bumu. Niliambiwa naye alipata nafasi huko huko ni kweli au zilikuwa story. Hwever ukiwa ktk jamii za vyuo kuwajua jamaa ni rahisi sana. Hawamalizagi vyuo na wakolamliza wanpata kazi maeneo hayo hayo....
 
Story tu hizo,Tanzania kila mtu akinunua miwani yenye rangi nyeusi anajiita mtu wa kitengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…