Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83
Sawa mkuu. Point yangu ilikuwa sio kila mchungaji ni mkristo. Tatizo kwenye Ukristo hakuna internal regulation Kali kama uislamu au ukatoliki.
Kwani wachungaji wanatokea dini ipi na masheikh wanatokea dini ipi?

Au tunaongelea wachungaji wa ng'ombe na mbuzi mkuu? Hhhhh its just a joke
 
Mimi najiuliza ilikuwaje idadi yote hiyo ya watu wafe, wazikwe bila kustukiwa. Je wote walikufa siku moja au kwa siku tofauti tofauti na je nani aliyekuwa akichimba na kuwazika wanaokufa ilihali wote wamedhoofika kwa kukosa kula?
Una hoja mkuu, pengine kuna Jambo limejificha muda utasema [emoji848]
 
Unaongea ukiwa wapi,hawa wanaovaa mabomu na kuua watu wasio na dini kwa jina la Allah we huwasikii?extrimist wapo kila dini
Hao sio mitume ni vijana walioamua kuwa extremists lakini hii habari ya kuwa na mtume kila kijiji aisee inawagharimu sana, sasa hawa watu kweli walifunga ili wakutane na yesu? kwani kukutana na yesu mpaka ufunge?.
 
Kuna mmoja huku bongo alishaanza kuweka order ya kucha na nywele za utosini kwa waumini wake.

Nadhani huyu nae ndio alikuwa anaelekea huko kwenye cults[emoji3061]
 
Endelea kukufuru, maana bado una neema. Ila hujui ukuu wa jina la Yesu Kristo. Siku ukijua utaacha ujinga. Hata Leo unaweza banwa kwenye Kona Ukawa huna msaada, ndipo utajua tofauti ya utapeli na ukristo. Endelea tu ila ipo siku utaujua ukweli.
Mkuu yesu hana ukuu zaidi ya ule aliopewa na yule aliyemuumba na yeye alikuja kwaajili ya kuwatoa wana wa israeli kutoka kwenye giza la ushirikina na ujinga na kuwapeleka kwenye nuru ya tawhidi na elimu, wala yesu hakutumwa kwako wewe mkuu econonist wala wenzako, yeye alitumwa kwa wana wa israeli peke yao, kama alivyotumwa musa alayhi ssalaam na ndio maana yeye alikuja kuyathibitisha zaidi mafundisho ya torati, nyinyi wa matumbi wenzetu na torati wapi na wapi?.

"Na atamfundisha kuandika na hekima na taurati na injili."

"na ni mtume kwa wana wa israeli.........."


Qur'an 3:48-49

Huyu si mtume wenu wakuu wala mafundisho yake si haya mnayoishi nayo nyinyi leo hii, maana yeye katu hakuwaeleza wanafunzi wake wamtukuze na kumfanya njia na uzima ya kumfikia allah, bali kumfanya yeye ndie mkuu na mwenye utukufu kuliko yule aliyemtuma, bali kibaya zaidi kumfanya ni sehemu ya nafsi 3 za muumbaji, sasa nyinyi ndugu zangu vipi mnapotezwa?.

Secondly, yesu hakuwa isipokuwa mwanadamu tu kama mimi na wewe isipokuwa yeye ni mtume miongoni mwa mitume na muujiza miongoni mwa miujiza ya mola wetu aliyetuumba, sasa vipi jina la muumbaji lisiwe kuu zaidi kisha nibanwe kwenye kona nikumbuke jina la mtume miongoni mwa mitume waliotangulia miaka 2000+ iliyopita? hii itakuwa akili timilifu?.
 
Kuna mmoja huku bongo alishaanza kuweka order ya kucha na nywele za utosini kwa waumini wake.

Nadhani huyu nae ndio alikuwa anaelekea huko kwenye cults[emoji3061]

Tushukuru serikali ilimuwahi ikafungia kwa muda kanisa lake. Naona atabadilika Sasa.
 
Hao watu ni wajinga mnoo
Nilipo Niko Kwa dada angu Kwa muda yaani anamuamini Mwamposa na kumuita mtume kabisaa
Jana nikamuambia Mimi nampenda mwakasage najua mitume walishaisha Hawa wengine matapeli tu
Mara Nabii,Mara mtume,mara kuhanj usanii mtupu
Wanajitajirisha tu kupitia ujinga wetu
Lakini tofauti ya mwakasege na mwamposa ni ipi? na nakumbuka wewe ni muislamu reymage kama sijaanza kuzeeka vibaya.
 
Mkuu yesu hana ukuu zaidi ya ule aliopewa na yule aliyemuumba na yeye alikuja kwaajili ya kuwatoa wana wa israeli kutoka kwenye giza la ushirikina na ujinga na kuwapeleka kwenye nuru ya tawhidi na elimu, wala yesu hakutumwa kwako wewe mkuu econonist wala wenzako, yeye alitumwa kwa wana wa israeli peke yao, kama alivyotumwa musa alayhi ssalaam na ndio maana yeye alikuja kuyathibitisha zaidi mafundisho ya torati, nyinyi wa matumbi wenzetu na torati wapi na wapi?.

"Na atamfundisha kuandika na hekima na taurati na injili."

"na ni mtume kwa wana wa israeli.........."


Qur'an 3:48-49

Huyu si mtume wenu wakuu wala mafundisho yake si haya mnayoishi nayo nyinyi leo hii, maana yeye katu hakuwaeleza wanafunzi wake wamtukuze na kumfanya njia na uzima ya kumfikia allah, bali kumfanya yeye ndie mkuu na mwenye utukufu kuliko yule aliyemtuma, bali kibaya zaidi kumfanya ni sehemu ya nafsi 3 za muumbaji, sasa nyinyi ndugu zangu vipi mnapotezwa?.

Secondly, yesu hakuwa isipokuwa mwanadamu tu kama mimi na wewe isipokuwa yeye ni mtume miongoni mwa mitume na muujiza miongoni mwa miujiza ya mola wetu aliyetuumba, sasa vipi jina la muumbaji lisiwe kuu zaidi kisha nibanwe kwenye kona nikumbuke jina la mtume miongoni mwa mitume waliotangulia miaka 2000+ iliyopita? hii itakuwa akili timilifu?.

Sawa mkuu naheshimu maoni yako.
 
Mimi najiuliza ilikuwaje idadi yote hiyo ya watu wafe, wazikwe bila kustukiwa. Je wote walikufa siku moja au kwa siku tofauti tofauti na je nani aliyekuwa akichimba na kuwazika wanaokufa ilihali wote wamedhoofika kwa kukosa kula?

Mkuu umeuliza maswali ya msingi.
 
Faith prevents reasonable thinking.

Religion is a mental slavery

When all people shall be wise in divine terms, Those BOGUS and False Prophets who feed on the ignorance of the multitude will go hungry.
 
Wanadai wanatafuta miujiza sio mafundisho. Wana kiburi Sana ndio maana mchungaji kawanyoosha ili wengine waelewe kuwa Kuna tofauti ya church na cult.
Dini haziendani na miujiza, hata wokovu hauendi kwa miujiza
 
Hao sio mitume ni vijana walioamua kuwa extremists lakini hii habari ya kuwa na mtume kila kijiji aisee inawagharimu sana, sasa hawa watu kweli walifunga ili wakutane na yesu? kwani kukutana na yesu mpaka ufunge?.
Hao walikosa uelewa tu,kukutana na Yesu sio lazima ufunge
 
Imani Haina ubaya wowote wewe acha upuuzi
Ukafir ndio kitu kibayq
We ndio mjinga na mbaya.

Imani yako imekulisha sumu mbaya sana ya chuki ndio maana uka ambiwa kwamba imani ni mbaya.

Na wewe mwenyewe ndio mfano dhahiri wa ubaya wa imani.

Una mwita mwenzako "Kafiri" na kuita imani za wengine "Ukafiri" kwa vile hazi endani na imani yako ya dini yako.

Hivyo hapa una sambaza Chuki dhidi ya imani za wengine kutetea imani yako.

Imani ni kitu kibaya sana.
 
Hao watu ni wajinga mnoo
Nilipo Niko Kwa dada angu Kwa muda yaani anamuamini Mwamposa na kumuita mtume kabisaa
Jana nikamuambia Mimi nampenda mwakasage najua mitume walishaisha Hawa wengine matapeli tu
Mara Nabii,Mara mtume,mara kuhanj usanii mtupu
Wanajitajirisha tu kupitia ujinga wetu
Three people you will never advice them in life..

1- A woman in love

2- A man with money

3- An African woman following a prophet.
 
Back
Top Bottom