Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83
Ila imani ni kitu kibaya sana.

Mimi huyu nikae nasubiri kufa? Ningekuwa natoroka naenda kula alafu narudi kuendelea na ibada.
Sisi tushawaambia humu maswala ya dini na habari za Mungu ni utapeli, tukaonekana haters.

21 savages dead
 
Ila kuna wakati unawaza huyu baba mchungaji alikusudia nini!? Yaani alikuwa ananufaikaje na vifo vya hawa waumini wake!?? Halafu yeye baba mchungaji alikuwa hataki kwenda mbinguni? Maana yeye mpaka amekamatwa na police alikuwa hajafunga!
Kuna mtu kasema iyo ni sacrifice, huenda ikawa ni kweli. Na baba mchungaji akipelekwa mahakamani, atatoka.
 
Back
Top Bottom