Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Ngoja nikusaidie kazi ya tiss ni kukusanya taarifa kuzichakata/kuzichambua na kuzipeleka kunakohusika na kushauri wenye mamlaka ya kuchukua hatua ni wale wanaopelewa taarifa na wanatimiza Sana majukumu ipasavyo.

Ile kwenda kwenye uchaguzi na kulazimisha mgombea wa CCM atangazwe bila kujali matokeo halisi, ni sehemu ya huo wajibu wao?
 
Mkuu

Unafikiri wanaoiba hawana uzalendo!!?

Sio kweli ni wamekata tamaa baada ya kuujua ukweli fulani tena deep ukweli ambao hawaoni future yoyote huko mbele!

Unafikiri wazungu walitupa uhuru bila kumwaga damu bure tena kupitia secret society kama makanisa kwa kumfanya kijana wao awe kiongozi!!!?

Think hapo kwa kina!!kuna mali zao zipo humu ardhini wanamiliki sasa unafikiri usipoiba kwenye nafasi yako hao wazungu watakuja kuonea huruma kizazi chako!!!?


Hivi unafikiri kikwete,mwinyi,mkapa,jpm hawakua wazalendo na wenye huruma kwetu!!?

Ni kwamba walifikiria sana wakaona majamaa yamewatinga na hawawezi kupambana nao wakaamua wale tu na wao kwa ajili ya vizazie vyao basi !!!

Kuna jambo kubwa sana hawa watu wanagundua ndio maana wanaoiba wakiwa na akili timamu sio wajinga hao!!

Omba Mungu nawe upate nafasi uke kwa nafasi yako jua HIVYO mkuu!!!!

Hata marehem jpm na uzalendo wake wa wanyonge aliiba pia utambue hilo mkuu!!!
 
Nilikuwepo hiyo siku pale mesi
 

Kaa nae Kwa umakini Hawa jamaa sio wa kuwaamini,akikununulia pombe usiwe mropokaji Sana,halafu wengi pombe hawaziwezi hata,
 
ID yako inaonesha unaishi kwa dadaako ndiyo maana una-support ujamaa
Isingekuwa ujamaa usingekuwa unabwabwaja hapa mitandaoni, maana kama si ujamaa, mnala wa kukufanya uweze Kupata mawasiliano ya simu usingesimikwa apo ufipanii.
 
Isingekuwa ujamaa usingekuwa unabwabwaja hapa mitandaoni, maana kama si ujamaa, mnala wa kukufanya uweze Kupata mawasiliano ya simu usingesimikwa apo ufipanii.
Na kweli ndiyo maana hadi leo Kenya katupita kiuchumi licha ya kuwa tunamzidi rasilimali
 

Recruit pool ni mbovu. Ndio maana tunapata product za hovyo
 
Hebu rudi form two usome vizuri features za modes of production uone utofauti
Masikini ya Mungu, unajivunia elimu ya form2 mpaka Leo. Inamaana Niko napoteza mda na matu anayetumia rejea za f2? Haya Bwana ulalee tuu. Mmmmh
 
Masikini ya Mungu, unajivunia elimu ya form2 mpaka Leo. Inamaana Niko napoteza mda na matu anayetumia rejea za f2? Haya Bwana ulalee tuu. Mmmmh
Nimekurejesha huko maana akili yako haijafika huko...halafu nina wasi wasi wewe unaweza kuwa miongoni mwa hawa form four failures, kama sijakosea.

maana nakupatia ideas jinsi ya kupanga logistics zako ili uonekane walau kama msomi, unaleta ubishi vipi humo kichwani kuna kitu...haloooooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…