Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tushawaambia humu maswala ya dini na habari za Mungu ni utapeli, tukaonekana haters.Ila imani ni kitu kibaya sana.
Mimi huyu nikae nasubiri kufa? Ningekuwa natoroka naenda kula alafu narudi kuendelea na ibada.
Wote ni wajinga ila kuna kuzidiana tuUKRISTO ni UJINGA
Kuzidi wanaojitoa mhanga?UKRISTO ni UJINGA
Kwamba ungekuwa unaenda ku-restartIla imani ni kitu kibaya sana.
Mimi huyu nikae nasubiri kufa? Ningekuwa natoroka naenda kula alafu narudi kuendelea na ibada.
Usipokua na mpinzani anayejaribu kukuangamiza jitafakarUislam hauna manabii wala mitume wa michongo .....
Wanaojitoa mhanga wanalipwa pesa ndefu,familia zao.Kuzidi wanaojitoa mhanga?
Kuna mtu kasema iyo ni sacrifice, huenda ikawa ni kweli. Na baba mchungaji akipelekwa mahakamani, atatoka.Ila kuna wakati unawaza huyu baba mchungaji alikusudia nini!? Yaani alikuwa ananufaikaje na vifo vya hawa waumini wake!?? Halafu yeye baba mchungaji alikuwa hataki kwenda mbinguni? Maana yeye mpaka amekamatwa na police alikuwa hajafunga!
Hakuna Cha pesa Wala nini zaidi ya kudanganywa wanaenda kufaidi ma bikira sabini na wawiliWanaojitoa mhanga wanalipwa pesa ndefu,familia zao.
Unajimaliza unarudi kwako kwa mguu..dadek🙌Tanzania bado tunatoa sadaka ya kujimaliza, hatujafikia kufunga mpaka kufa.
Seriously????!!!aseehhhUnajimaliza unarudi kwako kwa mguu..dadek[emoji119]
Mwamposa huyoSeriously????!!!aseehhh
Unaandika uongoMwamposa huyo