Huyo mchungaji mjinga sana,badala ya kufuga makondoo yawe mengi ili apate sadaka za kutosha yeye anayapunguza kwa kuyaambia yafe
 
Mimi najiuliza ilikuwaje idadi yote hiyo ya watu wafe, wazikwe bila kustukiwa. Je wote walikufa siku moja au kwa siku tofauti tofauti na je nani aliyekuwa akichimba na kuwazika wanaokufa ilihali wote wamedhoofika kwa kukosa kula?
 
Sahihi iam Muslim but I can't insult wengineo maana 99 %ya Ndugu zangu ni christians
 
Himars na extrovert wehu ninyi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ukweli wenyewe
Mi mtua daladala huwa nikijua ni siku ya wale watu nabadilisha njia ya kupita sitaki gusa kawe kabisa.
Kwanza nauli twapandishiwa, afu watu wanakimbizana, afu daladala chache
 
Watu hawaelewi kabisaaa
Wataelewaje wakat ni wajinga hawapendi kusoma na yeye alisema Asomaye na afahamu , wakiwategemea walimu wao wa uongo , yaan taabu sana na victim wakubwa wa hawa wahubiri wa kujitegemea ni Wanawake .... Hii jinsia ni disaster
 
Wataelewaje wakat ni wajinga hawapendi kusoma na yeye alisema Asomaye na afahamu , wakiwategemea walimu wao wa uongo , yaan taabu sana na victim wakubwa wa hawa wahubiri wa kujitegemea ni Wanawake .... Hii jinsia ni disaster
Mi nikikutana na demu mpenda kanisa sana namtema maana anaweza uza kila kitu kutoa sadaka mtumishi akale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…