Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah watu wamefilisika kiakiliKama mtu anaambiwa atoe pesa zote abakize nauli tu na anafanya hivyo afu anaenda omba watu wamsaidie nauli wategemea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah watu wamefilisika kiakiliKama mtu anaambiwa atoe pesa zote abakize nauli tu na anafanya hivyo afu anaenda omba watu wamsaidie nauli wategemea nini?
Ukipata mke au demu anayewaamini wachungaji, kimbia sanaHahahahah watu wamefilisika kiakili
Balaaaaaaduh aiseeee
Kwa kwelihatari sana
😄😄KwakweliHuko mbinguni watakula mbata za kutosha
Wamekufa kiboya sana
[emoji1787]Hua Imani broIla imani ni kitu kibaya sana.
Mimi huyu nikae nasubiri kufa? Ningekuwa natoroka naenda kula alafu narudi kuendelea na ibada.
Sahihi iam Muslim but I can't insult wengineo maana 99 %ya Ndugu zangu ni christiansSijakataa ndo mana wapo masheikh wana wake watatu na BADO anafumwa guest na kahaba point ni kwamba huo skeikh kufumwa guest haku testify uislamu ni wa ovyo na wala si mafundisho na kanuni za uislamu ni upumbavu wake binafsi hata ukirsto the same hayo si mafundisho ya biblia ni upumbavu wa hao hao havihusiani boss, MUNGU ni wetu sote
Himars na extrovert wehu ninyiUnadhani wale mbuzi wa pale Kawe wakiambiwa wafanye kitu watakataa?
Wanaweza kufanya maajabu
Sidhani kama wanawazidi mbuzi waliopo TzKenya kuna ujinga mwingi sana
Ndo ukweli wenyeweHimars na extrovert wehu ninyi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wataelewaje wakat ni wajinga hawapendi kusoma na yeye alisema Asomaye na afahamu , wakiwategemea walimu wao wa uongo , yaan taabu sana na victim wakubwa wa hawa wahubiri wa kujitegemea ni Wanawake .... Hii jinsia ni disasterWatu hawaelewi kabisaaa
Mi nikikutana na demu mpenda kanisa sana namtema maana anaweza uza kila kitu kutoa sadaka mtumishi akaleWataelewaje wakat ni wajinga hawapendi kusoma na yeye alisema Asomaye na afahamu , wakiwategemea walimu wao wa uongo , yaan taabu sana na victim wakubwa wa hawa wahubiri wa kujitegemea ni Wanawake .... Hii jinsia ni disaster
Ndo hivyo mkuu sema wengine hawataki kuelewa hili wameweka hisia sana.Sahihi iam Muslim but I can't insult wengineo maana 99 %ya Ndugu zangu ni christians
Wapo kibao tu wewe ndo mpumbavu, tena ndugu yanguHakuna Muislam anakula nguruwe, acha kujipa Matumaini na UPUMBAVU wenu
Wallah nmecheka[emoji23]Haya ni mauaji ya kimbari
Usiwatukanie dini yao maana na wao watakutukania dini yakoUKRISTO ni UJINGA