Hum B
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,045
- 1,468
Hawa waumin wa mitume na manabii hata vichwa hawanaNi sumu ukiingia kichwa kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa waumin wa mitume na manabii hata vichwa hawanaNi sumu ukiingia kichwa kichwa
Ila kenya wana occults nyingi kwa mwamvuli wa ukristo. Halafu baba mchungaji bila shaka yeye hajafunga
Wametolewa kafara hao.. inasikitisha..
Je, wahusika wakamatwa au?
UKRISTO ni UJINGA
Majirani wana mambo.....yesu aliekataa kusulubiwa pia yupo kwao🙌
Wakristo bana
Ila kuna wakati unawaza huyu baba mchungaji alikusudia nini!? Yaani alikuwa ananufaikaje na vifo vya hawa waumini wake!?? Halafu yeye baba mchungaji alikuwa hataki kwenda mbinguni? Maana yeye mpaka amekamatwa na police alikuwa hajafunga!
Wakristo mara nyingi hawana akili, vichaa na wengi wao ni machizi yaani kiujumla wakristo ni dini ya laana bora freemason kuliko hii dini ya machizi na siku ya mwisho ni kuni za motoni
Walikufa 20 kule Moshi kwa kukanyagana, wakiaminishwa mafuta ya upako yanaponya.
makafir tafuteni Dini ya kweli kutoka kwa Mungu acheni kua kama wendawazimu
Dah yni hpa sipati picha wangekua Waislamu hawa watu thread ingekua ishafika 1K ila kwakua ni wao kwa wao tuwaache wafu wazike wafu wenzao
Aisee mm wapi nimemwita mchungaji?Tatizo mnalazimisha matapeli kuwa ni wakristo. Mtu kaamua kutoa kafara wajinga wachache mnamwita mchungaji. Be serious.
Hili uwe mkiristo kwanza ujitoe akili kwa muda mfano kwenye biblia kuna kulasa zinazo elezea kuzaliwa kwa yesu na ukoo wamama yake na makuzi yake maisha yake kwa jumla alafu heti mtu kabeba kitabu hicho kwapani kila aendako alafu heti mchungaji ana mwambia yesu ndie Mungu mkuu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] tangu lini Mungu akavaa nepi?
Kwa hiyo mchungaji yeye hataki kwenda mbinguni mbona yeye hajafa
Kabisa aisee na kakutana na wapumbavu wanamuaminiHuyo sio mchungaji ni matapeli waliojificha kwenye Ukristo.
Aisee mm wapi nimemwita mchungaji?
Kwani si wao wenyewe uko kenya ndo walomwita ivo sasa mm unanilaumu kwa lipi aisee
Kwani ni mara ya kwanza waumini wa kikristo kuuliwa kma ivo?
Be more serious
Tena Tanzania tushukuru serikali huwa inaingilia Kati, la sivyo yangetokea Kama ya Kenya. Serikali inasaidia Sana kufungia makanisa ya kitapeli.Hao watu ni wajinga mnoo
Nilipo Niko Kwa dada angu Kwa muda yaani anamuamini Mwamposa na kumuita mtume kabisaa
Jana nikamuambia Mimi nampenda mwakasage najua mitume walishaisha Hawa wengine matapeli tu
Mara Nabii,Mara mtume,mara kuhanj usanii mtupu
Wanajitajirisha tu kupitia ujinga wetu
Kabisa
Hivi why wasiendelee kuabudu RC,KKKT, Anglican, Pentecostal, Adventist mpk huko Kwa mchongo kweli
Kazi kweli kwelWajinga ndiyo waliwao
Ila siyo mbaya wameshafika mbinguni